Mtoto wa Zachary Kakobe: Mfikishieni salamu baba yangu namtafuta, sijaonana naye kwa Miaka 20, nikienda Kanisani sipati nafasi ya kumuona

43 bado unahangaika kutafuta Baba. Hatari sana.
 
Huyo baba gani mwenye roho chafu kias hicho Alf anajiita mtumishi wa Mungu.
Angeachana nae tu maan baba mwenyewe hana adabu wala utu.
 
Huyo baba gani mwenye roho chafu kias hicho Alf anajiita mtumishi wa Mungu.
Angeachana nae tu maan baba mwenyewe hana adabu wala utu.
Kifupi hilo jitu zima linalojiita toto la kakobe ni lijinga ukubwani

Watu huwa wajinga utotoni yeye kawa mjinga ukubwani

Huo umri sio wa kusumbua mzazi awe kaokoka au hajaokoka awe swala tano muislamu au kafiri

Kabila yangu hilo.jitu zima linalia lia kama toto lingekiona cha mtema kuni

Angetandikwa viboko hadi kutiwa ngeu kwa kumsumbua baba yake kwa umri huo alionao

Baba yake kama hataki kumuona lifie mbele huko jinga kubwa n
 
😂😂😂😂 Aiseh amemuona baba ake ako na pesa za kutosha za sadaka analazimisha ety.
 
We Jamaa ni mtu unayeabudu chuki Sana na unafikra za kimasikini unathamini vitu over utu.
 
mtoto mwenyewe mbona ni kama analingana na baba yake?
 
😂😂😂😂 Aiseh amemuona baba ake ako na pesa za kutosha za sadaka analazimisha ety.
Mzee Kakobe akishamaliza kwa kumsomesha na yeye kupata kazi hadi kuzaa watoto linamtamtakia nini mzee Kakobe linataka kumuua au?

Liendelee na maisha yake na familia yake liache kusumbua

Huo ni unyanyasaji wa wazi kwa wazee

Mzee ana haki ya kukataa kuonana na mtu mzima kama yeye ana mji wake na Kakobe ana mji wake kila mmoja kwenda kwenye mji wa mwingine haitakiwi kulazimisha ni upande husika utoe ridhaa kama hautaki basi

Angekuwa mtoto mdogo hata mimi ningesimama naye sio jitu zima hilo

Limwache Mzee Kakobe alone lipambane na hali yake
 
mtoto mwenyewe mbona ni kama analingana na baba yake?
Baba anataka kuonana na baba

Shame on him hilo linajiita litoto la kakobe wakati jitu zima linalingana na baba yake kwa muonekano

Jitu zima kujiita toto aibu
 
Baba anataka kuonana na baba

Shame on him hilo linajiita litoto la kakobe wakati jitu zima linalingana na baba yake kwa muonekano

Jitu zima kujiita toto aibu
ingekuwa mimi kwa umri huo wala sihangaiki kumtafuta. kama kweli ni mwanawe, amemtelekeza maisha yote hayo hata umesoma na unajitegemea kisha unaanza kumtafuta mtu mzima mwenzako ambaye hana shida na wewe ni aibu. Dawa ni kujiconnect na wadogo au kaka zake zakary au dada zake, yeye unampotezea moja kwa moja. Kama ni kukutafuta yeye ndiye ahangaike kukutauta.
 
Kifupi huyo ni mjinga ukubwani

Watu huwa wajinga utotoni yeye kawa mjinga ukubwani
Athari za kutokuhusisha akili na mawazo ndo huzalisha posts hizi zisizo na uadamu.

BInadamu ambaye hana wazazi na haoni umuhimu wa wazazi ndiye anayeweza kumlaani mwanadamu mwenzake anayetafuta ukaribu na mzazi wake.

Unahubirije upendo wakati kuna chuki umeijenga kwa mwanafamilia wako?

Kwa taarifa yako, nimemfikia huyo mtoto kwa simu amenieleza mengi ya msingi na kwa hakika suala hili linahitaji hekima kubwa na litaenda kumsaidia hata Askofu mwenyewe.

Mungu ataweka wazi yote na shetani ataaibishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…