mrsleo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,588
- 3,877
Ulitaka aongee uongo?Kesi kama hizi ni kupotezeana mda tu.... Nimeskiliza ushahidi wa mdogo wake Kanumba, nikaona huyo jamaa na huo ushahidi wake alio upeleka mahakani leo, nimemwona jamaa ni bogus