Mtu anayeenda kufanya kazi wilaya ya butiama.

Mtu anayeenda kufanya kazi wilaya ya butiama.

Yongpalmuel

Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
16
Reaction score
22
Habari za mchana? Nilikuwa napenda kufahamu kwa ujumla mazingira ya wilaya ya butiama kwa mtu anayeenda kuanza kazi katika wilaya hiyo.

Kwenye upande wa mazingira na tamaduni za huko butiama ?
Gharama pia za maisha huko butiama zipoje ? Kama nyumba na vyakula.
Pia wanajidhughurisha na kilimo cha mazoa gan hasa ya biashara?
Kama kuna mtu anafahamu ananifahamishe
Asanteni
 
Back
Top Bottom