Mtu ambaye hukumtegemea kabisa anapokufanyia jambo hili unapatwa na kigugumizi cha hisia

Mtu ambaye hukumtegemea kabisa anapokufanyia jambo hili unapatwa na kigugumizi cha hisia

Nimerudi Dar mara moja then baada ya kazi flani nitarudi tena Zanzibar. Zanzibar nyie na mimi mpaka kukuche. Kilichonifanya niandike thread hii ni tukio la kushangaza ambalo limetokea leo asubuhi ofisini.

Mara baada ya kufika ofisini nimeonana na dada mmoja ambaye sikuwa na mazoea naye sana sababu ni mdada mzuri, anavutia ,tunaheshimiana na mimi sipendi kufanya uharibifu mkubwa maeneo ya kazi. Basi tukasalimiana na kujuliana hali sababu yeye alikuwa likizo na amerudi kipindi ambacho mimi nilikuwa Zanzibar. Basi katika hali ya kusalimiana nikamwambia “ Fatma” (si jina lake halisi) mwaka mpya na likizo umeniletea nini kwa utani tu i wasn't serious. Alicheka na kufikiria kidogo na mwishowe akaniuliza ningependa anipatie nini… nami nikachukua sekunde kadhaa kufikiri na mwishowe nikamwambia “ kitu flani special for me ambacho ni surprise na sitaki ununue” akanambia hapo sasa nmempa mtihani mkubwa sana… nikamwambia anipatie kitu ambacho hata hitaji kutumia pesa.ila nita enjoy sana kupata.

Nikamwambia achukue tu muda akafikirie halafu aje. akanitizama kidogo kisha akajibu "haya" Akaondoka. Baada kama ya dakika 20 akarudi kwangu akanitupia bahasha iliyokuwa imevimba kiasi pasina kusema kitu akelekea ofisini kwake. Basi nami nikafungua ile bahasha kwa tashwishi kubwa sana.

Lahaulah lakwata…. Nimefungua hivi, si nakuta kuna chupi ya kike!… yaani alienda akavua chupi yake na kuniletea.. kucheck vizuri ilikuwa kweli imetoka kuvuliwa na ina ile harufu ya K.

Nikanusa nikakuta ni kweli.muda si mrefu ikaingia text “ kwa hiyo ujue mwenzio hapa sina chupi shauri yako” sasa nipo kwenye dilemma. nimepatwa na kigugumizi cha hisia na mawazo sababu sikutegemea mdada huyu anitendee hivi. ni mdada anayejiheshimu sana na wengi humwogopa sababu yupo so serious. sasa hili la leo limenishtua je huu ni mtego au ana nia mbaya na mimi?

naona kama siku yangu imeanza vibaya kwa kweli.maana nimekaa tu hapa nawaza na kuwazua nini kitafuata sasa.
hajiheshimu huyo,ana akili za kidwanz kama zako tuuu
 
ha ha ha.. zanzibarnmekuja mara moja tu ofisi zipo dar town.jana jioni nilirudi dar mara moja kuna kazi natakiwa kuifanya halafu nirudi tena zanzibar.
Gudume, ofisi yako ipo sehemu gani Zanzibar?? Karibu Kilimani ila uje na huyo mdada[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Curious gal haya mambo yanatokea. hivi hujawahi sikia mtu analalamika kwa nini mimi tu? yaani ana pata mabalaa mengi mengi mpaka anauliza why me? hujawahi sikia kuna mtu yeye ni hapendeki hata iweje? hujawahi sikia kuna mtu hapendezi hata umvalishe nguo gani? ndivyo ilivyo kwangu nami. nina mabalaa majanga na maswahibu mbali mbali. pengine ni kutokana na aina ya maisha yangu na watu wa karibu yangu. ila haya yapo na kama unataka tuwasiliane nikupe ushahidi.ni inbox namba yako ya simu. by the way unazidi kupendeza tu..unatunyima nini sisi wengine? tugawane utamu huo.
Am speechless! Hivi hivi vitu unavoandika huwa vinakutokea kweli au?????
 
maana yake sikutaka atoe pesa kwa ajili yangu. hiyo alishanunua kwa ajili yake ndo akanipa leo hii. not for me. so sikutaka hata akanunue chupi mpya kama ngejua kuwa ataleta chupi
Sasa hiyo chupi ameipata wapi ambapo hakutumia pesa kuinunua?
 
  • Thanks
Reactions: OTG
ha ha ha... washanikubali na tabia yangu mbaya.... mimi sipendi kujifanya ni gentleman. nipo real bado boy... ndo maana huwa tunagombana ila wanakuja kugundua ndo nilivyo basi tunasemeheana na kupendana... nyie wengine watakatifu mtakuja kulalamika huku siku moja.

Maajabu:GuDume ndo kiwembe pekee anaependwa na wanawake wengi hadi wa JF!
 
Nasikia Morata alikula umeme yaan alioneshwa kadi nyekundu, kua makin na ww hapo kazin
 
ha ha ha ... nmecheka sana URBAN MONKEY kizuri kula na nduguyo kaka....
Asije kuwa mke wangu huyo .
,sio FATMA kweli hilo jina ulilodanganya !!!

ofisi yako iko mahala gani mkuu niunganishae dots hapa
usimtendee hivyo mke wang huyo plz
 
ha ha ha ntakimemena hamna shida.
Mmmmhu,hebuniambie hiv ni kwann wadada wanapenda sana kunusa pichue zao?ila mzee hapo lazima ujifanye mzaliwa wa MTWARA - aumbilecho mungu kumemena we mmemene tu [emoji23][emoji23]
 
hii nimesikia leo hebu ngoja niifanyie kazi.
Ulitaka mwenyewe, zawadi hiyo ya kukufurahisha isiyonunuliwa ni ipi? Pambana na chupi yako bro, ikibidi ichemshe unywe huko supu! Supu ya chupi ni nzuri sana

Mwanaume supu ya chupi buana!
 
Back
Top Bottom