Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
mfanya biashara ama kula kulala kwa waziri aka baba? nchi ngumu sana hii maamae, ana bishara gani huyo dogo broiler
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfanya biashara ama kula kulala kwa waziri aka baba? nchi ngumu sana hii maamae, ana bishara gani huyo dogo broiler
Wakafate bima zao ziwalipeVipi kuhusu wale walioharibiwa magari yao na huyo dogo? Au wao ndio imeisha hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787]Teh teh teh teh... Tanzania bwana nchi ya kijinga kabisa.
Sijasema mtoto wa Simba ana makosa ila mifumo yetu ni mibovu kabisa. Policcm
Lile kosa la kutukana tusi maarufu naona limesahauliwa.. Na hata lile la kukataa kutii sheria bila shuruti piaView attachment 2333685
Mfanyabiashara, James Simbachawene (24) ambaye ni mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), George Simbachawene, amehukumiwa kulipa faini ya Sh250, 000 na kufungiwa leseni yake ya udereva kwa miezi sita baada ya kukiri makossa matatu.
Mtoto huyo amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatano Agosti 24, 2022 jioni na kusomewa mashtaka yake na wakili wa Serikali, Daisy Makakala, mbele ya Hakimu Mkazi Aron Lyamuya.
Mashitaka hayo ni pamoja na kuendesha gari kwa hatari, kuendesha gari akiwa amelewa na kuendesha gari bila kuwa na bima.
Baada ya kusomewa mashitaka hayo, Simbachawene alikiri na ndipo hakimu Lyamuya alipoahirisha kesi ili kumwandikia hukumu.
Baada ya muda mfupi, ndipo hakimu Lyamuya alimhukumu Simbachawene kulipa faini ya Sh100,000 kwa kosa la kuendesha gari kwa hatari, Sh100,000 kwa kosa la kuendesha gari akiwa amelewa na Sh50,000 kwa kosa la kuendesha gari bila kuwa na bima.
Pamoja na faini hiyo, leseni ya Simbachawene imefungiwa kwa miezi sita.
Credit; Mwananchi News Paper
Lile kosa la kutukana tusi maarufu naona limesahauliwa.. Na hata lile la kukataa kutii sheria bila shuruti pia
[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95]mfanya biashara ama kula kulala kwa waziri aka baba? nchi ngumu sana hii maamae, ana bishara gani huyo dogo broiler
Bima zipoVipi kuhusu wale walioharibiwa magari yao na huyo dogo? Au wao ndio imeisha hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani kabisa hatagusa gari for 6 months?? Haya vipi kuhusu lugha chafu na matusi?Soma mstari wa mwisho.
Ndo imeisha hiyo maana ilitakiwa hukumu iseme pamoja na kugharamia matengenezo ya magari aliyoyagonga...Vipi kuhusu wale walioharibiwa magari yao na huyo dogo? Au wao ndio imeisha hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani kabisa hatagusa gari for 6 months?? Haya vipi kuhusu lugha chafu na matusi?
Ataendesha usiku"Pamoja na faini hiyo, leseni ya Simbachawene imefungiwa kwa miezi sita."