Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #101
Unatetea kibarua chako Cha deiwaka sioUmaskini wa mali na akili kwa mtoa mada ndio tatizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatetea kibarua chako Cha deiwaka sioUmaskini wa mali na akili kwa mtoa mada ndio tatizo.
Ni biashara kichaa ukimpa mtu akuletee malengo ila ukiifanya mwenyewe ni shegaYawezekana wewe ndiye ukawa kichaa!
Jichunguze vizuri yawezekana nati zikawa zimelegea!
Mwanangu mimi nafanya hiyo kusema ukweli kutunza hela sio rahisi Yan kwa ajili ya kula afu spea utaomba pooh sio poa Yan ni hatari engine inadai Kila maraBajaji za mkataba service anafanya dereva , wewe Kila siku pesa Yako inaingia. Faida ipo kwakua mkataba Huwa ni miaka 2. Na bajaji haifi haraka ndomna Kuna bajaji used.
Bajaji ni uwekezaji Mzuri kwa pesa ya kula Kila siku hukwami ila kama plan ni kukukuza mtaji ngumu kutoboa. Pesa yake huja kidogo kidogo lakini zinalipa.
Waajiriwa wa serikali tukisikia habari hizi huwa tunajiuliza hao wafanyabiashara wanaotutukana kuhusu kuajiriwa kwetu, huwa wanaingiza faida kiasi gani kwa siku baada ya makato yote?Ni biashara ya kifala kweli, ila biashara nyingi faida yake ni ndogo pia cha msingi ni mzunguko wa fedha usiende mbali na wewe.
unaijua biashara ya hardware hii ni manyoko usipouza stock kubwa kwa mwezi mmoja tu
Wee ni dereva au mmiliki!?.Mwanangu mimi nafanya hiyo kusema ukweli kutunza hela sio rahisi Yan kwa ajili ya kula afu spea utaomba pooh sio poa Yan ni hatari engine inadai Kila mara
Biashara zote ni ngumu hakuna biashara rahisi ntajie biashara rahisiHizo ni biashara za watu wavivu wasiotaka kuwajibika, ukiwakuta huko makazini wanavyojisifu utaskia
" Nina bajaj yangu nimempa kijana kwa week napata 140k yangu nna wasiwasi gani "
😀😀😀
Mmiliki wanaosema bora uendeshe mnyw wako sawaWee ni dereva au mmiliki!?.
Biashara zote ni ngumu hakuna biashara rahisi ntajie biashara rahis
Kijana una masihara unahisi hiyo bajaji ita operate siku zote za mwaka 365? Hakuna siku itayoenda marekebisho? Hakuna siku suka ataumwa au emergency yeyote? Bado kuparamiana huko road?Tupe hesabu zako basi zinazosibitisha uchizi wake??
20,000x365days= 7,300,000 hiyo ni kwa mwaka mmoja.
Service boss, haimuhusu hiyo ni juu ya DerevaIla ni kweli, kwa mwaka ni 7,300,000 bado service na mengineyo...
Hao ni machizi mtu mweusi hasa wa kijijini hajawahi kuwa na akili ya utajiriMleta mada kapata mgao wa urithi sasa anatafuta wazo la biashara kinguvu.
Wazo lake kuu ilikuwa anunue bajaj ila kaja na njia ya kuiponda aone muitikio wa watu.
Ipo hivi, kama utanunua boda boda ama bajaj na ukakomaa nwenyewe faida inakuja kubwa sana na hela inarudi fresh tu.
Kumpa mtu bajaj au bodaboda akuletee hesabu basi jiandae kugawana 50/50 na dereva hata kama hela ya matengenezo madogo madogo ni juu yake.
Wastan wa hesabu ya bajaj ni 60,000 kwa siku. Ukiondoa changamoto ndogo ndogo za rushwa, n.k basi baki yako hapo ni 40,000. Kama ulimpa mtu basi tarajia katika hiyo 40,000 upewe 20,000 ili nae achukue 20,000 yake.
Mtoa mada tembea Mbeya na Songwe yote uzione hizo 10M zilivyojaa barabarani.
Endelea kubeti huku ukiwa na Imani ipo siku utatusua kenge pori wewe!Kichaa ni wewe dereva boda boda mtu mwenye akili hawezi fanya hizo mbanga
Bora nibeti kuliko kuhemewa nyuma kama wewe kwenye hako kabodaboda kakoEndelea kubeti huku ukiwa na Imani ipo siku utatusua kenge pori wewe!
Uongo uongo uongo wewe milioni kumi ungefanya biashara gani ambae sio ya kichizi, #trust your crazy ideaHiyo sio biashara ya kufanya ni chizi pekee atanunua bajaji Ili kufanya biashara
Sasa boss unakuwaje dereva tena? Dhana ya kwamba ukijiajiri unakuwa huru, hapo inadhihirikaje?Wanaosema bora uendeshe mwenyewe wako sawa
Yeah Ina risk kwaajili ya matengenezo makubwa na ukipata dereva kichaa utajuta ila faida yake ni hpo pesa ya kula inasaidia hukwami.Mmiliki wanaosema bora uendeshe mnyw wako sawa
Biashara kichaa hiyoI
Uongo uongo uongo wewe milioni kumi ungefanya biashara gani ambae sio ya kichizi, #trust your crazy idea
Kwa hesabu iliyonyooka namna hii labda uwe unaendesha mwenyewe hiyo bajajiTupe hesabu zako basi zinazosibitisha uchizi wake??
20,000x365days= 7,300,000 hiyo ni kwa mwaka mmoja.