Mtoto wangu ana tabia ya kujibonda, nifanyaje ili aache?

Mtoto wangu ana tabia ya kujibonda, nifanyaje ili aache?

Athari za Mama kuwa na hasira kipindi kirefu akiwa mjamzito.
Mnatakiwa kujitahidi wake zenu wawe katika furaha siku zote za ujauzito hata kwa kujifosi.
Homoni za wakati wa Mimba matokeo yake ndio haya.
Signal zizingatiwe kwa mjamzito.
alaf sas mke wang ni mwanamke mpole san toka nmejuana nae sio mtu wa hv kabisa
 
Nina mtoto wa kiume umri miaka 2.5,huyu kijana wangu akiwa na hasira anatabia ya kujibonda chini au sehem yoyote kwa nguvu sana na pia anang'ata sana,kufinya, angali akiwa toka mdogo nikajua labd akikuwa ataacha.

Saiv imekuw 2much anaeza fanya kitu ukamtoa au ukamnyang'anya bhas ni ugomv mzito katoka nundu chin ya jicho jana tu saiv napata taarifa kavimba kichwa washavirugana na mama ake kiukwel hii hali inanipa wasiwasi sijui huyu mtoto anatatizo gn alaf anakuwa anahasira kali sana muda mwingin anataka mpk mpigane km mkitibuana anakukwida
ana autisim
 
Kitu kilichonishinda ni hizo hasira za mpk kurusha kilicho mbele yako, kujigonga…
Huyo mtoto mama ake uwa hambamizi na makopo kweli ama ndala? 😁😁

Mlete nikusaidie kumchapa… unakachapa kisawa sawa, kisha unakapa maelekezo. Hakawezi rudia
kuna ugonjwa wa saikolojia anao huyi dogo...autism..wana tabia hizo
 
Back
Top Bottom