Mtoto wangu ana tabia ya kujibonda, nifanyaje ili aache?

Mtoto wangu ana tabia ya kujibonda, nifanyaje ili aache?

Nina mtoto wa kiume umri miaka 2.5, huyu kijana wangu akiwa na hasira anatabia ya kujibonda chini au sehem yoyote kwa nguvu sana na pia anang'ata sana, kufinya, angali akiwa toka mdogo nikajua labd akikuwa ataacha.

Saiv imekuw 2much anaeza fanya kitu ukamtoa au ukamnyang'anya basi ni ugomvi mzito katoka nundu chin ya jicho jana tu saiv napata taarifa kavimba kichwa washavirugana na mama ake kiukwel hii hali inanipa wasiwasi sijui huyu mtoto anatatizo gn alaf anakuwa anahasira kali sana muda mwingin anataka mpk mpigane km mkitibuana anakukwida
Ni mtundu sana?

Possible ana Autism-tafuta ushauri wa Dr kwanza
 
Hizi nchi zetu watoto wanaweza kuwa na condition za kitabibu lakini tunaishia kusema huyu mtoto mkorofi au amelogwa. Kwa mfano hii autism wengi wanadhani ni lazima mtu awe na ile shape ya mtindio wa ubongo kumbe hata watu wa kawaida kabisa wanaweza kuwa nayo. Old guard jaribu kutafiti u-rule out uwezekano wa kuwa ana autism.
Hii ni moja ya dalili zake:
Self-Injury – Some individuals on the autism spectrum bang their head against the ground or wall, bite their hands, or excessively rub or scratch their skin. There are many ways to treat these behaviors including medical, sensory, nutritional, and behavioral approaches. Talk to your doctor as soon as possible if your child engages in any form of self-injurious behavior.
shukran san
 
Nina mtoto wa kiume umri miaka 2.5, huyu kijana wangu akiwa na hasira anatabia ya kujibonda chini au sehem yoyote kwa nguvu sana na pia anang'ata sana, kufinya, angali akiwa toka mdogo nikajua labd akikuwa ataacha.

Saiv imekuw 2much anaeza fanya kitu ukamtoa au ukamnyang'anya basi ni ugomvi mzito katoka nundu chin ya jicho jana tu saiv napata taarifa kavimba kichwa washavirugana na mama ake kiukwel hii hali inanipa wasiwasi sijui huyu mtoto anatatizo gn alaf anakuwa anahasira kali sana muda mwingin anataka mpk mpigane km mkitibuana anakukwida
Sorry to say,
wakati mwingine hizo ni ishara kuwa unalea mwana si wako.
 
Nina mtoto wa kiume umri miaka 2.5, huyu kijana wangu akiwa na hasira anatabia ya kujibonda chini au sehem yoyote kwa nguvu sana na pia anang'ata sana, kufinya, angali akiwa toka mdogo nikajua labd akikuwa ataacha.

Saiv imekuw 2much anaeza fanya kitu ukamtoa au ukamnyang'anya basi ni ugomvi mzito katoka nundu chin ya jicho jana tu saiv napata taarifa kavimba kichwa washavirugana na mama ake kiukwel hii hali inanipa wasiwasi sijui huyu mtoto anatatizo gn alaf anakuwa anahasira kali sana muda mwingin anataka mpk mpigane km mkitibuana anakukwida
Kapime DNA .
 
Huyu
Nina mtoto wa kiume umri miaka 2.5, huyu kijana wangu akiwa na hasira anatabia ya kujibonda chini au sehem yoyote kwa nguvu sana na pia anang'ata sana, kufinya, angali akiwa toka mdogo nikajua labd akikuwa ataacha.

Saiv imekuw 2much anaeza fanya kitu ukamtoa au ukamnyang'anya basi ni ugomvi mzito katoka nundu chin ya jicho jana tu saiv napata taarifa kavimba kichwa washavirugana na mama ake kiukwel hii hali inanipa wasiwasi sijui huyu mtoto anatatizo gn alaf anakuwa anahasira kali sana muda mwingin anataka mpk mpigane km mkitibuana anakukwida
Huyu eti ni mzazi tena wa kiume halafu naye alitoka kwao kwa kibali cha kujitegemea.
Bila shaka huyo mtoto anaitwa Junior!
 
Back
Top Bottom