TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Jamaa yupo hatariniMpaka amekuja kwako ameona wewe unaweza kulilipa hilo deni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yupo hatariniMpaka amekuja kwako ameona wewe unaweza kulilipa hilo deni
Adam alimshindwa HawaJamaa yupo hatarini
Unalipa kama maokoto yapo😂Lipeni madeni yenu
Hah hah dah kidhungu hicho vipi?The medicine of loans is to pay
So tell her to pay or you pay for her she wont cone to hide in your house again mr do good for her
Sio salama Sana kumficha mwizi au tapeli, wenzio wakijua mtu anatabia hizo wanamkwepa kujiusisha naye, msala unaweza kugeukia kwenu.Wakuu.
Mimi siijui sana sheria kwani sio.taaluma yangu kabisa.
Well
Hapa ninapoishi kuna jirani yangu huyu mama mtu wa miaka Kati ya 30's . Huyu dada ni mtu wa mikopo sana sijui kausha damu mara vicoba sijui whatever anajua vyote.
Mara kadhaa amekuwa akija kujificha kwangu asubuhi sana watu wanaomdai wanakuja kumtafuta kwake.
Mumewe ni dereva wa magari makubwa anasafiri sana.
Sasa kilichonileta hapa ni moja. Dada huyu kanifuata leo jioni tu ananiuliza nimshauri Kuwa wanaomdai hasa mmoja huyo nati yake imevurugika kidogo.
Huyo mdai anamtishia dada huyu kuwa ataweka picha yake mitandao yote kuwa yeye ni tapeli nawatu wasimuamini.
Sasa dada anauliza kama hilo nalo ni kosa la kuvua utu wa mtu au avumilie tu kisa anadaiwa? Binafsi mimi sijui sana hayo mambo nikakosa cha kumjibu zaidi ya kuona kayakakanyaga..
Nadhani hapa tutapata jibu kabisa.
Kwanza hilo ni kosa kisheria(defamation)ambalo litakuwa kimaandishi ( libel)Wakuu.
Mimi siijui sana sheria kwani sio.taaluma yangu kabisa.
Well
Hapa ninapoishi kuna jirani yangu huyu mama mtu wa miaka Kati ya 30's . Huyu dada ni mtu wa mikopo sana sijui kausha damu mara vicoba sijui whatever anajua vyote.
Mara kadhaa amekuwa akija kujificha kwangu asubuhi sana watu wanaomdai wanakuja kumtafuta kwake.
Mumewe ni dereva wa magari makubwa anasafiri sana.
Sasa kilichonileta hapa ni moja. Dada huyu kanifuata leo jioni tu ananiuliza nimshauri Kuwa wanaomdai hasa mmoja huyo nati yake imevurugika kidogo.
Huyo mdai anamtishia dada huyu kuwa ataweka picha yake mitandao yote kuwa yeye ni tapeli nawatu wasimuamini.
Sasa dada anauliza kama hilo nalo ni kosa la kuvua utu wa mtu au avumilie tu kisa anadaiwa? Binafsi mimi sijui sana hayo mambo nikakosa cha kumjibu zaidi ya kuona kayakakanyaga..
Nadhani hapa tutapata jibu kabisa.
Mkuu kama alisaini hati ya mkopo hata akienda mahakamani bado anahatiaKama anagoma kulipa aende polisi, sio kumdhalilisha mtandaoni, ni kosa kisheria. (Innocent untill proven guilty in a court of law)
Sasa mpeleke mahakamani akakutwe na hiyo hatia, sio kumpiga, kumpora au kumdhalilisha mtandaoni, polisi watamtafua na kumkamataMkuu kama alisaini hati ya mkopo hata akienda mahakamani bado anahatia
Akiwekwa kwenye mitandao ndiyo atakuwa amemalizana na mdaiWakuu.
Mimi siijui sana sheria kwani sio.taaluma yangu kabisa.
Well
Hapa ninapoishi kuna jirani yangu huyu mama mtu wa miaka Kati ya 30's . Huyu dada ni mtu wa mikopo sana sijui kausha damu mara vicoba sijui whatever anajua vyote.
Mara kadhaa amekuwa akija kujificha kwangu asubuhi sana watu wanaomdai wanakuja kumtafuta kwake.
Mumewe ni dereva wa magari makubwa anasafiri sana.
Sasa kilichonileta hapa ni moja. Dada huyu kanifuata leo jioni tu ananiuliza nimshauri Kuwa wanaomdai hasa mmoja huyo nati yake imevurugika kidogo.
Huyo mdai anamtishia dada huyu kuwa ataweka picha yake mitandao yote kuwa yeye ni tapeli nawatu wasimuamini.
Sasa dada anauliza kama hilo nalo ni kosa la kuvua utu wa mtu au avumilie tu kisa anadaiwa? Binafsi mimi sijui sana hayo mambo nikakosa cha kumjibu zaidi ya kuona kayakakanyaga..
Nadhani hapa tutapata jibu kabisa.