Ulitaka aongee uongo?Kesi kama hizi ni kupotezeana mda tu.... Nimeskiliza ushahidi wa mdogo wake Kanumba, nikaona huyo jamaa na huo ushahidi wake alio upeleka mahakani leo, nimemwona jamaa ni bogus
Hivi mbona wtz tunajifanyanga tunajua kila kitu wakati hata kipuli chochote hakitegenezwi hapa.......hizo ni shida ya kua najami kubwa ambao ni "semi literate"Ha ha ha ha haaaaa... Master cylinder laki 8? Hilo siyo gari zuri kwa usawa huu kwakweli, hata master cylinder ya scania haiuzwi hivyo! Though hata hiyo Subaru bado iko juu, turbo ya mtumba laki 8, taa laki 8.. Service ya oil tu iko juu...
Hii ni kesi ya Jamhuri vs Lulu so no way to rescue sawa na ishu za ubakaji mshtaki anakua Jamhuri hao familia hawawez kuingiliaKweli kiongozi...huyu dogo angetulia tu na maisha yake,mambo ya media na kujipatia umaarufu angetupilia mbali angalau hata kwa miaka 10....zen ndio tumuone tena kweny media,hii ingesaidia kwa famailia ya kanumba kusahau na hata kufutilia mbali kesi hiyo.....lkn kwa jinsi anavyokula bata na kila siku anasikika mitandaoni hii itamgharimu sana kushinda hyo kesi.
Anaitwa oscar pistorious kashakufa zamaniBut do you remember the case of that south African athletee, it was also manslaughter. But now he is in jail
Mara nyingine magari huwa asset (depreciated asset) mkuu.Magari kwa kiasi kikubwa, kiuchumi na kihasibu, ni liability, si asset.
Unapoongelea mali za mtu, jikite kwenye assets, si liabilities.
Mbona utumwa sasa?Mkuu hapo cha lulu angekuwa anafanya maendeleo yake kimya kimya bila social media ndio cha maana kuliko yote kwa lulu sema ndio hivyo ameshazoea maisha ya kujianika mitandaoni
Alikufa lini?Anaitwa oscar pistorious kashakufa zamani
Hakuna niliposema magari mara zote ni liability.Mara nyingine magari huwa asset (depreciated asset) mkuu.
Ni nyongeza tu mkuu, nilikupata vema.Hakuna niliposema magari mara zote ni liability.
Rudia kusoma.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Halaf inaonesha huyu lulu hana mawasiliano mazuri na huyo mama,,ila chanzo cha bongo movie kufa ni Lulu kumuua Kanumba,,aisee kangefungwa hata miaka 20,roho zetu zisuuzike mashabiki wa Kanumba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu nimeangua kicheko mbele ya watukufa kufaana vipi sasa hapo mkuu? au ulikuwa una wahi kumsukuma joseveret kwenye kiti chake
Hahahaha namumuna tu ubuyu. Ila kweli maza karibika huenda stress za case.Mim hata mazoea nisingekua nayo na lulu ati,,yule mama nadhan alitaka kugeuza lulu ndio amhudumie wakati lulu nae anahudumia mama yake na mdogo yake
Hivi luli hua anaishi na mama yake?nimeona hizo cream zilivyomfanya mama luli
Kama miezi 3 au zaidi iliyopitaAlikufa lini?
Kabisa mkuu sijui hanaga wa kimshauri huyu bintiKweli kiongozi...huyu dogo angetulia tu na maisha yake,mambo ya media na kujipatia umaarufu angetupilia mbali angalau hata kwa miaka 10....zen ndio tumuone tena kweny media,hii ingesaidia kwa famailia ya kanumba kusahau na hata kufutilia mbali kesi hiyo.....lkn kwa jinsi anavyokula bata na kila siku anasikika mitandaoni hii itamgharimu sana kushinda hyo kesi.
Exactly, the guy is now toiling in jail. He was sentenced 4 20 yrs then he appealed and reduced 4 10 yrs. So his case has no difference with that of Eliza. Unless otherwise she might be found guiltyAnaitwa oscar pistorious kashakufa zamani
Haha aisee, kila mkinga mwenye mafanikio lazima anunue Prado!!Prado gari za wakinga wew bora hata hiyo gari ya kimjini mjini