Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?

Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?

Anaandika Mtozi Alloyce Nyanda

Nimeona Video ya Mfanyabiasha Cathbert imepostiwa na @kumbushodawson

Kumbuso ni rafiki yangu sana na kwa kuwa sisi sote huwa ni waumini wa ujenzi wa hoja basi kabla ya kuingia katika mjadala wa msingi napenda maswali haya yajibiwe kisha tuje sasa kwenye Hoja hiyo hapo juu.

1. Huyu Bwana Cathbert mwaka 2019 aliwahi kusema kuwa Mkuu wa wilaya Sabaya aliwahi kuvamia hotelini kwake na makundi ya watu na kupora hela na kulazimisha kuchukua mwanamke kwa nguvu na kwamba Bwana Cathebert alisema atatoa Video ya CCTV ikionyesha huo unyama wa Sabaya lakini tangu mwaka 2019 hadi leo ni miaka 2 hakuna hiyo Video; je Video ipo wapi?

2. Anadai Sabaya alimzuia mwekezaji wa maonyesho ya nyoka kufanya hivyo Hai! unajua nyoka ni maliasili na nyara muhimu za serikali? umewahi kumuuliza kama alikidhi vigezo na taratibu za kisheria kumruhusu kufanya hivyo?

3. Huyu bwana katika Video hapo
Juu anasema amekimbia na kujificha kutokana na vitisho vya Sabaya na anamuomba mama Samia amsaidie! Swali mtu anasema amejificha wakati anasema yupo pahala flani kwenye shamba tena mchana kweupe na yupo Tanzania je Kumbuso kujificha ndo huku ambapo Mimi na wewe hatupo Kilimanajaro ila tumeshajua huyu bwana yupo wapi!

4. Asante Tours Ooshi si Arusha na kwamba kuna video ikionyesha kwamba mwezi wa pili mwaka huu kampuni na ofisi iliuzwa kwa mnada na bank ya CRDB mil 600 kutokana na madeni ya bwana huyu anayodaiwa toka mwaka 2009 huko nako Sabaya alikuwa Hai?

6. Zimekuwepo tuhuma za huyu bwana kupora maeneo na kuyabadilisha hati kisha anaenda kukopa bank na kuyatumia kwa
Manufaa yake na DC alishwahi kuyarudisha mashamba kwa wenyewe, je Kumbuso unafahamu Hilo? Je, alishawahi hata kujirekodi kusema kuwa ni uwongo?

Baada ya uteuzi wa mawaziri,makatibu wakuu mhe Rais alisema sasa anakuja kwa ma Rc na kina sabaya,Haya nayo yakazuka,common sense inasemaje?

Naomba Tuanze na haya kisha twende kwenye hoja ya Msingi ya bwana Mfanyabiashara ambae yupo shambani alipojirekodi kutupa habari amejificha.
Wewe bwege nini.
Mtu anazungukia biashara za watu usiku kudai kodi, na wewe unaona poa tu.
 
Zipo CCTV nyingine Sabaya anavamia duka la nguo Arusha na inaonekana walivyojichotea pesa. Huyu hafai kwa serikali ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan.
 
Sabaya majuzi katika kumfanyizia Duwani wa Sombetini baada ya kuvamia duka kama afisa wa TRA na kutaka kupewa fedha.
 
Anaandika Mtozi Alloyce Nyanda

Nimeona Video ya Mfanyabiasha Cathbert imepostiwa na @kumbushodawson

Kumbuso ni rafiki yangu sana na kwa kuwa sisi sote huwa ni waumini wa ujenzi wa hoja basi kabla ya kuingia katika mjadala wa msingi napenda maswali haya yajibiwe kisha tuje sasa kwenye Hoja hiyo hapo juu.

1. Huyu Bwana Cathbert mwaka 2019 aliwahi kusema kuwa Mkuu wa wilaya Sabaya aliwahi kuvamia hotelini kwake na makundi ya watu na kupora hela na kulazimisha kuchukua mwanamke kwa nguvu na kwamba Bwana Cathebert alisema atatoa Video ya CCTV ikionyesha huo unyama wa Sabaya lakini tangu mwaka 2019 hadi leo ni miaka 2 hakuna hiyo Video; je Video ipo wapi?

2. Anadai Sabaya alimzuia mwekezaji wa maonyesho ya nyoka kufanya hivyo Hai! unajua nyoka ni maliasili na nyara muhimu za serikali? umewahi kumuuliza kama alikidhi vigezo na taratibu za kisheria kumruhusu kufanya hivyo?

3. Huyu bwana katika Video hapo
Juu anasema amekimbia na kujificha kutokana na vitisho vya Sabaya na anamuomba mama Samia amsaidie! Swali mtu anasema amejificha wakati anasema yupo pahala flani kwenye shamba tena mchana kweupe na yupo Tanzania je Kumbuso kujificha ndo huku ambapo Mimi na wewe hatupo Kilimanajaro ila tumeshajua huyu bwana yupo wapi!

4. Asante Tours Ooshi si Arusha na kwamba kuna video ikionyesha kwamba mwezi wa pili mwaka huu kampuni na ofisi iliuzwa kwa mnada na bank ya CRDB mil 600 kutokana na madeni ya bwana huyu anayodaiwa toka mwaka 2009 huko nako Sabaya alikuwa Hai?

6. Zimekuwepo tuhuma za huyu bwana kupora maeneo na kuyabadilisha hati kisha anaenda kukopa bank na kuyatumia kwa
Manufaa yake na DC alishwahi kuyarudisha mashamba kwa wenyewe, je Kumbuso unafahamu Hilo? Je, alishawahi hata kujirekodi kusema kuwa ni uwongo?

Baada ya uteuzi wa mawaziri,makatibu wakuu mhe Rais alisema sasa anakuja kwa ma Rc na kina sabaya,Haya nayo yakazuka,common sense inasemaje?

Naomba Tuanze na haya kisha twende kwenye hoja ya Msingi ya bwana Mfanyabiashara ambae yupo shambani alipojirekodi kutupa habari amejificha.
Maccm yote hayafai
 
Mbona huyo mfanya biashara anazo hadi footage za cctv camera zikionyesha Sabaya kuvamia? Hiyo ndiyo michezo ya Sabaya, OCD na polisi Hai wameibariki na kila mtu anafahamu hilo.

Inachekesha unavyosema Sabaya anachafuliwa wakati tayari ni mchafu na asafishiki!

Swala la kudaiwa hamna maajabu hapo kwani ueliwi sekta ya utalii na hotel ilipigwa na corona?
Sabaya hafai hata kuwepo ofisini kwa dakika moja
 
Ndugu yangu ukitaka kumtetea sabaya utaishia kuchafuka mwenyewe. Hata umtoe swai katika masuala aliyowahi kufanya sabaya ni mengi. Muulize nandy alichofanyiwa pale weruweru mountain lodge usiku sabaya akiwa na genge lake.
Mhuni sana huyo dogo
 
Kumtetea Sabaya inabidi uwe na akili za muuaji anayekula ugoro puani na mdomoni.

Ona video hii Sabaya akivamia dukani kwa mfanyabiashara Arusha akiwa na kundi lake la wakimtesa msaidizi wa dukani akilazimishwa aseme boss yuko wapi ili akamatwe atishiwe atoe pesa.
 
Hao ni kati ya baadhi ya mawakala wa uchawi wa mchana juu ya Wananchi. Sasa mbeleke ya kubebea uchawi wao imekatika. Sijui watabebwaaa vipi. Hawa tupa kule wakachunge ngombe
 
Back
Top Bottom