Mtoto wangu ana tabia ya kujibonda, nifanyaje ili aache?

Mtoto wangu ana tabia ya kujibonda, nifanyaje ili aache?

Nina mtoto wa kiume umri miaka 2.5, huyu kijana wangu akiwa na hasira anatabia ya kujibonda chini au sehem yoyote kwa nguvu sana na pia anang'ata sana, kufinya, angali akiwa toka mdogo nikajua labd akikuwa ataacha.

Saiv imekuw 2much anaeza fanya kitu ukamtoa au ukamnyang'anya basi ni ugomvi mzito katoka nundu chin ya jicho jana tu saiv napata taarifa kavimba kichwa washavirugana na mama ake kiukwel hii hali inanipa wasiwasi sijui huyu mtoto anatatizo gn alaf anakuwa anahasira kali sana muda mwingin anataka mpk mpigane km mkitibuana anakukwida
Dawa ndogo sana akifanya ununda viboko akikukoromea viboko akijibonda viboko halafu unamkemea.

Ukimchapa mwambie aombe msamaha mpaka anafikisha three years hiyo tabia itakuwa haipo tena.

Bila shaka alipokuwa mdogo sana mlikuwa hamumkatazi au kumfinya akiwafanyia ununda
 
muombee tu hii hari huwa inakuja mi hapa nina makovu ya ujana nashukur kwa sasa umri umeenda sina haya tena kusali pia imesaidia sana
 
Peleka kwa Mwamposa
Tanganyika pakers
Kuhanii mussa
Temboni
Kiboko wa wachawi
Buzza
katiyaoo
Huko kote ikishamaliza, matatizo yatakuwa bado pale pale plus watakuwa wamekuongezea na wewe ugonjwa wa akili!!
Ni bora kufuata ushauri wa wataalamu!!
 
Mpend lkn aanza kumchap sasa ,
Tatzo ulikuw unamsfu kuw ana hasira kam bab ake
 
Nina mtoto wa kiume umri miaka 2.5, huyu kijana wangu akiwa na hasira anatabia ya kujibonda chini au sehem yoyote kwa nguvu sana na pia anang'ata sana, kufinya, angali akiwa toka mdogo nikajua labd akikuwa ataacha.

Saiv imekuw 2much anaeza fanya kitu ukamtoa au ukamnyang'anya basi ni ugomvi mzito katoka nundu chin ya jicho jana tu saiv napata taarifa kavimba kichwa washavirugana na mama ake kiukwel hii hali inanipa wasiwasi sijui huyu mtoto anatatizo gn alaf anakuwa anahasira kali sana muda mwingin anataka mpk mpigane km mkitibuana anakukwida
Pole sana , tafuta mtaalam wa mahusiano ya watoto na mlezi au mwanasaikolojia wa watoto. Ila kipindi unapanga kukutana na mtaalam fanya yafuatayo kupunguza mtoto asijiumize:

1.usimnyanganye kitu au kumkataza kitu Kwakumkaripia, ongea nae Kwa utulivu pale unapohitaji kumhasa asifanye kitu. Akianza kulia au kupiga kelele nyamaza person, Tulia, usishtuke.

2.ukiona anataka kujibamiza mchukue Kwa utulivu na mkumbatie ili akiwa anataka kubamiza kichwa uwe umemdhibiti ajikute anaishia kukutana na Bega au kifua huku mkono umemshika kichwa asijirusherushe Bali atulie. Ukifanya hivi uwe kwenye hali ya utulivu, I nyamaza usiseme kitu labda uwe unambembeleza Kwa kutembea au kuyumba ukiwa umembeba na kumkumbatia kama tunavyofanya ukiwa unataka kumtoa mtoto gesi baada ya kula. Usiongee, usimkaripie, I usimkandamize Kwa nguvu. Baada ya muda mwili wake utarelax na hasira zitapungua. Akitulia anza kuongea nae Kwa pole. Ongea nae Kwa utashi kama ambavyo ungongea na mtu mzima aliyetoka kuhuzunika au kasirika. Mpe pole Kwa Ile hali, I muulize kama bado ana hasira au la, I na kama anahitaji muda zaidi au yuko tayari kuongelea kwanini hawezi kupata anachotaka Kwa muda Huo.

3.kamwe usimkimbie au kuondoka bila kumuaga, kama Kuna mzazi au mlezi anafanya hivyo Basi asitishe kufanya hivyo. Mkitoka mumuage, I hata kama Natalia na mwambie utarudi lini na sa ngapi. Ukirudi mtaarifu kuwa Umerudi.

