- Thread starter
- #61
asante kiongozi, hamna namna ni kuachana nae tuPoleni sana. Msishindane naye huyo, anajua anachokifanya na anafanya kwa makusudi.
Cha msingi watafuteni wazee wa eneo hilo wawasaidieni ikiwemo serikali ya mitaa/kijiji
Kimaadili na kiutamaduni ana wajibu wa kuwaruhusu mkafukue na kuhamisha mabaki ya wapendwa wenu.
Hata serikali inapoamua kufanya shughuli za maendeleo kwenye maeneo yenye makaburi hutumia busara na wajibu wa kiutamaduni na kimaadili kwa kuhamisha kwanza makaburi ndipo inaendelea na projects zake.