KING ASSENGA
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 928
- 1,478
- Thread starter
-
- #101
500000Pima DNA
HowKam ulipg hesabu za mtoto kujifung Tareh x mwez x na ikawa bas n wako
NO 2. Kafanye DNA za kienyeji
Ikikutokea weweKitanda hakizai haramu.
Ni maumivu tuBaba wawili tu unalialia, vipi ukijua na hao wengine?
Anaweza alikutana na jamaa mwingine night yeye akakutana nae kesho mchanaKam ulipg hesabu za mtoto kujifung Tareh x mwez x na ikawa bas n wako
NO 2. Kafanye DNA za kienyeji
Noma sanaAnaweza alikutana na jamaa mwingine night yeye akakutana nae kesho mchana
Toba! Mwaka huu tutasikia na kujua mengi DNA ya kienyeji ndiyo inapimwaje mkuu?Kam ulipg hesabu za mtoto kujifung Tareh x mwez x na ikawa bas n wako
NO 2. Kafanye DNA za kienyeji
NakaziaDuuh, aisee!
Kama hili ni kweli (jaribu kuhakiki) basi mtoto atakuwa ni wako.
Kuhusu kupima DNA, kwa kuwa mama hana uwezo wa kipato kutunza mtoto utapewa matokeo ya mchongo
Kwa ulimwengu wa sasa usimwamini mtu yeyote, jiamini ww mwenyewe.Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu.
mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake nilikutana kimwili na mwanamke ambaye tulikuwa na mahusiano kitambo . Baada ya kumaliza yaliyonileta dar nilirudi kwenye harakati za mikoani . Baada kama ya mwezi yule mwanamke aliniambia ameshika ujauzito mimi nilifurahi ila nikawa na wasiwasi huenda mimba sio yangu.
Nikamjulisha hilo akadai kuwa ni uhakika mimba ni yangu . Nikamjulisha basi kama mimba ni yangu lazima ajifungue tarehe 10 mwezi wa saba mwaka jana.
Na kweli alijifungua tarehe hiyo hiyo nilikuwa nisharudi dar na nilimhudumia vizuri tu japo sio kwa ukubwa ambao ningemhudumia kama nisingekuwa na mashaka.
Naomba niwajulishe zaidi kuhusu huyu mwanamke. Alikuwa na mtoto mmoja alizaa na jamaa mmoja . wakati nipo kwenye mahusiano nae nikiwa dar alikuwa kwa wazazi sikuwa nimepata taarifa kuwa tayari alienda kuishi na jamaa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 12 nikawa nimepigiwa simu na namba ngeni nikapokea . Baada ya salamu jamaa akaniuliza unamfahamu Rose ( sio jina halisi)
Nikamjibu ndio namfahamu
Ninani kwako . Nikamjibu kwanini unaniuliza
Ndio akaniambia kuwa amekuwa akiona mawasiliano yangu na rose mda mrefu ila kuwa hajui kinachoendelea na muda mrefu anaishi na rose.
Nikaamua kumuuliza mtoto wa mwisho niwa kwako akadai ni wake aisee?
Moyo ulishtuka sana?
Ikabidi nimwambie ukweli kuwa ni mtoto wangu na nipo kwenye mahusiano na rose kitambo kumwaminisha zaidi ni cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambacho kina jina langu na jina nililompa mtoto mimi
Japokuwa baadae niligundua nyumbani kuwa wanamwita jina jingine
Basi jamaa tulitulizana kiume na akadai kwenda kupima DNA ila jioni yake nikampigia akiwa na rose nikamwambia ampe simu rose aweke loud speaker aseme mtoto ni wanani ila rose aligoma katu , tukapanga tutakutana tuongee na jamaa ila akapotea moja kwa moja na alinyamaza.
Mahusiano yao yaliyumba akamwacha mwanamke mwenyewe mpaka sasa anafika mara chache sana na hahudumii kama awali na mimi vivyo hivyo nimepunguza sana kuhudumia.
Japokuwa ananiaminisha sana na mtoto ana vingi anafanana na mimi zaidi ila mashaka yapo . Hata wazazi wake aliwaambia mtoto Mtoto ni wangu ila bado hata nao siwaamini sijui nifanyeje moyo wangu uwe huru
Ni mtoto kike mzuri sana.
Natamani sana hili likae vizuri.
Kama ni mtoto wangu nimpe matunzo asilimia mia na nimweke moyoni nifurahie.
Kama sio mwanangu basi ni move on.
Hili linaniumiza sana maana sina ujasiri wa kukemea malezi anayolelewa mwanangu na ningependa kuandaa future yake nimfungulie account mapema nianze kumwekea vishilingi lakini ndio hivyo nipo katikati
Mnanishauri nifanyeje wakuu?
Kitendo cha kugundua Tu yupo na jamaa angepiga chini iyo single mamaPindi wanaume wawili mnapogundua mna mahusiano na mwanamke mmoja yule atakaebaki na huyo mwanamke ndo mwanaume dhaifu zaidi
Mabwaku....NO 2. Kafanye DNA za kienyeji
Wazee wakoToba! Mwaka huu tutasikia na kujua mengi DNA ya kienyeji ndiyo inapimwaje mkuu?
Acha utapeli,Mkuu lete 300k then nitakuchukua sample wewe na mwanao then nitakupa majibu kama ni wako au sio wako lakin sitakupa evidence yoyote majibu nitakupa kwa mdomo tu kama upo tayari
Kijana pia ana ujasiri,Dunia hii huishi na mwanamke unatoka huko ulikotoka unaenda kupiga Kavu.....Mwamba akapime DNA hata akute mtoto ni wake yeye atoe huduma tu kwa mtoto ila sio kigezo cha kufanya maisha na huyo mwanamke. Kwa nini? Kuna sababu mbili kuu
KWANZA, mwanamke ni malaya. Nimeona kuna sehemu mwamba anasema demu alikuwa anaishi na jamaa wana mtoto mmoja.
Imagine jamaa kaja Dar tu leo anaomba mzigo kesho anatunukiwa hiyo tayari ni red flag kuwa manzi ni malaya na hata hajui baba wa mtoto ni nani inaonyesha anatombesha sana.
PILI, akifanya naye maisha kisa tu mtoto ni wake atakuwa amefanya maisha na single maza. Na kanuni zetu ni zilezile inapohusu single maza:
●Hatulei bao la mwanaume mwingine
●Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake sio ajiunge kwenye familia ya mwanaume mwenzake
●Single maza waolewe na baba za watoto wao
●Single maza ni wa kupiga na kusepa
Mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeweza kumuoa single maza
Learn or perish
Inasikitisha ndio aina ya vijana tulio nao kwenye jamiiKijana pia ana ujasiri,Dunia hii huishi na mwanamke unatoka huko ulikotoka unaenda kupiga Kavu.....