Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Sababu baada ya kumaliza chuo nimekosa ajira baada ya ku-apply sana Kazi sijaambulia kupata, sanasana naishiaga kwenye interview. Nimekaa mtaani mda mrefu, hivyo najishughulisha na temporary informal jobs ndogo ndogo.
Mtaani baadhi ya watu wanajua mimi ni mwanachuo, sasa sometimes utakuta mtu hamfahamiani, au jirani, mtu mzima mzee, anakuuliza ajira vipi, unafanya kazi wapi, au kazi fulani zimetoka mbona huja-apply, huwa napata uchungu moyoni.
Kuna ndugu mmoja Hadi sahiv namkwepa sababu kila nikiongea naye kwenye simu anapenda kuniuliza kuhusu kazi.
Je, nakosea nikiwakasirikia hao watu waloniuliza swali kama hilo?
Mtaani baadhi ya watu wanajua mimi ni mwanachuo, sasa sometimes utakuta mtu hamfahamiani, au jirani, mtu mzima mzee, anakuuliza ajira vipi, unafanya kazi wapi, au kazi fulani zimetoka mbona huja-apply, huwa napata uchungu moyoni.
Kuna ndugu mmoja Hadi sahiv namkwepa sababu kila nikiongea naye kwenye simu anapenda kuniuliza kuhusu kazi.
Je, nakosea nikiwakasirikia hao watu waloniuliza swali kama hilo?