Mtu ambaye hukumtegemea kabisa anapokufanyia jambo hili unapatwa na kigugumizi cha hisia

Mtu ambaye hukumtegemea kabisa anapokufanyia jambo hili unapatwa na kigugumizi cha hisia

ha ha ha... washanikubali na tabia yangu mbaya.... mimi sipendi kujifanya ni gentleman. nipo real bado boy... ndo maana huwa tunagombana ila wanakuja kugundua ndo nilivyo basi tunasemeheana na kupendana... nyie wengine watakatifu mtakuja kulalamika huku siku moja.
Sasa mkuu lini utaweka hapa story ya wake za watu wa JF ambao umewatafuna?[emoji53][emoji53][emoji53]
 
jamaa hawanipiga shaba kweli? anyway ngoja nijikusanye kama mtakuwepo watu wengi nitawapa hiyo mikasa ya wanawake 5 tu katika 19 niliyo wala.
Sasa mkuu lini utaweka hapa story ya wake za watu wa JF ambao umewatafuna?[emoji53][emoji53][emoji53]
 
Nilishaacha kusoma nyuzi za huyu Gudume kwa sababu ana kamba nyingi sana huyu.ila nimejiashau nikausoma huu uzi
 
ndugu yangu utanichukia bure tu JF tunakutana tunaweka shida chini tunanyosha mikono juu tuna banjuka tu.... haya mambo nakwambia kwa asilimia 75 yanatokea kwangu na 25 kwa watu wengine wanataka niongee kwa niaba yao. ila ni kweli yanatokea. lakini mtu asipoamini mimi sitaki kumwaminisha si kazi yangu.
Nilishaacha kusoma nyuzi za huyu Gudume kwa sababu ana kamba nyingi sana huyu.ila nimejiashau nikausoma huu uzi
 
Duh Yaaani we jamaaa kila ukirudi hewani lazima uje na kituko, kwakweli hili ni la fungua mwaka 2018
 
mkuu hapo ofisini kwako si kuna meza mwambie aje aishike meza na wewe umpe zawadi uliyemletea kutoka zanzibar
 
ha ha ha... kungekuwa kimya saaaana halafu tumebaki wawili tu kweli ningefanikisha hilo
mkuu hapo ofisini kwako si kuna meza mwambie aje aishike meza na wewe umpe zawadi uliyemletea kutoka zanzibar
 
.muda si mrefu ikaingia text “ kwa hiyo ujue mwenzio hapa sina chupi shauri yako”

huo ujumbe kwangu ilikuwa ninyanyuke huku mikono ikiwa mfukoni na shati nimechomolea.....
 
Curious gal haya mambo yanatokea. hivi hujawahi sikia mtu analalamika kwa nini mimi tu? yaani ana pata mabalaa mengi mengi mpaka anauliza why me? hujawahi sikia kuna mtu yeye ni hapendeki hata iweje? hujawahi sikia kuna mtu hapendezi hata umvalishe nguo gani? ndivyo ilivyo kwangu nami. nina mabalaa majanga na maswahibu mbali mbali. pengine ni kutokana na aina ya maisha yangu na watu wa karibu yangu. ila haya yapo na kama unataka tuwasiliane nikupe ushahidi.ni inbox namba yako ya simu. by the way unazidi kupendeza tu..unatunyima nini sisi wengine? tugawane utamu huo.
Basi GuDume utakuwa una muonekano mzuri na unavutia wadada

Mimi sasa hivi nipo kwenye diet!! Au na wewe unataka kuanza diet
 
GuDume baana unaniacha hoi sana na visa mikasa vyako. Keshakutunuku hiyo kipochi nyoya kazi kwako sasa kama ulikuwa unamtania mwenzio kajaa mazima. Na usipomto.mba hamtokaa muelewane huyo
uko sawa, atamchukia milele maana hata hako kabukta kake atakarudishaje? inatakiwa wawe room amrudishie na zawadi baada ya mgegedo maridhawa.
 
Unangoja nn sasa....gudume nenda kagegede mgegedo huo
 
Back
Top Bottom