Mtu akitembea na mkeo nawe tembea na mkewe wake

Mtu akitembea na mkeo nawe tembea na mkewe wake

Uhuni nii tabia ya Mtu tu. Kama Mwanamke ni malaya kiasili ataendelea tu kufanya

Wangapi wanahudumiwa kila kitu, kuanzia Sex, Makazi, Mavazi, Usafiri n.k na bado wanachepuka?
hapo tatizo ni lako hukuwajibika ipasavyo ndio maana umevuta ndani malaya tena kwenye ndoa...

Mwanaume anaewajibika ni mahiri na Makini sana ...

Jambo jingine inafaa kuwajibika kikamilifu kwa njia zote katika kuidhibiti na kurekebisha hali hiyo ya mkeo malaya....
Mambo yanabadilika na yote yanawezekana kwa Mungu
 
Si mpaka huyo mkewe nae awe "mapepe"..
Wengine wake zao sio kama "mkeo,"
Kama sio mapepe ,mtafute huyo mwanamke mwambie mmeo anakusaliti na mke wangu ,then mwambie tuwalipize ,awez kataa ata kama sio mapepe.
 
"Acha kulalamika bn mkeo mbn tupo nae kila siku hapa ofisini wajuba hatuna mda nae sema yy tu ndo anagawa odds kizembe" nasubir mtu akomment hv
 
Na uchungu sana.

Sababu ya ukengeufu wa maadili ndoa haziheshimiwi kabisa,watu wanapita tu ukiacha mlango wazi.

Watu Wana ndoa home wakienda makazini Wana ndoa zingine yaani ndoa juu ya ndoa.

Uhitaji kuumia utaacha wangapi wote wameoza.

Mtu akipita na mke / mme wako nawe pita na wake kwa uchawi au kwa pesa kisha hakikisha nyote wanne mmejuana ibakie Siri yenu hapo hakuna maumivu.

Usiende jela kisa mapenzi ni upumbavu. Dawa ya mchepukaji nawe mchepukie ajue.

Jana mme wa mtu kamdrop mke wake mahali kumbe pale mahali yupo mchepuko wake ambae nae ni mme wa mtu. Uchafu mtupi siku.

Maofisini ndio usiseme kabisa. Nilishagoma wife asinitambulishe ofisini kwao wala sijawahi enda na sitoenda unaweza enda ukawa unasanifiwa na wanaume wenzako.
Alikiba aliimba "Mke wa mtu tutu,jambo la mtu ..... Kaa mbali....."

Kwa mtazamo wangu hayo ni mawazo mgando ,unatakiwa utumie akili zaidi ya hisia unapotaka kufanya maamuzi yenye manufaa kwa mustakabali wa maisha yako usiongizwe na hisia ambazo zitakupoteza bure
 
Na uchungu sana.

Sababu ya ukengeufu wa maadili ndoa haziheshimiwi kabisa,watu wanapita tu ukiacha mlango wazi.

Watu Wana ndoa home wakienda makazini Wana ndoa zingine yaani ndoa juu ya ndoa.

Uhitaji kuumia utaacha wangapi wote wameoza.

Mtu akipita na mke / mme wako nawe pita na wake kwa uchawi au kwa pesa kisha hakikisha nyote wanne mmejuana ibakie Siri yenu hapo hakuna maumivu.

Usiende jela kisa mapenzi ni upumbavu. Dawa ya mchepukaji nawe mchepukie ajue.

Jana mme wa mtu kamdrop mke wake mahali kumbe pale mahali yupo mchepuko wake ambae nae ni mme wa mtu. Uchafu mtupi siku.

Maofisini ndio usiseme kabisa. Nilishagoma wife asinitambulishe ofisini kwao wala sijawahi enda na sitoenda unaweza enda ukawa unasanifiwa na wanaume wenzako.

Kama hana mke wala dada!??
 
Atachepuka kwa akili.
Njia rahisi ya kumnasa mwizi ingilia mawasiliano yake.
Ukipata print out text zake hata za miaka mitano nyuma zikiwa safi ndo unakuja na jibu wangu anajitambua.
Jinsi ya kuzipata sasa
 
Na uchungu sana.

Sababu ya ukengeufu wa maadili ndoa haziheshimiwi kabisa,watu wanapita tu ukiacha mlango wazi.

Watu Wana ndoa home wakienda makazini Wana ndoa zingine yaani ndoa juu ya ndoa.

