Mtu anayetoa milion 10 kununua bajaji Ili apewe 20k Kwa siku ni kufanya biashara kichaa

Nini maana yako yani twambie tujifunze kitu
 
Hiyo sio biashara ni uchizi
 
Hakuna hoja zaidi ya matusi ..kufedhehesha na kukejeli biashara za watu waliowekeza

Ndio mana sioni umuhim wa hii threas kuendelea kuwepo mana hata alieanzisha anawatukana kweli pengine wenye hii investment
 
Kilimo we kisikie tu. Tunatakiwa usiwe mtu wa kukata tamaa.

Nililima maharagwe nikiwa na lengo la la kuvuna gunia 20-25 @ nilitegemea ningeuza Kwa lakin 3. nilipigwa Moja ya chembe chaliii.
Hahahahah, noma sana
 
GREAT POINT
 
Hesabu we huoni hapo million 10 na 20k Kwa siku ni mbingu na ardhi halafu biashara yenyewe bajaji
Wewe ulitaka ununue bajaji 10m halafu deiwaka akuletee 5m kwa siku ili utajirike haraka? Acha dharau zako mzee. Biashara ya bajaji ndio inatuweka mjini.
 
Nawashukuru sana ndugu mmenifunza kitu.hakika jf ni chanzo cha maarifa ambayo walimu walionifundisha easingeweza peana madini na mimi kama haya
 
Tupe hesabu zako basi zinazosibitisha uchizi wake??
20,000x365days= 7,300,000 hiyo ni kwa mwaka mmoja.
Sasa na wewe code, 20,000/= per day, Unategemea 20 nzima uweke pembeni kwa mwaka mzima, hivi utaishije! Hutaki kula, hutaki kuvaa n.k! Hata mimi siwezi kufanya upumbavu huo
 
Vipi anaenunua bus kama yutong 300m sijui halafu kwa siku analetewa laki 5 ?
 
Ni kweli kabisa ni biashara ya ukichaa na inakufanya ukosane na watu wote labda uendeshe wewe mwenyewe
 
Huna akili ,fala wewe
 
Tupe hesabu zako basi zinazosibitisha uchizi wake??
20,000x365days= 7,300,000 hiyo ni kwa mwaka mmoja.
Kwaiyo mkuu unawekeza M10 ili upate M7 kwa mwaka..hahaha....Halafu unasahau kitu..iyo M7 unayoipigia hesabu apo ki kama Bajaji itafanya kazi mwaka mzima bila ya kupumzika ata siku moja...kumbuka Kuna hesabu za service na garama zingine za uendeshaji kama Kodi za TRA,Insuarence saivi hadi zimamoto wanawataka mabajaji wawe na mitung ya kuzima moto kwa dharula..kiukweli mleta mada yuko sahihi sana..kuwekeza M10 kwa faid isiyo zid M6 kwa mwaka huo ni uvivu wa kufikilia..
Kuna biashara ambazo ukiingiza hiyo M10 kwa mwaka na ukawa unasimamia iyo biashara kikamilifu ndan ya mwaka unaweza ukatengeneza faida ata ya M15..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…