Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui sheria inasemaje akienguliwa anaweza shitakiwa binafsi kwa madhila aliyoyenda kwa kutumia vibaya madataka?Mbona huyu Ole Sabaya anasifika zaidi kwa mabaya tu? Ana laana, au! Naomba wanao mfahamu vizuri wanijuze tafadhali.
View attachment 1746008
Watu tukilakamika jinsi watu walivyokuwa wana nyang'anya na kupora wafanya biashara huu ni mfano hai.
Walitekwa kina Mo Dewji.
Zakaria just to mention a few.
Sasa leo mama Samia anashughulikia matatizo, waliokuwa wanapora ambao wao humu mtandaoni wanakuja juu.
Clip kama hizi ni ushahidi tosha.Sijui sheria inasemaje akienguliwa anaweza shitakiwa binafsi kwa madhila aliyoyenda kwa kutumia vibaya madataka?
Mheshimiwa raisi tunaomba utupie jicho lakini wilaya ya Kigamboni vilevile dhulma ni nyingi na zinafanywa na maofisa wa ardhi kunyanganya watu wenye maeneo makumbwa waliotunza mikoko na sasa mkuu wa wilaya anataka kugawa viwanja ndani ya uoto wa mikoko na sisi kama wahifadhi anatutishia na kusema ni wakazi haramu na tunauza madawa ya kulevya.Kigamboni kuna matatizo mengi na mkuu wa wilaya anatawala kama myelin.View attachment 1746008
Watu tukilakamika jinsi watu walivyokuwa wana nyang'anya na kupora wafanya biashara huu ni mfano hai.
Walitekwa kina Mo Dewji.
Zakaria just to mention a few.
Sasa leo mama Samia anashughulikia matatizo, waliokuwa wanapora ambao wao humu mtandaoni wanakuja juu.
MtemiMheshimiwa raisi tunaomba utupie jicho lakini wilaya ya Kigamboni vilevile dhulma ni nyingi na zinafanywa na maofisa wa ardhi kunyanganya watu wenye maeneo makumbwa waliotunza mikoko na sasa mkuu wa wilaya anataka kugawa viwanja ndani ya uoto wa mikoko na sisi kama wahifadhi anatutishia na kusema ni wakazi haramu na tunauza madawa ya kulevya.Kigamboni kuna matatizo mengi na mkuu wa wilaya anatawala kama myelin.
dawa yake Ni kumbebea bango tu maana Mheshimiwa raisi kasema hataki Mambo ya mabango Zama za kuigiza kula maindi zimeishaMheshimiwa raisi tunaomba utupie jicho lakini wilaya ya Kigamboni vilevile dhulma ni nyingi na zinafanywa na maofisa wa ardhi kunyanganya watu wenye maeneo makumbwa waliotunza mikoko na sasa mkuu wa wilaya anataka kugawa viwanja ndani ya uoto wa mikoko na sisi kama wahifadhi anatutishia na kusema ni wakazi haramu na tunauza madawa ya kulevya.Kigamboni kuna matatizo mengi na mkuu wa wilaya anatawala kama myelin.
Mheshimiwa raisi tunaomba utupie jicho lakini wilaya ya Kigamboni vilevile dhulma ni nyingi na zinafanywa na maofisa wa ardhi kunyanganya watu wenye maeneo makumbwa waliotunza mikoko na sasa mkuu wa wilaya anataka kugawa viwanja ndani ya uoto wa mikoko na sisi kama wahifadhi anatutishia na kusema niView attachment 1746008
Watu tukilakamika jinsi watu walivyokuwa wana nyang'anya na kupora wafanya biashara huu ni mfano hai.
Walitekwa kina Mo Dewji.
Zakaria just to mention a few.
Sasa leo mama Samia anashughulikia matatizo, waliokuwa wanapora ambao wao humu mtandaoni wanakuja juu.
sisi wengine kashatutisha kiasi tumekimbia nchi si anaweza kukuweka jeladawa yake Ni kumbebea bango tu maana Mheshimiwa raisi kasema hataki Mambo ya mabango Zama za kuigiza kula maindi zimeisha
Wangemleta mikoa ya wasiovumilia kabisa ujinga aliofanya huyu Sabaya.Sabaya ni jambazi alikua anaenda Arusha na wahuni wenzie anawapa pesa wananunua kwenye duka harafu jamaa adai risit anatoka haraka baadae wanakuja wao kujifanya wamemkamata kumbe ni mchongo huku wamechunguza mpaka account yako na kukuambia usipotoa milioni hamsini unapewa kesi ya uhujumu uchumi mimi nilisema zambi ya kuua ntaipata waje wafanye huo ujinga kwangu bahati nzuri kwao hawakuonekana tena kwenye maduka ya stand kubwa...huyo ni jambazi jambazi
Nimeshasemaga humu kila mara hivo hivoHuu mkakati umekutana na Kaburi lengo lilikuwa kuwaharas Wafanyabiashara wa Kilimanjaro
Kuna wajinga wanaamini mambo ya ajabu ya Ukabila na huyo Mfanyabiashara na wenzake ni colletral tu
Kama toto lililodekezwa, bwege!Ndio maana alilia sana mungu wake alipoingizwa kaburini...
View attachment 1746093View attachment 1746094
Na wahuni kama huyu kwenye hiyo serikali ya kijambazi walikuwa wengi...
Kama ni mimi ningeshalikimbia huko kwa wachagga maana kinga haina hakika kwasasaHuu mkakati umekutana na Kaburi lengo lilikuwa kuwaharas Wafanyabiashara wa Kilimanjaro
Kuna wajinga wanaamini mambo ya ajabu ya Ukabila na huyo Mfanyabiashara na wenzake ni collateral demage tu