Uchaguzi 2020 Mtu ambaye Wanadamu hawakutaka aishi, lakini leo hii Mtu huyu anakwenda kuwa Mgombea wa Urais. Jambo hili lina maana gani?

Huyu ni mnafiki, leo kakiri kuwa walimpokea EL kwa kuaminishwa ni mgombea mwenye mabilioni. Wakawasaliti wahanga walio wadanganya kuandamana na kuishia kuwa Vilema na wengine kufa. Wajumbe eti wanamshangilia huku hotuba yake ikiwa imejaa shari. Anaandaa wahanga wengine watarajiwa.

Kwa hii hotuba yake ana amini yeye tayari ni mshindi na asiposhinda madhumuni yake nikuingiza nchi kwenye machafuko. Ndio mafunzo aliyofundishwa huko alipotoka. Watu wanamshangilia.!!!
 
Mmezoea kushinda kwa kupoka ushindi wa wengine. Ila kwa taarifa yenu ni kuwa mwaka huu ndo mwisho kwa nyie kufanya huo ufedhuli wenu . Kura zihesabiwe kwa haki na mshindi apewe ushindi wake. Vinginevyo nguvu ya umma kazini
 
Huu ndo unaoitwa uchaguzi wa watani wa jadi.
JPM vs TAL na siyo CCM vs CDM maana wengi watasaliti vyama vyao.
JPM hasipotumia kofia yake kama Rais atagalagazwa chaliiiii saa 4 asubuhi siku ya uchaguzi.

Itabidi atumie mabavu na nguvu kama kawaida yake.
 
Natamani wapate kisukari, BP, Malaria washindwe kutibika wakufie mbali sema Mwamba kasema tuwasamehe
 
Hiyo in miss interpretation yako tu.
 
Mungu wetu ni mkuu tuanzishe kampeni salama zisizovunja sheria ili mtesi wa taifa aondoke kwenye macho ya nchi.
 
NiYeye!!!!!!!!
 
Historia ya taifa imeshabadilika kabisa kuanzia Leo //

Kuna dola na serikali

Lakini pia

Kuna

Uma/ watu na Mungu wao !!

Hii ni Vita

Dola vs Mungu
Watu vs Dola

Mshindi atajulikana
 
Hatutegemei vifo vyovyote visivyoeleweka kuanzia usiku huu.
 
Wengine wanakabidhi ofsn wengine wako kaburini. Mungu ni waajabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…