Mtu anayetoa milion 10 kununua bajaji Ili apewe 20k Kwa siku ni kufanya biashara kichaa

Sasa kaka hapo chukulia mtu anakaz au biashara nyingine maana yake wengi wanaonunu bajaji hawawez kuifanya ajira kamili yaan waendeshe wenyewe sababu wana kazi au biashara ambayo ndio ilileta hiyo 10m ya kununulia hiyo bajaji

Hawawez kufanya bajaj kama ajira anataka kufanya kama source of incime ya pilo

Sasa tatizo ndio linaanzia hapo
 
Kwa hiyo tuki summarize kutoka kwenye maelezo yako ni kuwa uwekezaji wa biashara ya usafiri wa bajaji haifai kwa wenye kazi au biashara zingine. ni lazima mwekezaji aifanye ajira kamili amejiajiri na sio kuifanya njia ya kipato cha pili
 
Kwa hiyo tuki summarize kutoka kwenye maelezo yako ni kuwa uwekezaji wa biashara ya usafiri wa bajaji haifai kwa wenye kazi au biashara zingine. ni lazima mwekezaji aifanye ajira kamili amejiajiri na sio kuifanya njia ya kipato cha pili
Mzee hii tunaita kitunzia fedha, biashara ni imani kama imani zingine
 
10 milion ni mtaji tosha sana kama utaamua kufanya biashara ya vifaa vya pikipiki au bajaj, Hakikisha unaisimamia mwenyewe au kama una kijana basi hakikisha una mmonitor kila siku.

Vitu vya kuzingatia, Tafuta sehemu nzuri ambayo ni karibu na kijiwe cha boda au njia ambayo inatumika mara kwa mara, tafuta fundi mzuri na mwaminifu.

Hakikisha sehemu unayofungua duka kusiwe na utitiri wa washindani wako, na hakikisha bidhaa unazochukua zile ambazo zinatumika kila siku. Kwa mfamo oil,lina,taa,bearing,plug n.k.

Kuna baadhi ya vifaa vya pikipiki faida ni top mfano plug na bearing, plug na bearing unaweza kununua kwa 10k ambapo zinakaa pc 10 na ukauza kwa bei ya 2k per pc ambayo faida unapata 10k ukimaliza.

Pikipiki nyingi za sasa especially Tvs zina changamoto sana ya plug so kama utakaa sehemu nzuri unaweza uza hata box mbili za plug ambazo zitakuingizia 20k as faida hapo nje ya faida ya vifaa vingine.

Kama unataka kuingia kwenye hii biashara nicheck Pm tupeane mawazo mbadala.

Note: Biashara ya duka kuna vifaa kwaajili ya kupendezesha duka na vifaa ambavyo vinatembea kwa mauzo, hakikisha unajaza vifaa vinavyouzika badala ya kupendezesha duka.
 
Siajelewa hapa ebu nieleweshe vizuri backbencher
 
Ngoja nihamie kwenye bajaj sasa
 
Kuna watu mnaongea tu ili kujifurahisha, hamjafikiria kuwa hizo bajaji zinatoa ajira kiasi gani? Wanaouza vifaa vya bajaji wamuuzie nani? Wenye garage na mafundi wapate wapi kazi? Nasisi ambao ni usafiri wetu hatuna uwezo wa kununua magari mmetufikiria? Kwa mantiki hio msifikirie tu kwa upande wa anayenunua bajaji kwani hufaidisha watu wengi. Lakini pia mimi ni shahidi kuna watu zinawajengea hapa mjini. Halafu kwa wale wenye wasiwasi kuwa inaweza kuharibika kabla ya kurudisha hela niwaambie tu kuwa kila biashara ina changamoto zake, na mjue kuwa bajaji inaweza kukaaa miaka 5 bila kuguswa injini.
 
Mzee baba upo sahihi
 
Yaani uwekeze 20M Ili upate elfu 40 Kwa siku akili Gani hii
 
Tupe hesabu zako basi zinazosibitisha uchizi wake??
20,000x365days= 7,300,000 hiyo ni kwa mwaka mmoja.
Haiwez kuja yote kama ilivyo. Labda uyo mnunuaji aendeshe mwenyewe. Ila kama anampa mtu asitegemee iyo 7M kwa mwaka, coz kuna kupigwa kiswahili, dereva kuna cku haleti hela. Inshort biashara yoyote ya usafirishaji kama ndo unaanza fanya mwenyewe ila sio kumpa mtu.
 
Mm niko upande wako PIGA KAZI MWENYEWE.
ALL the best
 
Wanakuwa wamepiga mahesabu haya
View attachment 3173288

Kwa siku 500 wanakuwa wamerudisha hela yao. Siku 500 ni sawa na mwaka mmoja na miezi mitano hivi.

Kwa hiyo baada ya kipindi hicho kupita ndio anaanza kuhesabu faida.
Hiyo bajaji haina service wala wala repair and maintenance cost?
 
Ujue

Wewe ni fala sana wewe upo kupondea Ebu toa proposal za biashara kasuku wewe sio kukandia tu kuta Ata biashara ya nyanya huna
We shoga kama umeumia Mimi kusema ukweli piga kimya siitaji machoko hapa unaleta hasira zako za umasikini kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…