muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Yaani kwa huo muda mfupi mliokutana tu hapo,unaona huyo binti anapakaziwa?...Nadhani kama 3 years ago nilikutana nae pale Himo kisha kutembelea baadhi ya sehemu za uwekezaji wa familia waliokua wamefanya, ni mdada very humble § Charming, otherwise mtoa mada ana ajenda anataka kuifikisha jamvini lakini amekosa vielelezo! Ushauri wangu kwa mtoa mada, Kindly use proper channels to address changamoto zenu, hii haisaidii!
Kama ni mchanga sishangai, ndivo walivo baadhi yao hao. Baba akiwa tajiri hata mbwa anajiona tajiriWakati wananchi wa Kilimanjaro wakiwa bado na kumbukumbu za tukio baya la kuuawa kikatili mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Scolastica miaka michache iliyopita,mapya yameibuka katika shule hiyo.
Taarifa mpya kutoka kwa watumishi wa shule hiyo zinatonya kuwa,mtoto wa tajiri wa shule hiyo aitwaye Elizabeth Shayo anadaiwa kuendesha vitendo vya kikatili kwa watumishi wa shule hiyo.
Eliza amekuwa akiwadhalilisha watumishi hao pamoja na kuwatolea lugha chafu ,kuwafokea ovyo hasa wanapokuwa wakidai maslahi yao na baadhi wamejikuta wakifukuzwa kazi bila tararibu za kazi kufuatwa..
Baadhi ya watumishi walioomba hifadhi ya majina yao wanadai kuwa vitendo hivyo vimekuwa sugu huku kukiwa hakuna hatua za kumchukulia kwa vile ni mmoja wa wakurugenzi wa shule..
Watumishi hao kutoka Idara ya ualimu,upishi,usafi,ulinzi na watumishi wasio waalimu wanadai kumekuwepo na matabaka kati ya walimu kutoka nchini Kenya na wazawa ambako wakenya wamekuwa wakipewa upendeleo katika maeneo mengi.
Unataka kujua mengi kuhusu vitendo vinavyofanywa na mtoto wa tajiri huyo?,kaa mkao wa kula mengi zaidi yanakuja
Acha watu watoe nyongo jombaa.Naona Multiple Id's at work! haya kila la heri kufanikisha ajenda yako!
Watoto wa uchagani wana uwezo wa ku do!!?demu wangu wa utotoni huyo
Elizabeth ameolewa jamani??? 😛 😛 😛Wakati wananchi wa Kilimanjaro wakiwa bado na kumbukumbu za tukio baya la kuuawa kikatili mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Scolastica miaka michache iliyopita,mapya yameibuka katika shule hiyo.
Taarifa mpya kutoka kwa watumishi wa shule hiyo zinatonya kuwa,mtoto wa tajiri wa shule hiyo aitwaye Elizabeth Shayo anadaiwa kuendesha vitendo vya kikatili kwa watumishi wa shule hiyo.
Eliza amekuwa akiwadhalilisha watumishi hao pamoja na kuwatolea lugha chafu ,kuwafokea ovyo hasa wanapokuwa wakidai maslahi yao na baadhi wamejikuta wakifukuzwa kazi bila tararibu za kazi kufuatwa..
Baadhi ya watumishi walioomba hifadhi ya majina yao wanadai kuwa vitendo hivyo vimekuwa sugu huku kukiwa hakuna hatua za kumchukulia kwa vile ni mmoja wa wakurugenzi wa shule..
Watumishi hao kutoka Idara ya ualimu,upishi,usafi,ulinzi na watumishi wasio waalimu wanadai kumekuwepo na matabaka kati ya walimu kutoka nchini Kenya na wazawa ambako wakenya wamekuwa wakipewa upendeleo katika maeneo mengi.
Unataka kujua mengi kuhusu vitendo vinavyofanywa na mtoto wa tajiri huyo?,kaa mkao wa kula mengi zaidi yanakuja
Scolastica ilikuwa zamani, leo hii ipoipo tusijaleta hii mada, ila mletq mada ana ukweli maana hili nalijua vyma.
ukiacha wafanyakazi, shule haina bodi, hivyo inaendeshwa kisela sana na, huyo binti ndio alfa na omega...
Samahani kwa hili swali nipo nje ya mada....hivi kwanini EATV uliquit?Nadhani kama 3 years ago nilikutana nae pale Himo kisha kutembelea baadhi ya sehemu za uwekezaji wa familia waliokua wamefanya, ni mdada very humble § Charming, otherwise mtoa mada ana ajenda anataka kuifikisha jamvini lakini amekosa vielelezo! Ushauri wangu kwa mtoa mada, Kindly use proper channels to address changamoto zenu, hii haisaidii!
Daah, mkuu utotoni kwenye ile michezo ya baba na mama? Me niliachana nae majuzi tu.Elizabeth demu wangu wa utotoni huyo..kaanza lini kuwa na roho ya kikatili hivyo?
Panga vizuri umbeya ueleweke, mwanafunzi anahusika vipi na ajira za walimi wa Tanzania na Kenya! Au unataka kutuambia yeye ana hisa kwenye shule hiyo.Wakati wananchi wa Kilimanjaro wakiwa bado na kumbukumbu za tukio baya la kuuawa kikatili mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Scolastica miaka michache iliyopita,mapya yameibuka katika shule hiyo.
