Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?

Ole sabaya anahangaika tuu. Maovu yake hayakuanzia kwa swai tuache mama samia apange safu yake hakuna asilolijuwa kumuhusu Lengai Ole Sabaya. ataamu kubaki nae au kumtoa.
 
SIASA ZA HAI HUWA HAZIISHI.

Kuna clip za jamaa mmoja zinasambaa anaitwa Cathberth yeye kaamua kufa na Ole Sabaya. Ukimsikiliza jamaa utaona Siasa Professional inayofanyikaga hai. Na inavyoonekana jamaa Kuna watu wamemuweka tu front...
Mambo ya Sabaya husituletee hapa,huyo siku zake zishafika mwisho tangu siku ya kwanza tu alivyoapisha SSH.
Kwahiyo hakuna namna ya kumuepusha kikombe hiko.
 
Anaandika Mtozi Alloyce Nyanda

Nimeona Video ya Mfanyabiasha Cathbert imepostiwa na @kumbushodawson....

Mtozi Aloyce Nyanda inabidi adeclare interest kwa sabaya ,Sabaya alimchangia fedha nyingi sana Mtozi kwenye Harusi yake...Sabaya ndio Financier wa Mtozi.....Ni lazima Mtozi atoke povu maana sabaya akiondolewa basi na yeye atakosa pesa za sabaya.
 
Hii uzi wake upo?
 
Your browser is not able to display this video.


Watu tukilakamika jinsi watu walivyokuwa wana nyang'anya na kupora wafanya biashara huu ni mfano hai.

Walitekwa kina Mo Dewji.
Zakaria just to mention a few.

Sasa leo mama Samia anashughulikia matatizo, waliokuwa wanapora ambao wao humu mtandaoni wanakuja juu.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…