Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu first parent in town si tushalea sanaWangu haamshwi bro. Anakuamsha yeye mwenyewe. Hata kama amevaa pampas anakuamsha hajikojolei
Unazingua kaya
Sasa nn??Weeeeeh[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenitag kwahiyo na mimi ni mama kama hao wengine?
Mbona hadi ma lesbian wamekuwa tagged.Umenitag kwahiyo na mimi ni mama kama hao wengine?
Watu wa namna hiyo ni wa pekee, wewe unajionaje una ishara zozote za kuwa mtu wa pekee au ni kawaida tu ya kitaani?Kawaida sana hiyo Mkuu.
Wanangu wote wametembea na miezi nane. Na mwaka mmoja na nusu hawakojoi kitandani. Mama yangu aliniambia nami nilikuwa hivyo hivyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] doohUmenitag kwahiyo na mimi ni mama kama hao wengine?
Na wangu pia yuko hivo.Niaje wakuu
Tusichoshane.
Mtoto wangu ametimiza miaka miwili mwezi wa kwanza. Kinachonishangaza ni kuwa hajikojolei wala kujinyea.
Akitaka kukojoa au ku poop anasema na usiku hata ukimvalisha pampas anaamka anakuambia anataka ku poop au jojoa.
Nimenunua kibunda cha pampas mwezi wa 11 ila hakijaisha. Na kula anakula hachagui chakula na kunywa maji, juice anakunywa kila siku ila hajikojolei.
Huyu chaliangu ni jembe.
Au wamama mnasemaje? Dr Lizzy Simara Culture Me cocastic Sky Eclat Joanah Bushmamy Numbisa Shunie Depal Makiwendo Evelyn Salt Hannah Stress Challenger Chaliifrancisco
Asante mkuu ni muda wa kumpeleka Daycare ya masaa matatu kwa siku.Hongera mkuu
Kuna watu walikua wanasema kua wewe Ni mchicha mwiba yani valve zinafunguka kote...Kuna ukweli au uzushi?Ndo kiumbe kiko tumboni, August naenda leba kushusua mtoto wangu.