Wewe nae wazazi walipata hasara kukupeleka shule hujaelimika hata kidogoHakuna lolote. Mtu mjinga hapa ndio wewe.
Unafikiri ukikopi haya MADESA UCHWARA kutoka google ndio unakuwa msomi? HAPANA, LA HASHA, unabaki kuwa mjinga tu wa kawaida.
Kila kitu ambacho hakieleweki kwa mtoto wanakwambia ni AUTISM [emoji16][emoji16] Majibu mepesi sana.
Umpeleke kwa daktari akamnyweshe uji wa sembe [emoji16][emoji16] Ati NUTRITIONAL THERAPY!
Unaamini kabisa kwamba ukinyweshwa uji wa sembe na Mtu mwenye KOTI JEUPE ndio unapona hiyo AUTISM? [emoji3061][emoji3061][emoji23][emoji119][emoji119]
SHALLOW INDEED!
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app