Uhitaji kuumia utaacha wangapi wote wameoza.

Mtu akipita na mke / mme wako nawe pita na wake kwa uchawi au kwa pesa kisha hakikisha nyote wanne mmejuana ibakie Siri yenu hapo hakuna maumivu.

Usiende jela kisa mapenzi ni upumbavu. Dawa ya mchepukaji nawe mchepukie ajue.

Jana mme wa mtu kamdrop mke wake mahali kumbe pale mahali yupo mchepuko wake ambae nae ni mme wa mtu. Uchafu mtupi siku.

Maofisini ndio usiseme kabisa. Nilishagoma wife asinitambulishe ofisini kwao wala sijawahi enda na sitoenda unaweza enda ukawa unasanifiwa na wanaume wenzako.
Mama yake yupo
 
Upande wangu nina maoni tofauti sana, Ndoa ni ibada, kwa dini zote, hutaenda peponi ikiwa huna ndoa, ukifanya thawabu zote ukawa huna dhambi kabisa hata moja, lakini rijali Mungu atakuweka kati ya moto na pepo yaani hatakupa pepo ila hatakuingiza motoni.
Ana maana kua hukuingia katika kipimo kikuu alichokiweka kuoa, ukioa omba Mungu kila kukicha mkeo awe muadilifu katika ndoa maaana hakuna calculation ya kumfanya mwanamke au mwanaume atulie au awe wako daima ila Mungu anawezesha wengi kupata ndoa nzuri zenye faraja wanaomuomba, wengine wanapata nafuu.
tumewahi kumcheka jamaa yetu mmoja alioa baamed ndoa kamili ya kikristu, tena bwana alikua na pesa tu, tahamaki tukagundua amepata bahati kubwa ya ajabu, mwanamke yule aliiogopa mno ndoa yake, anajituhumu kila dakika ana hofu mumewe hatamuamini, haendi kwa jirani, haendi sokoni, haendi hovyo popote na akitaka kuondoka kwenda labda msibani ambapo pengine amekwisha mueleza mumewe tayari asubuhi, basi tabu, atampigia mumewe mpaka mara tatu kuomba ruhusa tena wakati huo ni ule ambapo,hakukua na simu ya mkononi, kwa hiyo ya mezani anapigs hivyo mpaka jamaa akawa anamuonea huruma fulani weee unaogopa hivyo nini, akawa anamjibu mimi kwangu chenye thamani ni ndoa. huku wake zetu wanakurupuka mpaka mara tisa kwa siku kwenda sokoni na saluni na madukani kwa masaa, mwenzetu hana wasiwasi, mwanamke alikua anatiliwa mashaka na wazazi wa mume mpaka wakadiriki wazazi wale baada ya miaka kadhaa, wakasema wana hamu walipe ngombe sio vihela vichache alivyolipa mtoto wao, wakasema mtoto wetu amepata mke, ambapo awali walisema mtoto wetu mjinga, mimi ni muislam naona mtihani wa ndoa ndio mgumu sana kuliko mitihani yoooooote, na hata wanaopata 0, wasihuzunike ni kawaida kabisa kupata 0, ila jitahidi uoe ukitoa talaka uoe tena au uoe wake wawili au watatu au wanne, mimi nina wivu kuishi na wake wengi wakiwa mbalimbali, lakini huo nasema ni mtihani mkuu wa dunia ukipata 0 kila ndoa pia sio ajabu jitahidi utapata 100 siku ya mwisho ya hukumu, ila usiwe chanzo cha matatizo ila uwe unatunza ndoa yako usiingilie za wengine.
Saudia Arabia huko maka na madina, ukifumwa una mwanamke ambae hujamuoa tu unauawa kwa panga, kwa hiyo kama hujaoa hutapata mwanamke maana anaogopa kuuawa u kupata hukmu, hukmu ya kiislam kule nidhamu ya ndoa ni 100%, na wako very serious, lakini ukienda wewe utaona ugumu maana hata mwanamke kumuona ni ngumu ukimuona ni mzee asie na matamanio lakini dunia inawaona hawawapi wanawake haki zao, mtihani, mwanamke ni dhahabu kuu ya dunia, anatamaniwa kila kona, ndie kitu ghali kuliko vyote, mi hushngaa ninapowaona watu wakishangaa eti kaolewa kwa ngombe 60, au mwanamme kahonga gari 3, au kamjengea nyumba yeye hana, mwanamke ndie kitu chenye thamani duniani ndivyo Mungu alivyoumba msaidie kazi, mlinde hata kama watakuona una wivu mpeleleze kidogo na dini inakataza usimchunguze eeeeeeeh ndio mtihani ndugu zangu, si unajua mtihani huwa na maswali magumu na yenye kutega ssaaana, fanya tu, hakuna mwenye nafuu na mwanamke mwenyewe nae anatuona sisi mtihani basi maisha ya duniani ni mtihani mkubwa kwa wote, pesa sio solution kwa wanawake, uwezo sio solution, uchamungu at least kidogo una nguvu. lakini ndio dunia ndugu zangu tusi panic, tuombe Mungu sana na tumshukuru Mungu sana siku njema ya wanawake duniani na ijumaa njema na ili uishi mtangulize sana Mwenyezi Mungu, Mungu amlipe mema mengi alhj ali hassan mwinyi aliekuwa rais wa awamu ya Pili, aliwahi kuwajibu kua moja ya sababu ya yeye kuishi miaka mingi ni pamoja na kuoa wake wawili, mmoja unaweza kupata kichaa uki jali sana.
Kwa maisha yetu tumuombe Mungu atuongoze, inshaalah amina.
 