4.asichapwe wala kupewa adjabu ya kumpa maumivu ya mwili pale mnapomuadhibu. Tafuta adhabu mbadala kama kutokuangalia kipindi anachopenda au kutokwenda kucheza Kwenye mtoko wa familia n. k.

5.kama Kuna mtu mwenye kukasirika
haraka na kukaripia hapo nyumbani apunguze au atafute mbinu na msaada wa kuweza kupunguza hasira. Kwenye kutokuelewana watu wa hiyo nyumba wa Jaribu kuongea Kwa sauti za chini sio kupayuka na kusiwe na hali ya kuumizana Mbele ya mtoto. Hii ni Kwa wote hata watoto wenzake au ndugu wanaoidhi hapa wasitumie person njia za kikatili kwenye mawasiliano.

6.hakikisha Ana ratiba yenye kupunguza hasira mfano kalale masaa nane usiku, acheze vya kutosha mchana, asile vyakula yenye sukari sana au ngano, asitumie vyombo vya screen zaidi ya ule unaoshauriwa Kwa umri wake n.k.


Haya yatasaidia wakati unapanga kumuona mtaalam. Atakua Sawa, ni changamoto kwenye mawasiliano na hisia.Utatuzi wa haraka na kitaslam utasaidia kusiwe na hatari ya kutumia Kwa Sasa na uwezekano wa changamoto Nyingine huko Mbeleni.
 
Mpend lkn aanza kumchap sasa ,
Tatzo ulikuw unamsfu kuw ana hasira kam bab ake
Na shauri Asimchape!!!

Tatizo litazidi kuwa kubwa. Haishauriwi kumchapa mtoto, hasa anaye react hivyo. Kama Ni kipele atatengeneza jipu!!!!!!

Aende Kwa Daktari bingwa wa mfumo wa fahamu, saikolojia na ukuaji ubongo wa mtoto atamsaidia. Ni kitu kinatibika person kirahisi kitaalam....ila tukileta utaalam wa kungaunga tutachangia kumuumiza mtoto zaidi.
 
Mmekalea vibaya hako katoto na mnaendelea kulea kawe kapumbavu. Mkikaacha kaharibike hivyo katakuja kuwa kashoga. Shauri zenu.
 
Ndugu mleta uzi, unauhakika umejaribu fimbo zikafeli?
Anyway, hizo huwa zinatajwa kuwa ni moja ya dalili za usonji (Autism)
 
Kitu kilichonishinda ni hizo hasira za mpk kurusha kilicho mbele yako, kujigonga…
Huyo mtoto mama ake uwa hambamizi na makopo kweli ama ndala? 😁😁

Mlete nikusaidie kumchapa… unakachapa kisawa sawa, kisha unakapa maelekezo. Hakawezi rudia
SI SAWA....

Ndio atampoteza na kutengeneza changamoto kubwa zaidi Kwa kumchapa.... Kuna tiba zenye uwezo wakutatua Hilo kitaalam. Mtu akiumwa tumbo na kutapika tunamnyima kula kabisa abaki njaa au😅😅😅.....
?? . Tusitoe majibu na suluhu ilimradi tu..... Aende Kwa wataalamu.....

Ila Nami nakushauri, iwapo unaushaidi kuwa mama yake alikua anambamiza ni vyema uwe sehemu ya suluhu. Unaweza kusaidia kumlinda mtoto Kwa kushauri baba aende dawati kuripoti na Huo ushahidi.

Pili Kuna sehemu husika za Kuweza kutumia nguvu kumuazibu mtu. Na shauri uunds uzi upewe ushauri wapi unaweza kupata nafasi kumchapa au kupiga au kumdunda mtu kisawsaw ili kumaliza haja ya kufanya hivyo bila kuvunja sheria au kuleta changamoto za kiafya kwa binadamu asiyestahili.
 
Mmekalea vibaya hako katoto na mnaendelea kulea kawe kapumbavu. Mkikaacha kaharibike hivyo katakuja kuwa kashoga. Shauri zenu.
Inaonekana unauzoefu.... Kwa kauli zako tu umepitia mlezi kama hayo. Pole.


