Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Wapo bize na simba na yanga, ndio wanaweza kufa nayo sio roho hata ya ndugu yakeWatanzania ni watu wa kipekee sana. Hapo atapita mwizi wa mchicha fungu moja watapiga waue kabisa ila binadamu anaibwa wanatazama tu. Tupo hivyo.
Ipo hivyo
Haibadiliki damu yetu
Shida ya watanzania hatujiamini, ndomana mambo maovu yanaendelea kweny mikudanyiko kama hiyoWakuu,
Mtu wa pili huyu anatekwa sehemu ambayo kuna watu na hakuna kitu raia tunafanya? Tunasubiri apotee ndio tuje mtandaoni kuanza kulaani na kulisema Jeshi la Polisi, Samia na Serikali yake?!
Pia soma: Breaking News: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulika katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Wana Dar tuna nini? Ndio hatuna umoja kiasi hiki? Hili jambo lingetokea Chuga au sehemu nyingine wangekiwasha hadi kieleweke, na ijulikane hao watu ni akina nani. Walau hata kwa Bonge walijiongeza tukio likarekodiwa, huko watu wamekaa tu kama ndezi.
Wamejaribu kwa bonge wakaona jinsi watu hatuna umoja, leo wakaenda kwa chembamba wamprove kuwa wananchi tupo tupo tu!
Kwanini lakini tunakuwa mazombi hivi?
Sip kizazi hikii labda 2050 hukoooTuamke tulipo lala
Act pesa wazitoe wapi? Lema alitekwa akiwa JNIA..Mtu mkubwa hivyo unakuja dar na Basi duh ACT na nyie mjitafakari Kama mna budget ya kuendesha chama
Tatizo la Dar ni wanaume Biscuit nakumbuka kipindi tupo UDSM tunaandamana na mgomo kutoka Main Campus mpaka Mabibo Hostel watu wanatuangalia kama vile tunataka kupindua nchi.Wakuu,
Mtu wa pili huyu anatekwa sehemu ambayo kuna watu na hakuna kitu raia tunafanya? Tunasubiri apotee ndio tuje mtandaoni kuanza kulaani na kulisema Jeshi la Polisi, Samia na Serikali yake?!
Pia soma: Breaking News: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulika katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Wana Dar tuna nini? Ndio hatuna umoja kiasi hiki? Hili jambo lingetokea Chuga au sehemu nyingine wangekiwasha hadi kieleweke, na ijulikane hao watu ni akina nani. Walau hata kwa Bonge walijiongeza tukio likarekodiwa, huko watu wamekaa tu kama ndezi.
Wamejaribu kwa bonge wakaona jinsi watu hatuna umoja, leo wakaenda kwa chembamba wamprove kuwa wananchi tupo tupo tu!
Kwanini lakini tunakuwa mazombi hivi?
Tushakufa upande huoTuamke tulipo lala
Sawa Kaka .Uantaka kuniambia raia zaidi ya 50 wangebeba .mawe makubwa na mazito na kuanza kurusha unafikir hao mammbwa na mabunduki yao wangebaki , kuna mikoa huwez fanya huo upumbavu eitha utakua marehem ama sanasana gari yako itabaki majivu ..ila dar ni pa kiduwani watu wa huko wanajua kula stareh tu
kama ndo ivi nahama Dar hakuna maana!Dar wamejaa manyumbu huwezi kuta upuuzi huo vijijini
zindiko la mwenge..!Wakuu,
Mtu wa pili huyu anatekwa sehemu ambayo kuna watu na hakuna kitu raia tunafanya? Tunasubiri apotee ndio tuje mtandaoni kuanza kulaani na kulisema Jeshi la Polisi, Samia na Serikali yake?!
Pia soma: Breaking News: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulika katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Wana Dar tuna nini? Ndio hatuna umoja kiasi hiki? Hili jambo lingetokea Chuga au sehemu nyingine wangekiwasha hadi kieleweke, na ijulikane hao watu ni akina nani. Walau hata kwa Bonge walijiongeza tukio likarekodiwa, huko watu wamekaa tu kama ndezi.
Wamejaribu kwa bonge wakaona jinsi watu hatuna umoja, leo wakaenda kwa chembamba wamprove kuwa wananchi tupo tupo tu!
Kwanini lakini tunakuwa mazombi hivi?
Hii ilikuwa mistake ya karneBunge limefanya mabadiliko ya Sheria yanayolinda maafisa usalama wakifanya jinai wakati wakitekeleza majukumu yao! Wakifanikiwa kukuchukua wanakuwa ni "watu wasiojulikana", ukiwadhibiti au ukiwatambua wanageuka kuwa "maafisa usalama", na hapo kosa unakuwa nalo wewe! Tufuatilie bunge jamani
Ni hatari unaweza ukawa unalawitiwa mijitu unaangalia tu hata msaada hakuna muharifu akisha toweka ndo yanaanza kujikusanya vipi umesalimika na porojo kibaokama ndo
kama ndo ivi nahama Dar hakuna maana!
Tunazo, nguvu hizo ni umoja wetu, tatizo ni uwoga uli kithiriHatuna nguvu za kupambana,
Tunashindia Miguu ya Kuku na utumbo wake.
Halafu hizo nguvu kidogo tunazopata tunazimalizia kwenye kubishana kuhusu Mpira.
Bado tupo zama zile zile karl peters na gobole lake moja anaswaga kundi la watu elfu moja tena ma giant ili yakafanye kazi za nguvu vizuri.Minaona afadhali mkoloni arudi tena aiseee..🤨
Ehe ebu tueleze, wewe ungekuwepo eneo la tukio ungefanyaje?Ndio nimekuuliza unaamini kweli wananchi hatuwezi kushughulika na hao wahuni?