Mtu anayetoa milion 10 kununua bajaji Ili apewe 20k Kwa siku ni kufanya biashara kichaa

Kuna wenzako wana mpaka bajaj 20! Sasa jiulize kwa siku wanalaza shilingi ngapi!
 
Biashara kichaa
 
Umaskini wa mali na akili kwa mtoa mada ndio tatizo.
 
Kununua Bajaj kwa ajili ya biashara sio mbaya kama mmiliki ataamuwa kuendesha mwenyewe, ikitokea mmiliki ameamuwa kuendesha mwenyewe ndani ya miezi sita mpaka saba pesa ya bajaj imesharudi na kuanza kuingiza faida, chombo chochote cha moto kikiwa kipya unatakiwa ukomae mwenyewe kabla hakijaanza kuomba spea, pengine kwa kumsahihisha mtoa mada bajaj ya millioni kumi kama utaisimamia na kuiendesha mwenyewe kuna faida ya kurudisha pesa ndani ya huo muda niliousema hapo juu, maana kama utakuwa unafanyia kazi katika majiji kwa siku kwa wastani lazima ilale elfu 50,000-60,000 Ths, na katika miji midogo kwa siku 40,000-50,000 tsh haikosekani na hizi hesabu zitatokea kama utaiendesha mwenyewe na sio kumpa mtu mwingine aendeshe.
 
Mwambie biashara nzuri auze vocha za mitandso.
 
😂😂
 
Biashara za
Bajij, pikipiki gari za uber/bolt anayrnufaika ni dereva tu.! Na mamlaka za kodi / au wanaotoa vibali / waiza spare/garage etc.

Mmiliki anakuwa mtu wa mwisho anayrpambania kutudiaha pesa yake baada ya hawa wote kulipwa upfront
 
Bado hesbau inakataa ..! Hata kama una bilioni 10 lakini unapata hasara bilioni 1.5 , bado ni hasara tu
Zingatia uwekezaji huuo kwa faida na hasara zake..
Na sio Quick cash
Bajaji za mkataba service anafanya dereva , wewe Kila siku pesa Yako inaingia. Faida ipo kwakua mkataba Huwa ni miaka 2. Na bajaji haifi haraka ndomna Kuna bajaji used.

Bajaji ni uwekezaji Mzuri kwa pesa ya kula Kila siku hukwami ila kama plan ni kukukuza mtaji ngumu kutoboa. Pesa yake huja kidogo kidogo lakini zinalipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…