Mtu ambaye hukumtegemea kabisa anapokufanyia jambo hili unapatwa na kigugumizi cha hisia

Asije kuwa mke wangu huyo .
,sio FATMA kweli hilo jina ulilodanganya !!!

ofisi yako iko mahala gani mkuu niunganishae dots hapa
usimtendee hivyo mke wang huyo plz
 
Hizo story nenda kawadanganye wazazi wako

Alafu uache kuvaa chupi za kike mkuu
 
Wazee wakujipaisha cz umetaka zawadi umepewa unaogopa,sasa unataka upewe nini?
 
Utani wako umeupeleka sehemu sio mkuu,pambana tu mkuu. Nami nakusisitizia mwenzio ndio hana chupi kule!
 
hahahha we bwana huwa unanipa raha sana, jaoo stori za porojo ila zina uhalisia flani
 
mbona kama ndicho ulichokuwa unataka, maana umeomba zawadi yakitu flan special for you, ambacho ni surprise na pia hutaki anunue na ukazidi kusisitiza kuwa akupatie kitu ambacho hata hitaji kutumia pesa ila uta enjoy sana kukipata sasa ni nini ulichokuwa unaomba kama sio hicho????
 
Du! Kweli hapo sina majibu. Mi nadhani na wewe mrudishie hiyo nguo yake halafu rudi zako Zenji kaendelee na kazi
Namba za simu mmepeana saa ngapi?
 
Mmmmhu,hebuniambie hiv ni kwann wadada wanapenda sana kunusa pichue zao?ila mzee hapo lazima ujifanye mzaliwa wa MTWARA - aumbilecho mungu kumemena we mmemene tu [emoji23][emoji23]
 
Ulitaka mwenyewe, zawadi hiyo ya kukufurahisha isiyonunuliwa ni ipi? Pambana na chupi yako bro, ikibidi ichemshe unywe huko supu! Supu ya chupi ni nzuri sana

Mwanaume supu ya chupi buana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…