Either mwanasheria au mwanafamilia inategemeanaNa huo wosia atakabidhiwa nani? Tuanzie hapo.
Sidhani kama upo sahihi mkuuKwa Tanzania hii makabila yenye mila hayazidi matano.
Lakîni sisi wengine kuanzia Wapare, Wachagga, wahayà, wasukuma , Wanyamwezi na makabila mengi màarufu hayana kitû kinaitwa ûtamaduni.
Kama kûngekuwa na utamaduni au hizo mila pasingekuwa na kitu kinaitwa sijui Tanganyika sijui Tañzania. Kila kabila lingekuwa ñçhi kamili
Sidhani kama upo sahihi mkuu
Hapana mkuuNi kweli.
Lakini nikikuulizà kwa Mila ña utamaduni wa kiafrika kuna ndoa za kikristo au kiislamu?
Ni imani tu, kwani mtu anapowazika ndugu zake au wazazi wake upata faida gani na je asipowazika upata hasara gani.Hivi Kunakuwa~ga na faida yyt maiti akizikwa upande fulani wa ndugu au jamaa?
Ni faida zipi kwa mfano?
Hapana mkuu
Bibi yako alitakiwa azikwe alikoolewa,ipo hivyo