Akili yako utopolo! Hivyo unamwona huyo mtoto zinatosha kweli au na wewe kama yeye! Hatakiwi asilani!.Hamna cha kufanya huko chadema ndo maana unaanzisha upuuzi humu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako utopolo! Hivyo unamwona huyo mtoto zinatosha kweli au na wewe kama yeye! Hatakiwi asilani!.Hamna cha kufanya huko chadema ndo maana unaanzisha upuuzi humu.
Angekua yule bibi wine wenu anakuja na Ile kofia, ungeleta maada za mapambio dhidi yakeHuyu kijana ni miongoni mwa watoto wa viongozi wa Kiafrica waliolewa madaraka ya Baba zao , amejaa dharau , kiburi na Majivuno ya kijinga sana , ana kiburi kuliko hata watoto wa Saddam Hussein .
Huyu hatakiwi kuruhusiwa kukanyaga ardhi ya Tanzania hadi kiama , ITAKUWA AIBU SANA KWA TANZANIA KUPOKEA MGENI DUNI KAMA MUHOOZI MUSEVENI
Nawakumbusha tu Muhoozi alizaliwa Moshi kabla Baba yake hajahamia Dar , hiyo ni taarifa ndogo sana muijue msiofahamu historia,
Hakuzaliwa Mbeya kweli?Muhoozi alizaliwa Dar es salaam mwaka 1974. Ingekuwa Tanzania kuna dual citizenship angefuzu kuwa Mtanzania kwa kuzaliwa.
so what ?Nawakumbusha tu Muhoozi alizaliwa Moshi kabla Baba yake hajahamia Dar , hiyo ni taarifa ndogo sana muijue msiofahamu historia,
Chadema haihusiki na ujinga wa MuhooziKama makada wenyewe wa chadema ndo huyu mtoa mada, chama kifumuliwe HARAKA sana
Sikutegemea huyu jamaa ni garasha kiasi hiki. Alipokua mkuu wa updf nina shaka alicheza mchezo mbaya sana na M23. Kama vile kulipangwa njama kati yake na kagame baada ya muhozi kwenda kigali halafu wakamzuga tshisekedi updf waende kusaidia maana hali ya uasi congo mbaya sana. Kisha Muhozi akawabeba M23 kwenye msafara wa updf kuingia nao congo. Si unajua ile story ya trojan horse..Huyu kijana ni miongoni mwa watoto wa viongozi wa Kiafrica waliolewa madaraka ya Baba zao , amejaa dharau , kiburi na Majivuno ya kijinga sana , ana kiburi kuliko hata watoto wa Saddam Hussein .
Huyu hatakiwi kuruhusiwa kukanyaga ardhi ya Tanzania hadi kiama , ITAKUWA AIBU SANA KWA TANZANIA KUPOKEA MGENI DUNI KAMA MUHOOZI MUSEVENI
Na mimi navyojua ni moshi. Kama ni dar lakini baba yake alikaa moshi akifundisha chuo cha ushirika.Nawakumbusha tu Muhoozi alizaliwa Moshi kabla Baba yake hajahamia Dar , hiyo ni taarifa ndogo sana muijue msiofahamu historia,
We mpumbavu sanaHuyu kijana ni miongoni mwa watoto wa viongozi wa Kiafrica waliolewa madaraka ya Baba zao , amejaa dharau , kiburi na Majivuno ya kijinga sana , ana kiburi kuliko hata watoto wa Saddam Hussein .
Huyu hatakiwi kuruhusiwa kukanyaga ardhi ya Tanzania hadi kiama , ITAKUWA AIBU SANA KWA TANZANIA KUPOKEA MGENI DUNI KAMA MUHOOZI MUSEVENI
Ok gayNishasema asikanyage na hatokanyaga
Matusi na uchawi ndio nguzo ya MasikiniOk gay
Sawa. Tutahakikisha hatumpokei badala yake tutampokea Wakili Amsterdam kwakuwa amekuwa mwenyeji mwema wa Mtanzania mwenzetu Lissu huko Ubeleji.Huyu kijana ni miongoni mwa watoto wa viongozi wa Kiafrica waliolewa madaraka ya Baba zao , amejaa dharau , kiburi na Majivuno ya kijinga sana , ana kiburi kuliko hata watoto wa Saddam Hussein .
Huyu hatakiwi kuruhusiwa kukanyaga ardhi ya Tanzania hadi kiama , ITAKUWA AIBU SANA KWA TANZANIA KUPOKEA MGENI DUNI KAMA MUHOOZI MUSEVENI