Mtu akifa anatakiwa azikwe wapi? Migogoro ya kuzika maiti

Mtu akifa anatakiwa azikwe wapi? Migogoro ya kuzika maiti

Kwa Tanzania hii makabila yenye mila hayazidi matano.
Lakîni sisi wengine kuanzia Wapare, Wachagga, wahayà, wasukuma , Wanyamwezi na makabila mengi màarufu hayana kitû kinaitwa ûtamaduni.

Kama kûngekuwa na utamaduni au hizo mila pasingekuwa na kitu kinaitwa sijui Tanganyika sijui Tañzania. Kila kabila lingekuwa ñçhi kamili
Sidhani kama upo sahihi mkuu
 
Hapana mkuu

Ndio maana nikasema siku hizi utamaduni ule unaoitwa wa kiafrika haupo isipokuwa kwa makabila machache mno.

Moja ya sifa za mila na desturi au utamaduni ni ukabila. Ûkiona sehemu isiyo na ukabila jua mila na desturi eneo hilo ipo katika hatua ya mwisho kufutika
 
Back
Top Bottom