Na uchungu sana.

Sababu ya ukengeufu wa maadili ndoa haziheshimiwi kabisa,watu wanapita tu ukiacha mlango wazi.

Watu Wana ndoa home wakienda makazini Wana ndoa zingine yaani ndoa juu ya ndoa.

Uhitaji kuumia utaacha wangapi wote wameoza.

Mtu akipita na mke / mme wako nawe pita na wake kwa uchawi au kwa pesa kisha hakikisha nyote wanne mmejuana ibakie Siri yenu hapo hakuna maumivu.

Usiende jela kisa mapenzi ni upumbavu. Dawa ya mchepukaji nawe mchepukie ajue.

Jana mme wa mtu kamdrop mke wake mahali kumbe pale mahali yupo mchepuko wake ambae nae ni mme wa mtu. Uchafu mtupi siku.

Maofisini ndio usiseme kabisa. Nilishagoma wife asinitambulishe ofisini kwao wala sijawahi enda na sitoenda unaweza enda ukawa unasanifiwa na wanaume wenzako.
Kama hana mke napita na nani sasa
 
Upande wangu nina maoni tofauti sana, Ndoa ni ibada, kwa dini zote, hutaenda peponi ikiwa huna ndoa, ukifanya thawabu zote ukawa huna dhambi kabisa hata moja, lakini rijali Mungu atakuweka kati ya moto na pepo yaani hatakupa pepo ila hatakuingiza motoni.
Ana maana kua hukuingia katika kipimo kikuu alichokiweka kuoa, ukioa omba Mungu kila kukicha mkeo awe muadilifu katika ndoa maaana hakuna calculation ya kumfanya mwanamke au mwanaume atulie au awe wako daima ila Mungu anawezesha wengi kupata ndoa nzuri zenye faraja wanaomuomba, wengine wanapata nafuu.
tumewahi kumcheka jamaa yetu mmoja alioa baamed ndoa kamili ya kikristu, tena bwana alikua na pesa tu, tahamaki tukagundua amepata bahati kubwa ya ajabu, mwanamke yule aliiogopa mno ndoa yake, anajituhumu kila dakika ana hofu mumewe hatamuamini, haendi kwa jirani, haendi sokoni, haendi hovyo popote na akitaka kuondoka kwenda labda msibani ambapo pengine amekwisha mueleza mumewe tayari asubuhi, basi tabu, atampigia mumewe mpaka mara tatu kuomba ruhusa tena wakati huo ni ule ambapo,hakukua na simu ya mkononi, kwa hiyo ya mezani anapigs hivyo mpaka jamaa akawa anamuonea huruma fulani weee unaogopa hivyo nini, akawa anamjibu mimi kwangu chenye thamani ni ndoa. huku wake zetu wanakurupuka mpaka mara tisa kwa siku kwenda sokoni na saluni na madukani kwa masaa, mwenzetu hana wasiwasi, mwanamke alikua anatiliwa mashaka na wazazi wa mume mpaka wakadiriki wazazi wale baada ya miaka kadhaa, wakasema wana hamu walipe ngombe sio vihela vichache alivyolipa mtoto wao, wakasema mtoto wetu amepata mke, ambapo awali walisema mtoto wetu mjinga, mimi ni muislam naona mtihani wa ndoa ndio mgumu sana kuliko mitihani yoooooote, na hata wanaopata 0, wasihuzunike ni kawaida kabisa kupata 0, ila jitahidi uoe ukitoa talaka uoe tena au uoe wake wawili au watatu au wanne, mimi nina wivu kuishi na wake wengi wakiwa mbalimbali, lakini huo nasema ni mtihani mkuu wa dunia ukipata 0 kila ndoa pia sio ajabu jitahidi utapata 100 siku ya mwisho ya hukumu, ila usiwe chanzo cha matatizo ila uwe unatunza ndoa yako usiingilie za wengine.
Saudia Arabia huko maka na madina, ukifumwa una mwanamke ambae hujamuoa tu unauawa kwa panga, kwa hiyo kama hujaoa hutapata mwanamke maana anaogopa kuuawa u kupata hukmu, hukmu ya kiislam kule nidhamu ya ndoa ni 100%, na wako very serious, lakini ukienda wewe utaona ugumu maana hata mwanamke kumuona ni ngumu ukimuona ni mzee asie na matamanio lakini dunia inawaona hawawapi wanawake haki zao, mtihani, mwanamke ni dhahabu kuu ya dunia, anatamaniwa kila kona, ndie kitu ghali kuliko vyote, mi hushngaa ninapowaona watu wakishangaa eti kaolewa kwa ngombe 60, au mwanamme kahonga gari 3, au kamjengea nyumba yeye hana, mwanamke ndie kitu chenye thamani duniani ndivyo Mungu alivyoumba msaidie kazi, mlinde hata kama watakuona una wivu mpeleleze kidogo na dini inakataza usimchunguze eeeeeeeh ndio mtihani ndugu zangu, si unajua mtihani huwa na maswali magumu na yenye kutega ssaaana, fanya tu, hakuna mwenye nafuu na mwanamke mwenyewe nae anatuona sisi mtihani basi maisha ya duniani ni mtihani mkubwa kwa wote, pesa sio solution kwa wanawake, uwezo sio solution, uchamungu at least kidogo una nguvu. lakini ndio dunia ndugu zangu tusi panic, tuombe Mungu sana na tumshukuru Mungu sana siku njema ya wanawake duniani na ijumaa njema na ili uishi mtangulize sana Mwenyezi Mungu, Mungu amlipe mema mengi alhj ali hassan mwinyi aliekuwa rais wa awamu ya Pili, aliwahi kuwajibu kua moja ya sababu ya yeye kuishi miaka mingi ni pamoja na kuoa wake wawili, mmoja unaweza kupata kichaa uki jali sana.
Kwa maisha yetu tumuombe Mungu atuongoze, inshaalah amina.
 
