Mtu akiingia Ikulu kwa "ndodndokela" anakuwa hana ajenda (anapuyanga). Tuliyaona kwa Magufuli na sasa tunayaona kwa Samia

Mtu akiingia Ikulu kwa "ndodndokela" anakuwa hana ajenda (anapuyanga). Tuliyaona kwa Magufuli na sasa tunayaona kwa Samia

Magufuli ndiye mwanzilishi wa utamaduni mchafu wa kiongozi wa nchi kupendelea kwao na wakwao. Na huu ujinga hautakaa ukome mpk tutakapochapana na kuvunjana mikono na miguu.
Mzee unataka kuzichapa?
 
Kumbe issue ni Tuezi!! Fanya kazi usubiri teuzi ..atateua yule ambaye anaona atamsaidia .. kwenye majukumu yake kama wote wazanzibari basi iwe hivyo tunachohitaji maendeleo ..
 
Kuna hadithi ya mfalme aliyetaka kumuoza binti yake kwa mwanaume jasiri atakayeweza kuogelea kwenye bwawa la mamba mpk kulivuka na kufika upande wa pili .

Wakiwa wamejipanga pembeni ya bwawa mwanaume mmoja alisukumwa na mwanaume mwenzake. Yule mwanaume alidumbukia ndani ya bwawa na kwa bahati ya mtennde akabahatika kufika ng'ambo ya pili.

Alipofika ng'ambo ya pili alitarajiwa afurahie na azingatie ajenda ya kumuoa binti wa mfalme, badala yake akaanza kumtafuta aliyemsukuma mpaka kutumbukia kwenye bwawa la mamba. Alianza kupuyanga.

Hadith hii inatupa somo kubwa sana kuhusu viongozi wetu hawa wawili:- Magufuli na Samia. Wote hawa wameupata urais kwa bahati ya mtende.

Magufuli alipoupata akaanza kulipa visasi kwa yeyote aliyemhisi kuwa mbaya wake. Akajawa na hulka za ubinafsi na kupendelea kwao na wakwao (akawa mkabila na mkanda). Akatamani Kijiji cha Chato ndiyo kiwe jiji kubwa kuliko majiji yote hapa nchini.

Kama mnakumbuka aliagiza kuwa ndani ya Dar ni wilaya ya Ilala peke yake ndiyo iwe jiji. Lengo lake bila shaka alitaka kuhalalisha wilaya ya chato ikiwa jiji ndani ya mkoa wa Geita basi isishangaze watu. Alikuwa na mawazo ya ajabu sana mtu yule??!!

Magufuli ndiye mwanzilishi wa utamaduni mchafu wa kiongozi wa nchi kupendelea kwao na wakwao. Na huu ujinga hautakaa ukome mpk tutakapochapana na kuvunjana mikono na miguu.

Haikupita muda rais Samia akaukwaa urais kwa ndondokela. Naye tunaona anayafanya yale yale ya mtangulizi wake ya kupuyanga. Anaanza kupendelea wakwao na kwao. Ameuvaa uzanzibari zaidi ya utanganyika. Wazanzibari wamepata teuzi nyingi ktk awamu hii kuliko kipindi kingine chochote ktk historia ya taifa hili.

Hii nuksi ya upendeleo wa ukanda na ukabila iliyoanzishwa na Magufuli ni nani ataiondoa??
Utumbo wako ni mrefu sijui umeutoa kwa kwa mnyama gani maana umeshaanz kunuka
 
Kuna hadithi ya mfalme aliyetaka kumuoza binti yake kwa mwanaume jasiri atakayeweza kuogelea kwenye bwawa la mamba mpk kulivuka na kufika upande wa pili .

Wakiwa wamejipanga pembeni ya bwawa mwanaume mmoja alisukumwa na mwanaume mwenzake. Yule mwanaume alidumbukia ndani ya bwawa na kwa bahati ya mtennde akabahatika kufika ng'ambo ya pili.

Alipofika ng'ambo ya pili alitarajiwa afurahie na azingatie ajenda ya kumuoa binti wa mfalme, badala yake akaanza kumtafuta aliyemsukuma mpaka kutumbukia kwenye bwawa la mamba. Alianza kupuyanga.

Hadith hii inatupa somo kubwa sana kuhusu viongozi wetu hawa wawili:- Magufuli na Samia. Wote hawa wameupata urais kwa bahati ya mtende.

Magufuli alipoupata akaanza kulipa visasi kwa yeyote aliyemhisi kuwa mbaya wake. Akajawa na hulka za ubinafsi na kupendelea kwao na wakwao (akawa mkabila na mkanda). Akatamani Kijiji cha Chato ndiyo kiwe jiji kubwa kuliko majiji yote hapa nchini.

Kama mnakumbuka aliagiza kuwa ndani ya Dar ni wilaya ya Ilala peke yake ndiyo iwe jiji. Lengo lake bila shaka alitaka kuhalalisha wilaya ya chato ikiwa jiji ndani ya mkoa wa Geita basi isishangaze watu. Alikuwa na mawazo ya ajabu sana mtu yule??!!

