Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?

Kaa kwa kutulia wewe!

Yaani watu wanyamaze na wanaonewa????
 
Sabaya kumbe ni mtu mbaya sana
 
Haya ni swala la muda tu, jiwe kwa jiwe, moto kwa moto
 
Ipo siku tutaanza vita vya wenyewe kwa wenyewe na hivi vitaanza kama njia yakujilinda dhidi ya watu/mtu fulani kisha vitahamia kwenye kabila la mtu huyo fulani mwishowe ni vurugu ya nchi nzima.

Chuki ni kubwa sana huu muda, hadi watu wanashangilia kifo cha raisi wao. Hii si dalili nzuri
 
Unajaribu kusafisha shimo la choo, utaweza?
Ni nani ambaye hakusikia ujinga wa huyo unayemtetea? Aibu yake na laana yake vitamfuata hadi kizazi chake cha saba, usijaribu kununua matatizo ya mpuuzi
 
Mtozi Aloyce Nyanda inabidi adeclare interest kwa sabaya ,Sabaya alimchangia fedha nyingi sana Mtozi kwenye Harusi yake...Sabaya ndio Financier wa Mtozi.....Ni lazima Mtozi atoke povu maana sabaya akiondolewa basi na yeye atakosa pesa za sabaya.
Na pesa alizochangiwa ni za kupora wafanyabiashara , hii ndoa ikimaliza mwaka huu itakuwa ajabu sana !
 
Viandishi vyabongo vingine vijingavijingaaaa...vinajua kujipendekeza kuliko kazi!!!
1.) Rais amewahi agiza watu waanzishe zoo zao. Hata arusha kuna snake park sasa mambo ya nyara za serikali yanakujaje? Kwanini DC asimshauri mwekezaji njia sahihi ili kukuza uchumi na ajira hai?
2.) Kuhusu kujificha nyanda anakuwa mjinga zaidi,kwani ukijificha huwezi kutoka ukaenda mahali ukarekodi ukarudi ulipojificha, anahisi kujificha ameingia shimo la majitaka kama sadam? Au kaenda torabola? Hopeless!!!
3.) Huyu alishindwa kesi ya shamba LA mh. Mbowe,kwanini tusiamini ananyang'anya watu bila kufata sheria.
4.) Anakamata na kufunga watu hovyo na mkuu wa mkoa alipomsihi aache alionesha dharau na kumkebehi huku akivua miwani na kumwangalia kwa hasira na kumng'ong'a hadharani mbele ya watendaji na video ipo ikionesha hayo.
Swali ni je? Alitumwa hai kwenda kumaliza uwekezaji na kutesa wawekezaji? Assignment yake ni kuifanya hai maskini? Kwanini anapambana sana na wafanyabiashara na wawekezaji? Je, angekuwa Chato angetesa nduguze mwenda kama afanyavyo hai??
Yote yanamwisho Huyo nyanda aendelee kujinyandika kwa dikteta mjinga
 
Huyo Nyanda usikute ni bebi wake huyu jambazi Sabaya, siyo kwa kujitoa ufahamu kiasi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…