Mtoto wa tajiri shule ya sekondari Scolastica katika kashifa

Mtoto wa tajiri shule ya sekondari Scolastica katika kashifa

Fred Mwakitundu

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
227
Reaction score
382
Wakati wananchi wa Kilimanjaro wakiwa bado na kumbukumbu za tukio baya la kuuawa kikatili mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Scolastica miaka michache iliyopita,mapya yameibuka katika shule hiyo.

Taarifa mpya kutoka kwa watumishi wa shule hiyo zinatonya kuwa,mtoto wa tajiri wa shule hiyo aitwaye Elizabeth Shayo anadaiwa kuendesha vitendo vya kikatili kwa watumishi wa shule hiyo.

Eliza amekuwa akiwadhalilisha watumishi hao pamoja na kuwatolea lugha chafu ,kuwafokea ovyo hasa wanapokuwa wakidai maslahi yao na baadhi wamejikuta wakifukuzwa kazi bila tararibu za kazi kufuatwa..

Baadhi ya watumishi walioomba hifadhi ya majina yao wanadai kuwa vitendo hivyo vimekuwa sugu huku kukiwa hakuna hatua za kumchukulia kwa vile ni mmoja wa wakurugenzi wa shule.

Watumishi hao kutoka Idara ya ualimu,upishi,usafi,ulinzi na watumishi wasio waalimu wanadai kumekuwepo na matabaka kati ya walimu kutoka nchini Kenya na wazawa ambako wakenya wamekuwa wakipewa upendeleo katika maeneo mengi.

Unataka kujua mengi kuhusu vitendo vinavyofanywa na mtoto wa tajiri huyo?,kaa mkao wa kula mengi zaidi yanakuja
 
Wakati wananchi wa Kilimanjaro wakiwa bado na kumbukumbu za tukio baya la kuuawa kikatili mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Scolastica miaka michache iliyopita,mapya yameibuka katika shule hiyo.
Taarifa mpya kutoka kwa watumishi wa shule hiyo zinatonya kuwa,mtoto wa tajiri wa shule hiyo aitwaye Elizabeth Shayo anadaiwa kuendesha vitendo vya kikatili kwa watumishi wa shule hiyo.
Eliza amekuwa akiwadhalilisha watumishi hao pamoja na kuwatolea lugha chafu ,kuwafokea ovyo hasa wanapokuwa wakidai maslahi yao na baadhi wamejikuta wakifukuzwa kazi bila tararibu za kazi kufuatwa..

Baadhi ya watumishi walioomba hifadhi ya majina yao wanadai kuwa vitendo hivyo vimekuwa sugu huku kukiwa hakuna hatua za kumchukulia kwa vile ni mmoja wa wakurugenzi wa shule..
Watumishi hao kutoka Idara ya ualimu,upishi,usafi,ulinzi na watumishi wasio waalimu wanadai kumekuwepo na matabaka kati ya walimu kutoka nchini Kenya na wazawa ambako wakenya wamekuwa wakipewa upendeleo katika maeneo mengi.
Unataka kujua mengi kuhusu vitendo vinavyofanywa na mtoto wa tajiri huyo?,kaa mkao wa kula mengi zaidi yanakuja
Shayo siyo baba yake mzazi..
 
Elizabeth demu wangu wa utotoni huyo..kaanza lini kuwa na roho ya kikatili hivyo?
Nadhani kama 3 years ago nilikutana nae pale Himo kisha kutembelea baadhi ya sehemu za uwekezaji wa familia waliokua wamefanya, ni mdada very humble § Charming, otherwise mtoa mada ana ajenda anataka kuifikisha jamvini lakini amekosa vielelezo! Ushauri wangu kwa mtoa mada, Kindly use proper channels to address changamoto zenu, hii haisaidii!
 
