Mtoto wa Yoweri Museveni asiruhusiwe kukanyaga Tanzania, Siyo mzima

Tanzania inao wapuuzi wengi kuliko huyo Muhoozi.

Kinachotakiwa ni sisi kumtumia Muhoozi kama kipo chabkujitazama na kusahihisha taswira yetu ndani na nje.
 
Akili zako ni ngumu sana kuzielewa, labda mataga watakuelewa
 
Ni M TZ by birth
 
Kale ka askari mdoli kana akili za kitoto, kweli katahariya, kweli kamedekezwa na siyo siri siku M7 hayupo katakimbia nchi!
 
Rubbish
 
Mkuu umemaliza kila kitu ,jamaa wa CDM wanna chuki Sana na watu waliofanikiwa either kisiasa au kiuchumi hupelekea kuwachukia watu na kuwaita wesi bila sababu ..Nin rfk angu Ni chademaa damuu ila chuki alizonazo usipime aliwa nimbia kak angu mm anapiga hell Sana nikamuambia kak angu ni professional hategemei Kaz za serekali kuwa hapo yey Ni value nnje ya ya Kaz zake za ardhi nikaona kbsa huu Ana wivu mno anatamani chadema watee nnchi wajekunyanganya watu Mali zao

CDM ina vijana wapuuzi snaa
 
Target ni kupata followers 1 million na hawezi kuwapata kirahisi bila kutengeneza tension kama hizo.

Uzwazwa uache
 
Moja ya kitu natamani itokee Ni muhoozi apewe urais wa ugandaa

Ova

Ila CDM wabane matako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…