Upande wangu nina maoni tofauti sana, Ndoa ni ibada, kwa dini zote, hutaenda peponi ikiwa huna ndoa, ukifanya thawabu zote ukawa huna dhambi kabisa hata moja, lakini rijali Mungu atakuweka kati ya moto na pepo yaani hatakupa pepo ila hatakuingiza motoni.
Ana maana kua hukuingia katika kipimo kikuu alichokiweka kuoa, ukioa omba Mungu kila kukicha mkeo awe muadilifu katika ndoa maaana hakuna calculation ya kumfanya mwanamke au mwanaume atulie au awe wako daima ila Mungu anawezesha wengi kupata ndoa nzuri zenye faraja wanaomuomba, wengine wanapata nafuu.
tumewahi kumcheka jamaa yetu mmoja alioa baamed ndoa kamili ya kikristu, tena bwana alikua na pesa tu, tahamaki tukagundua amepata bahati kubwa ya ajabu, mwanamke yule aliiogopa mno ndoa yake, anajituhumu kila dakika ana hofu mumewe hatamuamini, haendi kwa jirani, haendi sokoni, haendi hovyo popote na akitaka kuondoka kwenda labda msibani ambapo pengine amekwisha mueleza mumewe tayari asubuhi, basi tabu, atampigia mumewe mpaka mara tatu kuomba ruhusa tena wakati huo ni ule ambapo,hakukua na simu ya mkononi, kwa hiyo ya mezani anapigs hivyo mpaka jamaa akawa anamuonea huruma fulani weee unaogopa hivyo nini, akawa anamjibu mimi kwangu chenye thamani ni ndoa. huku wake zetu wanakurupuka mpaka mara tisa kwa siku kwenda sokoni na saluni na madukani kwa masaa, mwenzetu hana wasiwasi, mwanamke alikua anatiliwa mashaka na wazazi wa mume mpaka wakadiriki wazazi wale baada ya miaka kadhaa, wakasema wana hamu walipe ngombe sio vihela vichache alivyolipa mtoto wao, wakasema mtoto wetu amepata mke, ambapo awali walisema mtoto wetu mjinga, mimi ni muislam naona mtihani wa ndoa ndio mgumu sana kuliko mitihani yoooooote, na hata wanaopata 0, wasihuzunike ni kawaida kabisa kupata 0, ila jitahidi uoe ukitoa talaka uoe tena au uoe wake wawili au watatu au wanne, mimi nina wivu kuishi na wake wengi wakiwa mbalimbali, lakini huo nasema ni mtihani mkuu wa dunia ukipata 0 kila ndoa pia sio ajabu jitahidi utapata 100 siku ya mwisho ya hukumu, ila usiwe chanzo cha matatizo ila uwe unatunza ndoa yako usiingilie za wengine.
