Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ni biashara kichaa aiseeKiujumla biashara za vyombo vya moto ni ukichaa
Hahaha hajielewi huyoπ€£π€£π€£Kuna faza comments za juu kule et kaleta hesabu za kuzidisha sijui 20*365
Ahahahahha kuna watu nikisema kichwani wana maji ya mchele mnakataaa ππππππ
Saiz hunitoi shamba aisee,Bora kwenda kununua ardhi halafu ukalala tu kama unaona kukaa na hela utaila
Magari sawa. Ila usafiri huu wa IST, Vitz. Namba B zimechoka sana, kama matoroli.Kila kitu ni utunzaji
Kama upo rough hata miezi mitatu tu inatosha kufanya chombo kiwe chakavu.
Kuna watu mtaani wanaendesha magari yenye namba B na yapo very clean.
Yaani acha tu hii sio biasharaNa hapo bado haijafanyiwa service hiyo bajaji
Lini tulikataa?Kuna faza comments za juu kule et kaleta hesabu za kuzidisha sijui 20*365
Ahahahahha kuna watu nikisema kichwani wana maji ya mchele mnakataaa ππππππ
ππππ Acha kula mchele mbichi mkuuLini tulikataa?
Ndo nimesema...πππUngesema sasa!!
Yaani Kuna watu hawana kama zimepungua kichwani hivi unanunua bajaji milion 10 halafu unampa mtu mmoja awe anapiga deiwaka anakuletea 20k Kila siku na risk za kutosha hii ni akili Gani yaani hela za mashamba ya urithi nyumbani kwenu unatarajia hii biashara kichaa ikunufaishe aisee kweli washamba mnaotoka kijijini na pesa za urithi wa mashamba mtaendelea kukumbatia umasikini milele?
Tunapigwa na nani kwani ujui kuwa ccm ni maπ©Punguza sauti..
Ndo nyie huku gongo la mboto mnapigwa..ππππ
Ooooh,always nunua kitu kinachopanda thamani sio kinachoshuka,hasa wafanya kazi kwakua huna chakupoteza zaidi ya kuwekeza,ila kuna wazee wa bet hua huwaambii kitu kuna miji TZ ina bajaji kuliko public transportKuna jamaa yangu aliuza kiwanja kanunua bodaboda mpya mbili kazikodisha zimletee hesabu! Ndani ya miezi mitatu ziko hoi taabani kazipaki!
ππTunapigwa na nani kwani ujui kuwa ccm ni maπ©
Ardhi mwanangu inapanda thamani Ila unaweza tapeliwaOoooh,always nunua kitu kinachopanda thamani sio kinachoshuka,hasa wafanya kazi kwakua huna chakupoteza zaidi ya kuwekeza,ila kuna wazee wa bet hua huwaambii kitu kuna miji TZ ina bajaji kuliko public transportm