Habari za muda huu wakuu!
Kuna mtu amejenga nyumba yake mahali tulipomzika baba yetu mzazi na alikuwa anajua kuwa mahali pale amezikwa mtu na alishiriki wakati akiwa kijana kumzika mzee wetu.
Kilichotokea ni kwamba eneo alilozikwa mzee wetu lilikuwa mi eneo la babu na bibi ila kuna baba yetu mdogo alimuuzia huyo bwana aliyejenga.
Wazee waliobakia ambao ni baba zetu wadogo pia walienda kuongea na mhusika aliyejenga kumuomba walau wafukukue ili wapate mabaki kisha wahamishe pahala pengine ila yule mhusika amekataa.
Je, tufanye nini ili tuweze kupata mwili wa baba yetu tukauzike mahali ambapo tunaweza kwenda kuona kabuli lake?
Kuna mtu amejenga nyumba yake mahali tulipomzika baba yetu mzazi na alikuwa anajua kuwa mahali pale amezikwa mtu na alishiriki wakati akiwa kijana kumzika mzee wetu.
Kilichotokea ni kwamba eneo alilozikwa mzee wetu lilikuwa mi eneo la babu na bibi ila kuna baba yetu mdogo alimuuzia huyo bwana aliyejenga.
Wazee waliobakia ambao ni baba zetu wadogo pia walienda kuongea na mhusika aliyejenga kumuomba walau wafukukue ili wapate mabaki kisha wahamishe pahala pengine ila yule mhusika amekataa.
Je, tufanye nini ili tuweze kupata mwili wa baba yetu tukauzike mahali ambapo tunaweza kwenda kuona kabuli lake?