Mtu anaemubagua Mtu mwingine Kisa haamini katika Dini za Leo, huyo Mtu hajayaelewa Maisha hata Kidogo

Mtu anaemubagua Mtu mwingine Kisa haamini katika Dini za Leo, huyo Mtu hajayaelewa Maisha hata Kidogo

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Currently watu wanaosali hizi dini za sasa hivi Ukristo&Uislam wanawaona Wasioamini katika hizi dini kama wasiojielewa hivi kama wakosefu na siku ya Mwisho wataenda Jehanamu.

Ila ukijiuliza swali jepesi tu hizi Dini zimekuja kipindi gani?

Ukilipita Jibu kua zimekuja Wakati wa Maandalizi ya Ukoloni then jiulize kabla ya Kipindi hicho hapakua na Maisha?/Watu? wanaishi ambao ni Babu zetu na ndio mzizi wa sisi Leo.

Now wao walishakufa kabla ya hata ya Hizi Dini kuja je siku ya Mwisho watakua kundi gani?
Kama watakua kundi la watu wa Jehanamu ina maana Mungu kuna kizazi kingine alikua hakipendi kijue uwepo wake?

Ukijiuliza vizuri haya maswali na ukatumia Akili Nyepesi tu utaelewa kua maisha yalikuwepo na watu waliishi kabla ya hiyo Dini yako.

Kwahio usiwaone wasio Amini katika kile unachokiamini wewe kama wapotevu.
NOTE:ISHI KATIKA IMANI YAKO HIVOHIVO NA USIJIONE WE BORA KULIKO WASIOAMINI KATIKA HICHO UNOCHOAMINI

NOTE:WATU WALIKUA WANAISHI MIAKA MAMIA KABLA YA HATA HIZO DINI HAZIJAJA.
 
Currently watu wanaosali hizi dini za saiv Ukristo&Uislam wanawaona Wasioamini katika hizi dini kama wasiojielewa hivi kama wakosefu na siku ya Mwisho wataenda Jehanamu.

Ila ukijiuliza swali jepesi tu hizi Dini zimekuja kipindi gani?

Ukilipita Jibu kua zimekuja Wakati wa Maandalizi ya Ukoloni then jiulize kabla ya Kipindi hicho hapakua na Maisha?/Watu? wanaishi ambao ni Babu zetu na ndio mzizi wa sisi Leo.

Now wao walishakufa kabla ya hata ya Hizi Dini kuja je siku ya Mwisho watakua kundi gani?
Kama watakua kundi la watu wa Jehanamu inamaana Mungu kuna kizazi kingine alikua hakipendi kijue uwepo wake?
Ukijiuliza vizur haya maswali na ukatumia Akili Nyepesi tu utaelewa kua maisha yalikuwepo na watu waliishi kabla ya hiyo Dini yako.
Kwahio usiwaone wasio Amini katika kile unachokiamini wewe kama wapotevu.
NOTE:ISHI KATIKA IMANI YAKO HIVOHIVO NA USIJIONE WE BORA KULIKO WASIOAMINI KATIKA HICHO UNOCHOAMINI

NOTE:WATU WALIKUA WANAISHI MIAKA MAMIA KABLA YA HATA HIZO DINI HAZIJAJA.
Uislam umeonesha matokeo, hakuna kugombania urithi kama wakristu, hakuna kuishi na mchumba wao ni ndoa tu tena za bila gharama hakuna ubaguzi wa kuzikana na hakuna michango lukuki katika ibada
 
Wazungu wametuletea dini wahuni wamekomaa nazo mpaka mzungu na mwarabu mwenyewe anashangaa babu zangu wote niliwauliza mlianzaje kuwa na hizi dini walinielekeza jinsi walivyopewa kwa kupewa mpunga na yule wa Tukuyu alitoa ardhi lijengwe kanisa wakamjengea nyumba nzuri na kumpa mashine nipo hizo dini ila najua historia yetu ...
 
Wazungu wametuletea dini wahuni wamekomaa nazo mpaka mzungu na mwarabu mwenyewe anashangaa babu zangu wote niliwauliza mlianzaje kuwa na hizi dini walinielekeza jinsi walivyopewa kwa kupewa mpunga na yule wa Tukuyu alitoa ardhi lijengwe kanisa wakamjengea nyumba nzuri na kumpa mashine nipo hizo dini ila najua historia yetu ...
Dini ya mzungu imeipita dini ya mwarabu kwa maendeleo, sehemu walipojaa wavaa kubazi maendeleo ni duni mno ila mahali wamejaa wagalatia utapenda
 
Uislam umeonesha matokeo, hakuna kugombania urithi kama wakristu, hakuna kuishi na mchumba wao ni ndoa tu tena za bila gharama hakuna ubaguzi wa kuzikana na hakuna michango lukuki katika ibada
Kwahio unataka tukuelewe vipi mzee?😂😂😂
 
Wazungu wametuletea dini wahuni wamekomaa nazo mpaka mzungu na mwarabu mwenyewe anashangaa babu zangu wote niliwauliza mlianzaje kuwa na hizi dini walinielekeza jinsi walivyopewa kwa kupewa mpunga na yule wa Tukuyu alitoa ardhi lijengwe kanisa wakamjengea nyumba nzuri na kumpa mashine nipo hizo dini ila najua historia yetu ...
Duuuhh!! Halaf leo tunabaguana kinoma.
 
Dini ya wavaa kobazi imeonesha matokeo, hakuna kugombania urithi kama wagalatia, hakuna kuishi na mchumba wao ni ndoa tu tena za bila gharama hakuna ubaguzi wa kuzikana na hakuna michango lukuki katika ibada

Na hakuna nini tena? Hii list yako mbona bado fupi?😂😂😂😂
 
Dini ya mzungu imeipita dini ya mwarabu kwa maendeleo, sehemu walipojaa wavaa kubazi maendeleo ni duni mno ila mahali wamejaa wagalatia utapenda
Angalia msisitizo wa elimu inayotolewa humo.

Wagalatia wanahakikisha unapigwa biblia na elimu dunia unaipata.

Wengine elimu ya ahera tu.
 
Back
Top Bottom