Mtoto wangu ana tabia ya kujibonda, nifanyaje ili aache?

Mtoto wangu ana tabia ya kujibonda, nifanyaje ili aache?

1.usimnyanganye kitu au kumkataza kitu Kwakumkaripia,
Wewe unataka kuongeza shida haswa kwa huyo dogo,hiyo haitomsaidia.

Nguvu huondolewa kwa nguvu,na wala nguvu haiondolewi kwa udhaifu.
ongea nae Kwa utulivu pale unapohitaji kumhasa asifanye kitu
Hii stage bado bhana mkuu,huo utulivu ni upi ambao mtoto wa miaka miwili atauelewa,huwenda kuna maneno mengi hayajui na wala hajui yanamaanisha nini.

Mtoto ambaye hajawa fasaha katika lugha (haswa chini ya miaka 7) huyu hujifunza zaidi kwa vitendo na wala sio kwa maneno kama unavyotaka kusema.

Vitendo vyenyewe ni uso wa kukaripia,sauti yenye mamlaka na kifimbo kidogo cha kumchapia ambacho hakitoleta shida kubwa.
Akianza kulia au kupiga kelele nyamaza person, Tulia, usishtuke.
Hii nakubaliana na wewe maana unakuwa haumpi attention maana watoto huwa wanatafuta attention mara nyingi.

2.ukiona anataka kujibamiza mchukue Kwa utulivu na mkumbatie ili akiwa anataka kubamiza kichwa uwe umemdhibiti ajikute anaishia kukutana na Bega au kifua huku mkono umemshika kichwa asijirusherushe Bali atulie.
Hapa sasa umeharibu mkuu,maana unazidi kuongeza tatizo kwa mtoto huyu.
Mtoto wa jamaa anachokitaka sio kujipiga haoana,huyo mtoto anachokitaka ni hiyo hali ya kubembekewa na kunyenyekewa na kupembelezwa amabyo huwa inakuja baada ya kufanya ujinga wake wa kujibonda.

Hivyo kujibonda ni njia tu anayoitumia huku akijua kabisa baada ya kujibonda huwa anakuwa handled vizuuri kabisa na hilo ndio analolitaka.

Katika hili kama ataweza kuwa katili ni bora akampotezea ikiwa tu kujibonda huko hakuna madhara na afanye jambo hilo kuwa ni endelevu.

So hapo tiba ni mbili tu.

1.ampotezee na asimbembeleze pale anapoanza kujibonda LAKINI tu itakapokuwa kujibonda huko sio kwenye kuleta madhara makubwa.

2.amchape na amkaripie kwa sauti ya ukali na hilo washirikiane wazazi wote wawili.
ISiwe kwamba baba unamkaripia alafu mtoto anaenda kwa mama nae mama anambembeleza kwa uzuri,hiyo maana yake mama anarudisha tabia mbovu huku baba akijitahidi kuirejesha,na hiyo inapelekea mtoto KUMCHUKIA BABA kwa sababu ndio kauzu na hapo inazaaa shida nyingine.

Hivyo wawe pamoja kati ya baba na mama wa huyu kijana junior.
3.kamwe usimkimbie au kuondoka bila kumuaga, kama Kuna mzazi au mlezi anafanya hivyo Basi asitishe kufanya hivyo. Mkitoka mumuage, I hata kama Natalia na mwambie utarudi lini na sa ngapi. Ukirudi mtaarifu kuwa Umerudi.
NI sahihi kaka ila hii haihusiani na tabia ya dogo na wala haiwezi kutiba tatizo la dogo,hii itamjengea tabia nyingine positive na sio kuondoa the current problem.
nyamaza usiseme kitu labda uwe unambembeleza Kwa kutembea au kuyumba ukiwa umembeba na kumkumbatia kama tunavyofanya ukiwa unataka kumtoa mtoto gesi baada ya kula
Huku ni kulea ujinga kaka,toto shenzi linafanya ushenzi unalipembeleza tena daah ?

4.asichapwe wala kupewa adjabu ya kumpa maumivu ya mwili pale mnapomuadhibu. Tafuta adhabu mbadala kama kutokuangalia kipindi anachopenda au kutokwenda kucheza Kwenye mtoko wa familia n. k.
Hiii haiwezi kusaidia kwa sababu hata hiyo adhabu hatoelewa vizuri kwa nini ameadhibiwa kwa sababu bado hajawa expert katika kuelewa vizuri lugha na kuwasiliana.

Mtoto huyu wa miaka miwili njia mzuri ni kumuadhibu ama kumkaripia pale tu anapofanya kosa on the spot ili ajue kwamba karipio ama bakora hizi ni kwa ajili ya jambo hili nililofanya hivyo hiyo itamfanya akumbuke ubaya wa jambo hilo.

acheze vya kutosha mchana,
NAkubaliana na wewe hii ni moja ya vitu ambavyo vinaweza kumsaidia mtoto kiachana na tabia mbovu kwani kuwa na tabia mpya kunaweza kukakukosesha muda wa kufanya tabia za zamani.
 
Hakuna lolote. Mtu mjinga hapa ndio wewe.

Unafikiri ukikopi haya MADESA UCHWARA kutoka google ndio unakuwa msomi? HAPANA, LA HASHA, unabaki kuwa mjinga tu wa kawaida.

Kila kitu ambacho hakieleweki kwa mtoto wanakwambia ni AUTISM 😁😁 Majibu mepesi sana.

Umpeleke kwa daktari akamnyweshe uji wa sembe 😁😁 Ati NUTRITIONAL THERAPY!

Unaamini kabisa kwamba ukinyweshwa uji wa sembe na Mtu mwenye KOTI JEUPE ndio unapona hiyo AUTISM? 🥴🥴😂🙌🙌

SHALLOW INDEED!
Mkuu nakubaliana na wewe.

Wakati mwingine nahisi huu ishhu ya autism ni agenda fulani tu ama ni ugonjwa wa kizushi ambao lsngo lake ni kuwafanya wazazi watoke kwenye reli ya kuwalea watoto kwa malezi sahihi ya kiafrika.

Binafsi natafsiri autism kama ni uzembe wa malezi mazuri ya mzazi kutokea utotoni kwa mtoto.
 
Yani hako katoto ka umri huo mnataka mkapelelke kwa specialist?
Fimbo za makalio tuu zinamnyoosha..yani mnafikiri utani? Chapa fimbo...
 
Back
Top Bottom