SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Ni huku africa mkuu jambo dogo linakuzwa
Ona sasa. Masuala ya Binadamu wote Duniani, nyie mmengang'ania "Waafrika"Lakini kwa nini mgombee maiti?
Waking'ang'ania wazike waachieni wazike
Waafrika tuna mambo ya kijinga sana
Panueni uelewa.