Mtu ambaye hukumtegemea kabisa anapokufanyia jambo hili unapatwa na kigugumizi cha hisia

Kamvalishe bhana... Sio poa kumwacha akae pila chupi
 
hahahahahaaa aa haaahaaa izi story bhana! nasubr muendelezo Mkuu
 
ha ha ha.. leo nimepewa kibali cha kwenda kula NDUNDUMA..........
 
Weka namba yake hapo tuje tuchezee bikini hiyo .
 
Yaan univulie chupi inapaliaaa, halafu unaniambia ujue nipo uchi mwenzio,,,,, bado tu naomba ushauri?? Mm hapo ndipo ninapowakubali Wazungu bana. Yaan unapigwa nao fasta hata kama sokoni
 
Kma vile naona gudume na general garadudu ni mtu mmoja..... D.D.D
 
Mhenga mwenzagu GuDume mwaka mpya ushauanza vibaya huo. Ukifika Zenjy waambie wakupeleke Pwani ya kizingo ukatoe mikosi mkuu
 
hahahahahahahahah
Gudume brooo ww c mchezo
kumbe unafanya uharibifu sana ila cio kazn
 
Kama kaweza kukupa kifuniko cha asali
Kazi ni kwako kama vodacom
 

ina maana nikiona chupi za mwenza zina poteaga kighafla nijue kumezuka ka mtindi ka kuzipeana bure?mkuu subri nielekee home kabatini nikaanze uchunguzi kuusu swalah hili,ikisha nije kukoment!!!
 
Natamani sana kuhamishiwa ofisi yako. Kila siku unapatwa na changamoto pendwa.
 
Quinine Mwitu mkuu kuna kipindi nami maisha yalikuwa yananisumbua kama wengine. nikaona isiwe shida nikaachana nayo ya nini nisumbuke. basi nikawa nafanya mambo mengine ambayo hayanisumbui. kama maisha unaona yanakusumbua ndugu yangu achana nayo tu fanya issues nyingine.

GuDume mkuuni maisha tu yanasumbua ila wewe inaonyesha hapa duniani unawezakazi moja tu,kugegeda basi
 
Curious gal nashukuru sana nikakumbuka ule usemi wa "curiosity killed the cat" ha ha ha mimi ni mzee wa kupiga kipara tu sina lingine kama unavyoona kichwa changu hapo juu inasemekana sisi wenye vipara tunakuwa fiti sana na ni wahuni sana...labda wanapenda jinsi nilivyo mhuni na pia nipo real.
Utakuwa upo vizuri sana! Hongera babaa
 
karibu sana utanisaidia baadhi ya majanga sababu ofisni kwetu tuna wanawake asilimia 75 na HR wetu anapenda kuajiri wanwake wazuri sana. yaani ni moja ya vigezo vya kupata kazi hapa kwetu. mtoto awe mzuri ana akili na figure nzuri.
Natamani sana kuhamishiwa ofisi yako. Kila siku unapatwa na changamoto pendwa.
 
Hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…