Nadhani kama 3 years ago nilikutana nae pale Himo kisha kutembelea baadhi ya sehemu za uwekezaji wa familia waliokua wamefanya, ni mdada very humble § Charming, otherwise mtoa mada ana ajenda anataka kuifikisha jamvini lakini amekosa vielelezo! Ushauri wangu kwa mtoa mada, Kindly use proper channels to address changamoto zenu, hii haisaidii!
acha kumbeba wewe, kimwonekano ni mdada mzuri kaisi chake, ila kwa roho mbaya nadhani shetani anasubir..

mleta mada yupo sahihi, usikanyagie sana tukafunguka yasiofungukika
 
Nadhani kama 3 years ago nilikutana nae pale Himo kisha kutembelea baadhi ya sehemu za uwekezaji wa familia waliokua wamefanya, ni mdada very humble § Charming, otherwise mtoa mada ana ajenda anataka kuifikisha jamvini lakini amekosa vielelezo! Ushauri wangu kwa mtoa mada, Kindly use proper channels to address changamoto zenu, hii haisaidii!
Unaweza kuwa sahihi,simjui huyo demu ila uzi una harufu ya chuki
 
Andikeni vizuri matatizo yenu mleta mada umeandika kimbeya mbeya
sijaleta hii mada, ila mletq mada ana ukweli maana hili nalijua vyma.

ukiacha wafanyakazi, shule haina bodi, hivyo inaendeshwa kisela sana na, huyo binti ndio alfa na omega...
 
Wakati wananchi wa Kilimanjaro wakiwa bado na kumbukumbu za tukio baya la kuuawa kikatili mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Scolastica miaka michache iliyopita,mapya yameibuka katika shule hiyo.
Taarifa mpya kutoka kwa watumishi wa shule hiyo zinatonya kuwa,mtoto wa tajiri wa shule hiyo aitwaye Elizabeth Shayo anadaiwa kuendesha vitendo vya kikatili kwa watumishi wa shule hiyo.
Eliza amekuwa akiwadhalilisha watumishi hao pamoja na kuwatolea lugha chafu ,kuwafokea ovyo hasa wanapokuwa wakidai maslahi yao na baadhi wamejikuta wakifukuzwa kazi bila tararibu za kazi kufuatwa..

Baadhi ya watumishi walioomba hifadhi ya majina yao wanadai kuwa vitendo hivyo vimekuwa sugu huku kukiwa hakuna hatua za kumchukulia kwa vile ni mmoja wa wakurugenzi wa shule..
Watumishi hao kutoka Idara ya ualimu,upishi,usafi,ulinzi na watumishi wasio waalimu wanadai kumekuwepo na matabaka kati ya walimu kutoka nchini Kenya na wazawa ambako wakenya wamekuwa wakipewa upendeleo katika maeneo mengi.
Unataka kujua mengi kuhusu vitendo vinavyofanywa na mtoto wa tajiri huyo?,kaa mkao wa kula mengi zaidi yanakuja
Hayo manyanyaso yote yamesababishwa na shida! Hivyo kuna wakati inakubidi umtumikie Kafiri ili upate mtaji wako. Hakuna sehemu isiyo na manyanyaso.

Hata sisi tulio serikalini kila siku unasikia matamshi tu kutoka kwa wanasiasa na watunga sera. Lakini hatulalamiki. Tunavumilia huku tukiugulia moyoni. Elizabeth anawakoromea ili mfanye kazi kwa bidii kwa manufaa ya hiyo taasisi yao.

No way out! Ukishindwa kuvumilia hayo manyanyaso, muachie kazi yake! Ingia mtaani jiajiri, au katafute sehemu bora zaidi.
 
Mara ya mwisho kuacha kumlalamikia bosi wangu wa zamani ni pale alipo niita na kuniambia kuwa yeye ananilipa ili niweze kutatua changamoto zangu ndogo ndogo ila kamwe hawez kunitoa kimaisha kwani ili nitoke inabd nitumie akili zangu mwenyew

Nilimshukuru sanaa mkurugenzi yule

Sasa Niko naifanyia kazi serikali nasema kamwe siwez kuilalamikia serikali najua haiwez kunitoa kimaisha bali inabd nitumie akil yangu nitoke kimaisha kwan yenyewe inanilipa mshahara tu wa kula ,kununua nguo basii....ila kujenga ,kumiliki biashara ,kumiliki migari ni inabd iwe juhudi zangu
 
Back
Top Bottom