Taarifa mpya kutoka kwa watumishi wa shule hiyo zinatonya kuwa,mtoto wa tajiri wa shule hiyo aitwaye Elizabeth Shayo anadaiwa kuendesha vitendo vya kikatili kwa watumishi wa shule hiyo.
Eliza amekuwa akiwadhalilisha watumishi hao pamoja na kuwatolea lugha chafu ,kuwafokea ovyo hasa wanapokuwa wakidai maslahi yao na baadhi wamejikuta wakifukuzwa kazi bila tararibu za kazi kufuatwa..
Baadhi ya watumishi walioomba hifadhi ya majina yao wanadai kuwa vitendo hivyo vimekuwa sugu huku kukiwa hakuna hatua za kumchukulia kwa vile ni mmoja wa wakurugenzi wa shule..
Watumishi hao kutoka Idara ya ualimu,upishi,usafi,ulinzi na watumishi wasio waalimu wanadai kumekuwepo na matabaka kati ya walimu kutoka nchini Kenya na wazawa ambako wakenya wamekuwa wakipewa upendeleo katika maeneo mengi.
Unataka kujua mengi kuhusu vitendo vinavyofanywa na mtoto wa tajiri huyo?,kaa mkao wa kula mengi zaidi yanakuja
Yaani unasubiri mpaka upigwe kiki ndo useme?acha kumbeba wewe, kimwonekano ni mdada mzuri kaisi chake, ila kwa roho mbaya nadhani shetani anasubir..
mleta mada yupo sahihi, usikanyagie sana tukafunguka yasiofungukika
angalia tangu post za yule dogo alieuwawa hapo getini, na kuzikwa mtoni kwa ushauri wa huyo mdada, halafu kesi wakamsukumizia mzee shayo ambaye ni hawara wa mama yake..Yaani unasubiri mpaka upigwe kiki ndo useme?
Seems ipo project ya kumchafua huyo mdada humble[emoji1787]
haoleki...Elizabeth ameolewa jamani??? 😛 😛 😛
Funguka ndugu acha kupoteza muda.angalia tangu post za yule dogo alieuwawa hapo getini, na kuzikwa mtoni kwa ushauri wa huyo mdada, halafu kesi wakamsukumizia mzee shayo ambaye ni hawara wa mama yake..
yote hayo tuliongea...
ikija post ingine ya huyo mdada au mama yake scola, tutafunguka tu.
unamchafuaje aliechafuka tayr?
Huyo na yule waziri wa maleria ni ndugu?Wakati wananchi wa Kilimanjaro wakiwa bado na kumbukumbu za tukio baya la kuuawa kikatili mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Scolastica miaka michache iliyopita,mapya yameibuka katika shule hiyo.
Taarifa mpya kutoka kwa watumishi wa shule hiyo zinatonya kuwa,mtoto wa tajiri wa shule hiyo aitwaye Elizabeth Shayo anadaiwa kuendesha vitendo vya kikatili kwa watumishi wa shule hiyo.
Eliza amekuwa akiwadhalilisha watumishi hao pamoja na kuwatolea lugha chafu ,kuwafokea ovyo hasa wanapokuwa wakidai maslahi yao na baadhi wamejikuta wakifukuzwa kazi bila tararibu za kazi kufuatwa..
Baadhi ya watumishi walioomba hifadhi ya majina yao wanadai kuwa vitendo hivyo vimekuwa sugu huku kukiwa hakuna hatua za kumchukulia kwa vile ni mmoja wa wakurugenzi wa shule..
Watumishi hao kutoka Idara ya ualimu,upishi,usafi,ulinzi na watumishi wasio waalimu wanadai kumekuwepo na matabaka kati ya walimu kutoka nchini Kenya na wazawa ambako wakenya wamekuwa wakipewa upendeleo katika maeneo mengi.
Unataka kujua mengi kuhusu vitendo vinavyofanywa na mtoto wa tajiri huyo?,kaa mkao wa kula mengi zaidi yanakuja
Kwani lazima wafanye kazi hapo? Ni uzuzu kulalamikia jambo ambalo una uwezo wa kulitolea maamuziWakati wananchi wa Kilimanjaro wakiwa bado na kumbukumbu za tukio baya la kuuawa kikatili mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Scolastica miaka michache iliyopita,mapya yameibuka katika shule hiyo.
Taarifa mpya kutoka kwa watumishi wa shule hiyo zinatonya kuwa,mtoto wa tajiri wa shule hiyo aitwaye Elizabeth Shayo anadaiwa kuendesha vitendo vya kikatili kwa watumishi wa shule hiyo.
Eliza amekuwa akiwadhalilisha watumishi hao pamoja na kuwatolea lugha chafu ,kuwafokea ovyo hasa wanapokuwa wakidai maslahi yao na baadhi wamejikuta wakifukuzwa kazi bila tararibu za kazi kufuatwa..
Baadhi ya watumishi walioomba hifadhi ya majina yao wanadai kuwa vitendo hivyo vimekuwa sugu huku kukiwa hakuna hatua za kumchukulia kwa vile ni mmoja wa wakurugenzi wa shule..
Watumishi hao kutoka Idara ya ualimu,upishi,usafi,ulinzi na watumishi wasio waalimu wanadai kumekuwepo na matabaka kati ya walimu kutoka nchini Kenya na wazawa ambako wakenya wamekuwa wakipewa upendeleo katika maeneo mengi.
Unataka kujua mengi kuhusu vitendo vinavyofanywa na mtoto wa tajiri huyo?,kaa mkao wa kula mengi zaidi yanakuja