Magufuli ndiye mwanzilishi wa utamaduni mchafu wa kiongozi wa nchi kupendelea kwao na wakwao. Na huu ujinga hautakaa ukome mpk tutakapochapana na kuvunjana mikono na miguu.

Haikupita muda rais Samia akaukwaa urais kwa ndondokela. Naye tunaona anayafanya yale yale ya mtangulizi wake ya kupuyanga. Anaanza kupendelea wakwao na kwao. Ameuvaa uzanzibari zaidi ya utanganyika. Wazanzibari wamepata teuzi nyingi ktk awamu hii kuliko kipindi kingine chochote ktk historia ya taifa hili.

Hii nuksi ya upendeleo wa ukanda na ukabila iliyoanzishwa na Magufuli ni nani ataiondoa??
Kwa Mwamba Jiwe Magufuli huyo hakuwa Rais Bora Tanzania, bali Bora Afrika mzima. Sasa hivi Kuna kitu kinaitwa Magulification of Africa. Unajua?
 
Kuna hadithi ya mfalme aliyetaka kumuoza binti yake kwa mwanaume jasiri atakayeweza kuogelea kwenye bwawa la mamba mpk kulivuka na kufika upande wa pili .

Wakiwa wamejipanga pembeni ya bwawa mwanaume mmoja alisukumwa na mwanaume mwenzake. Yule mwanaume alidumbukia ndani ya bwawa na kwa bahati ya mtennde akabahatika kufika ng'ambo ya pili.

Alipofika ng'ambo ya pili alitarajiwa afurahie na azingatie ajenda ya kumuoa binti wa mfalme, badala yake akaanza kumtafuta aliyemsukuma mpaka kutumbukia kwenye bwawa la mamba. Alianza kupuyanga.

Hadith hii inatupa somo kubwa sana kuhusu viongozi wetu hawa wawili:- Magufuli na Samia. Wote hawa wameupata urais kwa bahati ya mtende.

Magufuli alipoupata akaanza kulipa visasi kwa yeyote aliyemhisi kuwa mbaya wake. Akajawa na hulka za ubinafsi na kupendelea kwao na wakwao (akawa mkabila na mkanda). Akatamani Kijiji cha Chato ndiyo kiwe jiji kubwa kuliko majiji yote hapa nchini.

Kama mnakumbuka aliagiza kuwa ndani ya Dar ni wilaya ya Ilala peke yake ndiyo iwe jiji. Lengo lake bila shaka alitaka kuhalalisha wilaya ya chato ikiwa jiji ndani ya mkoa wa Geita basi isishangaze watu. Alikuwa na mawazo ya ajabu sana mtu yule??!!

Magufuli ndiye mwanzilishi wa utamaduni mchafu wa kiongozi wa nchi kupendelea kwao na wakwao. Na huu ujinga hautakaa ukome mpk tutakapochapana na kuvunjana mikono na miguu.

Haikupita muda rais Samia akaukwaa urais kwa ndondokela. Naye tunaona anayafanya yale yale ya mtangulizi wake ya kupuyanga. Anaanza kupendelea wakwao na kwao. Ameuvaa uzanzibari zaidi ya utanganyika. Wazanzibari wamepata teuzi nyingi ktk awamu hii kuliko kipindi kingine chochote ktk historia ya taifa hili.

Hii nuksi ya upendeleo wa ukanda na ukabila iliyoanzishwa na Magufuli ni nani ataiondoa??
Ni afadhali hata MAGUFULI sasa huyu anadharau katiba waziwazi bila haya wa Aibu,SAMIA HAIJUI KATIBA aliyoapa na anataka kuwalazimisha watanzania kwamba hawajui katiba kama yy,Aibu kabisa.
 
Kinacho nishangaza kwa Mams na yeye ana lalamika. Sijui Raia tusaidike wapi
 
Wewe unaona ni sawa uwe na Halmashauri Temeke, Ilala, Kinondoni halafu uwe tena na halmashauri tena juu yao?
 
Kuna hadithi ya mfalme aliyetaka kumuoza binti yake kwa mwanaume jasiri atakayeweza kuogelea kwenye bwawa la mamba mpk kulivuka na kufika upande wa pili .

Wakiwa wamejipanga pembeni ya bwawa mwanaume mmoja alisukumwa na mwanaume mwenzake. Yule mwanaume alidumbukia ndani ya bwawa na kwa bahati ya mtennde akabahatika kufika ng'ambo ya pili.

Alipofika ng'ambo ya pili alitarajiwa afurahie na azingatie ajenda ya kumuoa binti wa mfalme, badala yake akaanza kumtafuta aliyemsukuma mpaka kutumbukia kwenye bwawa la mamba. Alianza kupuyanga.

Hadith hii inatupa somo kubwa sana kuhusu viongozi wetu hawa wawili:- Magufuli na Samia. Wote hawa wameupata urais kwa bahati ya mtende.