Saudia Arabia huko maka na madina, ukifumwa una mwanamke ambae hujamuoa tu unauawa kwa panga, kwa hiyo kama hujaoa hutapata mwanamke maana anaogopa kuuawa u kupata hukmu, hukmu ya kiislam kule nidhamu ya ndoa ni 100%, na wako very serious, lakini ukienda wewe utaona ugumu maana hata mwanamke kumuona ni ngumu ukimuona ni mzee asie na matamanio lakini dunia inawaona hawawapi wanawake haki zao, mtihani, mwanamke ni dhahabu kuu ya dunia, anatamaniwa kila kona, ndie kitu ghali kuliko vyote, mi hushngaa ninapowaona watu wakishangaa eti kaolewa kwa ngombe 60, au mwanamme kahonga gari 3, au kamjengea nyumba yeye hana, mwanamke ndie kitu chenye thamani duniani ndivyo Mungu alivyoumba msaidie kazi, mlinde hata kama watakuona una wivu mpeleleze kidogo na dini inakataza usimchunguze eeeeeeeh ndio mtihani ndugu zangu, si unajua mtihani huwa na maswali magumu na yenye kutega ssaaana, fanya tu, hakuna mwenye nafuu na mwanamke mwenyewe nae anatuona sisi mtihani basi maisha ya duniani ni mtihani mkubwa kwa wote, pesa sio solution kwa wanawake, uwezo sio solution, uchamungu at least kidogo una nguvu. lakini ndio dunia ndugu zangu tusi panic, tuombe Mungu sana na tumshukuru Mungu sana siku njema ya wanawake duniani na ijumaa njema na ili uishi mtangulize sana Mwenyezi Mungu, Mungu amlipe mema mengi alhj ali hassan mwinyi aliekuwa rais wa awamu ya Pili, aliwahi kuwajibu kua moja ya sababu ya yeye kuishi miaka mingi ni pamoja na kuoa wake wawili, mmoja unaweza kupata kichaa uki jali sana.
Kwa maisha yetu tumuombe Mungu atuongoze, inshaalah amina.
Ndoa ni ibada kama nyote mtaongozwa kwa misingi ya dini yenu maana dini zote zimeeleza wajibu wa mke na mume na kila mmoja asimuingilie mwenzake kwenye majukumu yake ili kuitunza ile asili isipokuwa kwa sababu iliyo nje.
Pia ishu ya muoano wa nyota zenu una nafasi kubwa sana ya kuifanya ndoa iwe ibada,yenye furaha,amani na utulivu na kinyume chake pia.
Kuomba Mungu pekee hakutoshi ziada pia na maarifa mengine mfano elimu kuhusu mahusiano,maana unaweza muomba Mungu akupe mwenza ibilisi akawahi kujibu maombi yako akakupa wakala wake,ndo unayoyasikia ya kuuana,kusalitiana,kuumizwa nk.
Ukipata mke mwema umepata chombo kilicho Bora.
Wengi wanaishi kusogeza TU siku na kwa ajili ya watoto tu lakini hawafanani kinyota ni basi tu.
 
Mtu akipita na mke / mme wako nawe pita na wake kwa uchawi au kwa pesa kisha hakikisha nyote wanne mmejuana ibakie Siri yenu hapo hakuna maumivu.
Mtu anaishi Bunju amekwenda kugonga mhuri Chanika huyo mkewe utamjulia wapi
 
Back
Top Bottom