Mtoto wa tajiri shule ya sekondari Scolastica katika kashifa

Dah, we jamaa mchochezi kweli. We Mzee Shayo humjui vizuri nyamaza kimya na usiharibu biashara za watu kwa maslahi ya mshahara wako. Shayo toka akiwa na "King Size" tu namfahamu vizuri, so achana na upashkuna chalii

W

Kwahiyo ww kumfahamu vzuri, nn nimedanganya hapo? Scola ni mke halali wa Shayo ama ni mchepuko waliozaa pamoja bonge na wadogo zake?
 

Halafu ulikuaga mtangazaji mzuri hivi ulipotelea wapi
 
Shule ya kwao hata kama wakiweka bodi ni Yao!!
yes itabaki kuwa ya kwao, lakn maamuzi ya kijinga kama kunyanyasa wanafunzi kwa kuwafukuza, kuwapiga vile wanajisikia, kutesa mastaff yanakuwa siyo yao tena, bali ni bodi.
 
Yah, naelewa yapo hayo. Lakin mtizamo iwe kila mtu kutimiza majukumu yake na kuheshimiana maana kila mtu ana mhitaji mwenzie.

Kuna watu wanaogopa kuanzisha biashara sababu wanaogopa kuibiwa na wafanyakazi wao, au kuwa biashara itakufa sababu wafanyakazi wao hawatakuwa wanajali kazi ila mishahara tu mradi unawalipa kwahiyo mwisho wa siku biashara itakufa na atafilisika. Imekaa vibaya sana hii.

Una 10m mfukoni au benki unaweza anzisha biashara kijana/ vijana wapo lakini hutaki kuwapa kazi. Mwisho wa siku tuna lundo la vijana mtaani hawana kazi, ni kuzurura tu.

Na unaweza kuta ukiwapa kazi kweli utapigwa. Sababu ya hizi mentality. Tufundishane na tusisitiziane mambo mazuri. Mimi mwenyew nimewahi kupigwa. Naelewa.
 
Mwalimu kaja kufungua uzi wa kumsagia kunguni Eliza,ila sio mbaya huenda mambo yakawa sawa
 
Tatizo la walimu ni kada ya watu wenye majungu sana hapo msikute mmeona kanunua gar mpya au kafanya maendeleo flan mmeanza kusema hizo ni nguvu zenu na mnahisi hamtendewi haki kwahyo mmeanza majungu na propaganda za kupika
 
Andikeni vizuri matatizo yenu mleta mada umeandika kimbeya mbeya
Kwani wamefunga ndoa na mmiliki, wakiona mambo hayaendi vizuri waachie ngazi watafuta shughuli nyingine za kufanya.
 
Watanzania sijui tulilogwa na nani, kubabaikia wageni, yaani mtu akiwa hajui kiswahili tu, baasi wanamuona MUNGU mtu, tuache huu ujinga jamani!
 
Huu mwandiko balaa... Kichwa cha habari na habari hailviendani
 

Sii waache Kazi, Mbona rahisi sana
 
Kwani wamefunga ndoa na mmiliki, wakiona mambo hayaendi vizuri waachie ngazi watafuta shughuli nyingine za kufanya.
tutafute hata shughuli za kuuwa wanafunzi na kufukia mtoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…