Mtu ana frem analipa milioni 4 kwa mwezi lakini hamna hata mteja

Mtu ana frem analipa milioni 4 kwa mwezi lakini hamna hata mteja

Kuishi mjini akili. Kikubwa hakuna mtu anafanya biashara isiyo na faida.
Kweli aisee ila hizi biashara za hawa watu zinafikirisha mno.
Mbaya zaidi kuwauliza sio rahisi.

Na haya mawazo yanatukutaga sana ambao tunawaza kusaka maeneo ya kufanya biashara.
Ndo unakutana na maeneo kama hayo sasa, huoni hata mtu akikatiza.
Ila frem inapendeza mbaya, na ipo hapo almost 3yrs.
 
Biashara za Kinondoni,Sinza na hat Makumbusho sizikuumize kichwa.Kuna duka lipo sehem moja kati ya nilizotaja hapo panauzwa soksi za kiume tu huoni mteja akiingia wala kutoka
 
Biashara za Kinondoni,Sinza na hat Makumbusho sizikuumize kichwa.Kuna duka lipo sehem moja kati ya nilizotaja hapo panauzwa soksi za kiume tu huoni mteja akiingia wala kutoka
Na mtu analipia mkwanja mnene kwa mwenye pango na TRA 😁😁
 
Hakuna mhusika atakaekuja hapa ku unlock hiyo pattern mzee baba. Biashara kila mtu ana siri yake inayomfanya atambe mjini. Utalielewa hili siku ukiwa mfanya biashara.
Mkuu zingine mbona mchongo unajulikana fresh ila direct kwa wahusika tu, binafsi mwanzoni Kuna sehemu nkiagizwa nashangaaa nakuta picha yangu naikuta nlipoagizwa... Sasa hyo office kwa nje wanauza kingine kbs zama ndani utajua hujui!
 
That is the best way to rinse their money .

Umewahi kukaa na watu wa kitengo kile ambao hutumika Kutoa uwa...na kute....meona Maisha yao na biashara hufanya ???
Neno sahihi ni ku " laundry" pesa.
 
Mkuu zingine mbona mchongo unajulikana fresh ila direct kwa wahusika tu, binafsi mwanzoni Kuna sehemu nkiagizwa nashangaaa nakuta picha yangu naikuta nlipoagizwa... Sasa hyo office kwa nje wanauza kingine kbs zama ndani utajua hujui!
Mjini mishe haram ni nyingi sana ila wachache ndio wanajua hilo
 
1. Kuna online marketing, mteja anafika bei kuna mtu wa delivery anapeleka mzigo incase mteja anakosa kuamini anakuja sasa kwenye hizo ofisi ambazo zinalipwa 4m na wewe huoni wateja.

2. Online tender mfano za serikali kupitia NeST na private watu kila siku wanafanya documentation na kuapply tenders.

3. Wengine wanafanya kama lounge au mahali pa kukutana na kukamilisha baadhi ya deals zao.

NB. Biashara sio kujaza wateja, biashara ni mzunguko na faida ndio maana unaona wanamudu kulipa taxes mbalimbali za serikali.
 
1. Kuna online marketing, mteja anafika bei kuna mtu wa delivery anapeleka mzigo incase mteja anakosa kuamini anakuja sasa kwenye hizo ofisi ambazo zinalipwa 4m na wewe huoni wateja.

2. Online tender mfano za serikali kupitia NeST na private watu kila siku wanafanya documentation na kuapply tenders.

3. Wengine wanafanya kama lounge au mahali pa kukutana na kukamilisha baadhi ya deals zao.

NB. Biashara sio kujaza wateja, biashara ni mzunguko na faida ndio maana unaona wanamudu kulipa taxes mbalimbali za serikali.
Nakubaliana na wewe mkuu nashangaa watu wengi humu wanaamini uchawi kuliko uhalisia

Asaivi technology imekuwa biashara zinafanyika mtandaoni ila haimaanishi mtu asiwe na ofisi

Lakini pia kuna wengi wageni kwenye tasnia ya biashara wanawekeza mitaji mikubwa na kulipia fremu hata kwa miaka miwili au hata mitano halafu eneo lisiwe sahihi, ko hadi pango likiisha anafunga biashara na hapohapo unakuta anaingia mwingine

Factor ingine ni aina ya biashara wengine biashara zao akipata wateja wawili tu kwa mwezi kashamaliza kila kitu(hasa wholesales) au analeta mzigo kwa order maalum sehemu kama hiyo huwezi kukuta mteja kila wakati

Lakini pia inategemea na muda mtu huyo atakaopita wengi wa watu huhisi akipita yeye ndio mwingine anaenda kununua tunatofautiana katika kutafuta mahitaji waache fikra potofu
 
Hivi mshawahi kujiuliza unapita mahali mtu kafungua frem au duka hata hamna wateja unajiuliza huyu mtu huwa anaweza vipi kulipa kodi wakati hamna wateja?

Hili swali najiulizaga sana, nimekuta mjadala huko mtandaoni leo

Unakuta mtu ana duka la iphone hata simu 10 hazifiki frem kodi ni milioni 2 kwa mwezi na huko alikofungua hata uwezekano wa mtu kumudu iphone hamna yaani huoni hata nzi akiingia dukani kwa jamaa😂😂😂

Hizo ndo biashara zilizopo dsm hii nyingi unabaki unajiuliza huyu mtu huwa analipa vipi kodi?Tena unakuta kaweka na wafanyakazi wa kutosha tu

Hata mlimani city na kwenye mall nyingi ni hivyo hivyo na kwenye maeneo mengi tz

Sasa hawa watu huwa wanamudu vipi kulipa kodi ya frem?Sazingine unakuta frem imejificha huko ndanindani sasa unajiuliza huyu anapataga faida kweli🤣🤣

Kuna duka naziangalia au biashara najiuliza kichwani kwamba huyu mtu huwa anapata hata jero kwa siku kweli?
wengi ni online business
 
Back
Top Bottom