Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante nduguAangaliwe isije kuwa ni autism
Huwa wanatabia ya hasira sana na kupenda kujiumiza.
Ukiangalia michango ya watu hapa ni kuwa, mtoto wa miaka miwili akifanya hivyo ni abnormal, yaani kunakuwa na jambo halipo sawa. Ila kama ni kiburi, maana yake mtoto yupo sawa ila amechagua kwa kufuata mkondo. Sasa kama mzazi anashangaa, ni wazi kuwa huo mkondo haupoMtoto wa miaka miwili anaweza kuwa na tabia ya aina yoyote
mm sio wa njia hiyoWamang'ati ndo tabia yenu kujibonda,
Inawezekana na wewe ulikuwa unajibonda utotoni waulize vizuri wazee
acha ushirikina unaharibu madaSpiritually, mlikaa muda gani bila kupata mtoto? Je mlihangaika kupata huyo mtoto? Je mlienda kwa waganga kutafuta mtoto? Nijibu kwanza nikushauri kitu.
usonjiAutism ndo nn
👊acha ushirikina unaharibu mada
Hiyo Katiba anayoiishi mwanao kaipata wapi ?alaf sas mke wang ni mwanamke mpole san toka nmejuana nae sio mtu wa hv kabisa
Huna ujuacho humu duniani wewe mtinda nyusi na mlamba 💋 👄 🤐.acha ushirikina unaharibu mada
Hakuna miaka specific kwa kiburi kuanza, ila hoja ni kiburi kutokana na malezi kwa mtoto wa miaka 2.5 ndio inafikirisha
Ukiangalia michango ya watu hapa ni kuwa, mtoto wa miaka miwili akifanya hivyo ni abnormal, yaani kunakuwa na jambo halipo sawa. Ila kama ni kiburi, maana yake mtoto yupo sawa ila amechagua kwa kufuata mkondo. Sasa kama mzazi anashangaa, ni wazi kuwa huo mkondo haupo
Dr.Mbaga PhD.Hao ndo wanajeshi/viongozi wazuri watarajiwa akiona kuna kitu hakipo sawa atatumia madaraka yake vzr kuweka mambo sawa
Duuu mnunulie helmet tu maana hakuna namnaNina mtoto wa kiume umri miaka 2.5, huyu kijana wangu akiwa na hasira anatabia ya kujibonda chini au sehem yoyote kwa nguvu sana na pia anang'ata sana, kufinya, angali akiwa toka mdogo nikajua labd akikuwa ataacha.
Saiv imekuw 2much anaeza fanya kitu ukamtoa au ukamnyang'anya basi ni ugomvi mzito katoka nundu chin ya jicho jana tu saiv napata taarifa kavimba kichwa washavirugana na mama ake kiukwel hii hali inanipa wasiwasi sijui huyu mtoto anatatizo gn alaf anakuwa anahasira kali sana muda mwingin anataka mpk mpigane km mkitibuana anakukwida
Hizi nchi zetu watoto wanaweza kuwa na condition za kitabibu lakini tunaishia kusema huyu mtoto mkorofi au amelogwa. Kwa mfano hii autism wengi wanadhani ni lazima mtu awe na ile shape ya mtindio wa ubongo kumbe hata watu wa kawaida kabisa wanaweza kuwa nayo. Old guard jaribu kutafiti u-rule out uwezekano wa kuwa ana autism.ana autisim