Magufuli alipoupata akaanza kulipa visasi kwa yeyote aliyemhisi kuwa mbaya wake. Akajawa na hulka za ubinafsi na kupendelea kwao na wakwao (akawa mkabila na mkanda). Akatamani Kijiji cha Chato ndiyo kiwe jiji kubwa kuliko majiji yote hapa nchini.

Kama mnakumbuka aliagiza kuwa ndani ya Dar ni wilaya ya Ilala peke yake ndiyo iwe jiji. Lengo lake bila shaka alitaka kuhalalisha wilaya ya chato ikiwa jiji ndani ya mkoa wa Geita basi isishangaze watu. Alikuwa na mawazo ya ajabu sana mtu yule??!!

Magufuli ndiye mwanzilishi wa utamaduni mchafu wa kiongozi wa nchi kupendelea kwao na wakwao. Na huu ujinga hautakaa ukome mpk tutakapochapana na kuvunjana mikono na miguu.

Haikupita muda rais Samia akaukwaa urais kwa ndondokela. Naye tunaona anayafanya yale yale ya mtangulizi wake ya kupuyanga. Anaanza kupendelea wakwao na kwao. Ameuvaa uzanzibari zaidi ya utanganyika. Wazanzibari wamepata teuzi nyingi ktk awamu hii kuliko kipindi kingine chochote ktk historia ya taifa hili.

Hii nuksi ya upendeleo wa ukanda na ukabila iliyoanzishwa na Magufuli ni nani ataiondoa??
Wewe ni fala rais yoyote akiingia madarakani anatekeleza ilani ya CCM ambayo inaandaliwa na chama.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Kuna hadithi ya mfalme aliyetaka kumuoza binti yake kwa mwanaume jasiri atakayeweza kuogelea kwenye bwawa la mamba mpk kulivuka na kufika upande wa pili .

Wakiwa wamejipanga pembeni ya bwawa mwanaume mmoja alisukumwa na mwanaume mwenzake. Yule mwanaume alidumbukia ndani ya bwawa na kwa bahati ya mtennde akabahatika kufika ng'ambo ya pili.

Alipofika ng'ambo ya pili alitarajiwa afurahie na azingatie ajenda ya kumuoa binti wa mfalme, badala yake akaanza kumtafuta aliyemsukuma mpaka kutumbukia kwenye bwawa la mamba. Alianza kupuyanga.

Hadith hii inatupa somo kubwa sana kuhusu viongozi wetu hawa wawili:- Magufuli na Samia. Wote hawa wameupata urais kwa bahati ya mtende.

Magufuli alipoupata akaanza kulipa visasi kwa yeyote aliyemhisi kuwa mbaya wake. Akajawa na hulka za ubinafsi na kupendelea kwao na wakwao (akawa mkabila na mkanda). Akatamani Kijiji cha Chato ndiyo kiwe jiji kubwa kuliko majiji yote hapa nchini.

Kama mnakumbuka aliagiza kuwa ndani ya Dar ni wilaya ya Ilala peke yake ndiyo iwe jiji. Lengo lake bila shaka alitaka kuhalalisha wilaya ya chato ikiwa jiji ndani ya mkoa wa Geita basi isishangaze watu. Alikuwa na mawazo ya ajabu sana mtu yule??!!

Magufuli ndiye mwanzilishi wa utamaduni mchafu wa kiongozi wa nchi kupendelea kwao na wakwao. Na huu ujinga hautakaa ukome mpk tutakapochapana na kuvunjana mikono na miguu.

Haikupita muda rais Samia akaukwaa urais kwa ndondokela. Naye tunaona anayafanya yale yale ya mtangulizi wake ya kupuyanga. Anaanza kupendelea wakwao na kwao. Ameuvaa uzanzibari zaidi ya utanganyika. Wazanzibari wamepata teuzi nyingi ktk awamu hii kuliko kipindi kingine chochote ktk historia ya taifa hili.

Hii nuksi ya upendeleo wa ukanda na ukabila iliyoanzishwa na Magufuli ni nani ataiondoa??
Crap
 
Wewe ni fala rais yoyote akiingia madarakani anatekeleza ilani ya CCM ambayo inaandaliwa na chama.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Ebu nambie sera za CCM zinasemaje kuhusu chanzo cha upatikanaji wa umeme nchini.
Haohao walitwambia umeme kutokana na maji hautufai na miwa ghali.
Wakaja na mpango mbadala wakutumia nishati ya umeme utokanao na gesi, maandalizi ya kafanywa kutoka Mtwara,mabomba ya kusafirisha gesi ya bei nafuu nchini yakaanza kutandikwa,leo hii hakuna aneyeogelea gesi tena.
Baadae likaibuka la Bwawa la mwalimu Nyerere mradi wa maji uliokataliwa nakupendelea mradi wa gesi.
Hapa hamna sera zozote CCM zinazofuatwa na watawala hapa kila mtu anatanguliza masilahi binafsi.
Usishangae akaja mtawala mwingine akaupa kipaumbele mradi wa nishati ya kutumia upepo na kulitelekeza bwawa la mwalimu Nyerere!.
 
Back
Top Bottom