PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Wakati yote yanayokea, wao walikuwa wadogo.Hicho chumba nimeuliza km wanajua kwanini hawakutoa kabla hajajenga au mpaka leo kwenye hicho chumba kuna chungu na kitofali?
Sasa hivi wamekuwa ndiyo wameona kuna namna wanatakiwa kuchukua hatua.
Kwakuwa jamaa ameshajenga juu ya hayo makaburi hakuna namna tena, waachane na hilo swala waendelee na maisha yao.