Hiyo siyo malezi mbaya, ni dalili ya changamoto kwenye sehemu ya ubongo ya utambuzi wa mawasiliano, utulivu na ufanunuzi wakati wa ukuaji wa mtoto. Hitilafu hii inaweza kuwa ya muda, I ya mpito au sugu. Mara nyingi jamii huchochea mtoto kutokupata huduma stahiki iwapo jamii inayomzunguka itakua na maoni yasiyo ya kitaalam bali yanayoongozwa na mihemko binafsi au "conflict" binafsi na sio sayansi au utaalam.

Tujaribu kuwa Wenye kujenga na sio kubomoa Kwa kunena mambo hasi bila tija, I haja wala ushahidi. Ilimradi tu tuseme neno linalo kereketa kooni ila tu mtu ajoine hayuko mwenyewe person kwenye mpito yake.......huyo mtoto wa Mwenzio, umejuaje wanavyoishi na umejuaje atakua Nani akikua kama sio mtu anajiongelea😥😥😥... Kaomba ushauri sio dhihaka, ukosoaji au kumnenea mtoto mbaya.

Tumuombe sana Mungu atusamehe na daima tuwe wenye Kiasi, Utu na mipaka!
 
Inaonekana unauzoefu.... Kwa kauli zako tu umepitia mlezi kama hayo. Pole.


Hiyo siyo malezi mbaya, ni dalili ya changamoto kwenye sehemu ya ubongo ya utambuzi wa mawasiliano, utulivu na ufanunuzi wakati wa ukuaji wa mtoto. Hitilafu hii inaweza kuwa ya muda, I ya mpito au sugu. Mara nyingi jamii huchochea mtoto kutokupata huduma stahiki iwapo jamii inayomzunguka itakua na maoni yasiyo ya kitaalam bali yanayoongozwa na mihemko binafsi au "conflict" binafsi na sio sayansi au utaalam.

Tujaribu kuwa Wenye kujenga na sio kubomoa Kwa kunena mambo hasi bila tija, I haja wala ushahidi. Ilimradi tu tuseme neno linalo kereketa kooni ila tu mtu ajoine hayuko mwenyewe person kwenye mpito yake.......huyo mtoto wa Mwenzio, umejuaje wanavyoishi na umejuaje atakua Nani akikua kama sio mtu anajiongelea😥😥😥... Kaomba ushauri sio dhihaka, ukosoaji au kumnenea mtoto mbaya.

Tumuombe sana Mungu atusamehe na daima tuwe wenye Kiasi, Utu na mipaka!
Nimeona maana hiki ulichoandika ndo mfano wa matatizo hayo hayo.... Na wewe uliharibiwa hivyo hivyo huwa tunawaona tu jinsi mlivyo. Unalelewa kwa kubemendwa unadhani utakua kuwa sawa?
 
Hizi hua tabia za baadhi ya watoto mm wangu ana mwaka akiwa anafanya kosa labda kuchezea maji au kakojoa sehem sio ukimkuta anazuga kwa kunyooshea kidole sehemu nyingine ili usiangalie anachofanya.

Pia anahasira kam wako il wako kzidi ukimkanya anazira n kujiachia kama amekaa anajiachia anaangukia kisogo hata kama amebebwa atajiachia na kilio juu hapa tushajua hilo kabla ya kumkataza kitu lazim hili liangaliwe.

Anpenda sana kupiga akiknywa asipifanya yote ataanza kukupiga hili nalipunguza hadi liishe mana nimwepesi kupiga wenzake yaani mkono wake unawasha sana ila nimni akikua atabadilik


Hizi ni tabia za watoto kwenye ukuaji nenda nae mdogomdogo hadi abadilike usimbadilishe gafla .

Kam huyu wangu akianza kupiga hua nampiga na mm hadi analia ashaanza kujua kuna muda kabla hajaleta wenge unaon kahairisha maana anajua atarudishiwa kikubwa zaidi

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na huo ushaur wa kitaalam hapo juu, wengi wameshauri mumuombee sijui apelekwe penye msaada wa kiroho, mimi nasema jiombeeni nyinyi. Kuna shida ziko kwenye bloodline zenu. Hivyo wewe na mama ake msimame kujiombea ili kuua mzizi wa tatizo. So the simple way mtaanza kuomba toba from kizazi cha nne nikimaanisha babu zenu, baba zenu, nyinyi na yeye. Ni maombi ya kimkakati ambayo mkiyachanganya na shauri za kitaalamu hapa tatizo litatatuka....
 
Back
Top Bottom