Amesema hadai chochote kwa Kakobe (a. K. a. Mulenga)Umaskini mbaya sana.
Hapo anavizia mali za mzee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema hadai chochote kwa Kakobe (a. K. a. Mulenga)Umaskini mbaya sana.
Hapo anavizia mali za mzee.
We jamaa banaHapana,huyu ni mtoto wake kweli kwenye miaka ya mwanzoni mwa 2000 alikuwa anasali kwa baba yake na kila mtu alimjua,alipoanza ulevi tu akatimuliwa nyumbani,nimeshangaa amezeeka ghafla hivi
kuna mtoto wa miaka 43?Kakobe achukue watoto wake awalee ni wajibu wake!
kakobe Lanza kuhubiri miaka 1988 kabla ya television's so yawezekana anayoongea kijana ni kweli ama sio kweliJe inawezekana mtoto akamzidi umri Mzazi?
Yesu alikuja kwa ajili ya wenye mizigo au vifungo vya dhambi kama mtoto wake Frank. Mathayo 11:28. Mtumishi Kakobe afuate kielelezo cha Yesu kwa matendo na kumpokea mwanawe kwa huruma na upendo kama alivyopokelewa mwana mpotevu. Huo ndio ufuasi au ukristo wa kweli. Si majina makubwa ya kidini.Hapana,huyu ni mtoto wake kweli kwenye miaka ya mwanzoni mwa 2000 alikuwa anasali kwa baba yake na kila mtu alimjua,alipoanza ulevi tu akatimuliwa nyumbani,nimeshangaa amezeeka ghafla hivi
Miaka 43 ni mtoto? Hata hivyo kama hajaonana nae muda mrefu siyo vizuri aonane naeKakobe achukue watoto wake awalee ni wajibu wake!
Hivi tunavyoongea ni miezi mingi sasa hata viongozi wake kumuona ni kwa barua maana amekuwa home hajaonekana kanisani.....Kumuona baba mpaka uandike barua?
Sasa umesomeshwa na umefikia miaka 43 huna hata jogoo wa kufuga huoni huu jamaa ana matatizo?Kakobe achukue watoto wake awalee ni wajibu wake!
Sawa kabisa, ushauri wa ki-Ungu!Aisee Kakobe mrudishe kijana home. Kama ulimfukuza Kwa kutoiamini Injili chanzo ni wewe Kutabiri Rais atakuwa Marehemu Augustino Lyatongq Mrema huku Mungu Akituletea Benjamin William Mkapa kuwa Rais Wa Tanzania.
Frank ameonyesha Jitihada nawe onyesha mfano wa Baba yule kwenye Mfano uliotolewa na Bwana Yesu Kristo wa Mwana Mpotevu.
Mwana wako Mpotevu amerejea mvike nguo na Pete kidoleni, Chinja Ngombe na Kufanya Sherehe Kubwa.
Kirchhoff
Inasikitisha mno!Kumuona baba mpaka uandike barua?
Dah!.. maisha tuHapana,huyu ni mtoto wake kweli kwenye miaka ya mwanzoni mwa 2000 alikuwa anasali kwa baba yake na kila mtu alimjua,alipoanza ulevi tu akatimuliwa nyumbani,nimeshangaa amezeeka ghafla hivi
Huyo mbona kama ni mstaafu?Kakobe aje amlee mtoto wake [emoji23][emoji23][emoji23]
Barua ya karatasi au hata e-mail?Hivi tunavyoongea ni miezi mingi sasa hata viongozi wake kumuona ni kwa barua maana amekuwa home hajaonekana kanisani.....
Anayemuona pekee ni Askofu wa Iringa.....
Tunaishi mbingu ya hapa hapa