D Dogo12 Member Joined Oct 5, 2022 Posts 65 Reaction score 155 Nov 17, 2023 #1 Habari wanajamvi nilikua nauliza je mtu akiacha kazi utumishi wa umma bila sababu yoyote na kutoa taarifa anastahili kulipwa mafao yake
Habari wanajamvi nilikua nauliza je mtu akiacha kazi utumishi wa umma bila sababu yoyote na kutoa taarifa anastahili kulipwa mafao yake
P Prosperity96 JF-Expert Member Joined Sep 22, 2015 Posts 293 Reaction score 320 Nov 28, 2023 #2 una maanisha mafao kama yapi? i.e likizo ya mwaka,pesa au posho ya nuali,kiinua mgongo? au ni mafao gani?
una maanisha mafao kama yapi? i.e likizo ya mwaka,pesa au posho ya nuali,kiinua mgongo? au ni mafao gani?
Elvis Legacy JF-Expert Member Joined Aug 10, 2017 Posts 3,984 Reaction score 5,820 Nov 28, 2023 #3 Kuacha kazi ni haki ya mfanyakazi.
P Prosperity96 JF-Expert Member Joined Sep 22, 2015 Posts 293 Reaction score 320 Nov 28, 2023 #4 Mega Mind Nyerere said: Kuacha kazi ni haki ya mfanyakazi. Click to expand... hakuna haki bila wajibu,na hakuna wajibu bila haki
Mega Mind Nyerere said: Kuacha kazi ni haki ya mfanyakazi. Click to expand... hakuna haki bila wajibu,na hakuna wajibu bila haki
K11 JF-Expert Member Joined Oct 15, 2014 Posts 3,447 Reaction score 11,274 Nov 28, 2023 #5 Ukiacha bila kufuata utaratibu haupati chochote