Mtu asiyepokea simu au kujibu ujumbe wa simu ana maana gani?

Mtu asiyepokea simu au kujibu ujumbe wa simu ana maana gani?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Eti wakuu

Mtu anayeuchuna mazima baada ya kuwa umempigia simu au kumtumia meseji ni kwamba
yupo bize sana kiasi hana kabisa muda wa kuona simu au meseji zilizoingia?

Au anaona simu na meseji ila anapokea na kujibu jumbe zile za muhimu tu na ivyo ukiona yako haijapata majibu ujue ni miongoni mwa zile zisizo muhimu au ndo inawezekana keshakuona hata wewe mwenyewe hauna umuhimu?

Au inakuwa ni nini hasa kinatokea hapo?
 
Eti wakuu

Mtu anayeuchuna mazima baada ya kuwa umempigia simu au kumtumia meseji ni kwamba
yupo bize sana kiasi hana kabisa muda wa kuona simu au meseji zilizoingia?

Au anaona simu na meseji ila anapokea na kujibu jumbe zile za muhimu tu na ivyo ukiona yako haijapata majibu ujue ni miongoni mwa zile zisizo muhimu au ndo inawezekana keshakuona hata wewe mwenyewe hauna umuhimu?

Au inakuwa ni nini hasa kinatokea hapo?
Wa hivyo mi huwa namvumilia huenda kuna hali fulani anaipitia kwa wakati huo. Ila nikigundua ni tabia yake na ikiwa hana 'impact' yoyote kweny maisha yangu, nafuta kabisa namba.

Mwishoni mwa mwaka uliopita nimefuta namba za wengi sana wenye tabia hiyo. Sitakagi madharau aisee
 
Eti wakuu

Mtu anayeuchuna mazima baada ya kuwa umempigia simu au kumtumia meseji ni kwamba
yupo bize sana kiasi hana kabisa muda wa kuona simu au meseji zilizoingia?

Au anaona simu na meseji ila anapokea na kujibu jumbe zile za muhimu tu na ivyo ukiona yako haijapata majibu ujue ni miongoni mwa zile zisizo muhimu au ndo inawezekana keshakuona hata wewe mwenyewe hauna umuhimu?

Au inakuwa ni nini hasa kinatokea hapo?
Sio kipaumbele chake wakati huo
 
Eti wakuu

Mtu anayeuchuna mazima baada ya kuwa umempigia simu au kumtumia meseji ni kwamba
yupo bize sana kiasi hana kabisa muda wa kuona simu au meseji zilizoingia?

Au anaona simu na meseji ila anapokea na kujibu jumbe zile za muhimu tu na ivyo ukiona yako haijapata majibu ujue ni miongoni mwa zile zisizo muhimu au ndo inawezekana keshakuona hata wewe mwenyewe hauna umuhimu?

Au inakuwa ni nini hasa kinatokea hapo?
Tukumbushane tu hakuna mtu hapokei simu ya Mo
 
Au anaona simu na meseji ila anapokea na kujibu jumbe zile za muhimu tu na ivyo ukiona yako haijapata majibu ujue ni miongoni mwa zile zisizo muhimu au ndo inawezekana keshakuona hata wewe mwenyewe hauna umuhimu?
Jibu mbona umeliweka vizuri kabisa hapo?
 
Wa hivyo mi huwa namvumilia huenda kuna hali fulani anaipitia kwa wakati huo. Ila nikigundua ni tabia yake na ikiwa hana 'impact' yoyote kweny maisha yangu, nafuta kabisa namba.

Mwishoni mwa mwaka uliopita nimefuta namba za wengi sana wenye tabia hiyo. Sitakagi madharau aisee
Raha ya kufuta namba, uzuie pia namba mpya ambazo hazipo kwenye phone list ya kwenye simu yako zisiweze kukupata, hapo unakuwa umemalliza kazi.

Lakini kufuta namba na kuacha kuzuia namba ngeni,, kuna siku atakupigia, huna hili wala lile, umpokee kisha aanze kukupanga.
 
Eti wakuu

Mtu anayeuchuna mazima baada ya kuwa umempigia simu au kumtumia meseji ni kwamba
yupo bize sana kiasi hana kabisa muda wa kuona simu au meseji zilizoingia?

Au anaona simu na meseji ila anapokea na kujibu jumbe zile za muhimu tu na ivyo ukiona yako haijapata majibu ujue ni miongoni mwa zile zisizo muhimu au ndo inawezekana keshakuona hata wewe mwenyewe hauna umuhimu?

Au inakuwa ni nini hasa kinatokea hapo?
Mind your own business
 
Mengine ni madeni bro, Kuna siku nipo ofisini sasa Kuna mwamba aliacha simu yake chaji hapo hapo akawa ametoka mara ikaanza kuita na aliweka mlio mkubwa unakera mpaka hata inaharibu attention ya kazi... Ikaita mara ya kwanza, ya pili, ya tatu... Ya nne nkasema acha nipokee nimwambie bwana mwenye simu hayupo amcheki badae... Aisee najuta kupokea hiyo simu.. jamaa alinitukana akasema nimepangwa na mwenye simu nimzuge.. akaniambia basi nilipe Mimi hilo deni maana nina shobo na masiara na deni la watu... Akasema KADI ya bank jamaa ameiacha na mshahara ametoa wote simbanking kabla jamaa hawajachukua Chao.. alifoka mshikaji katukana sana... Saiv simu hata ikiita mara mia.. siwezi kuigusa kama ni kelele Bora kazi nifanyie kwenye vimbweta vya watoto
 
Eti wakuu

Mtu anayeuchuna mazima baada ya kuwa umempigia simu au kumtumia meseji ni kwamba
yupo bize sana kiasi hana kabisa muda wa kuona simu au meseji zilizoingia?

Au anaona simu na meseji ila anapokea na kujibu jumbe zile za muhimu tu na ivyo ukiona yako haijapata majibu ujue ni miongoni mwa zile zisizo muhimu au ndo inawezekana keshakuona hata wewe mwenyewe hauna umuhimu?

Au inakuwa ni nini hasa kinatokea hapo?
Mbona majibu yapo ktk aya yenye question mark, kuanazia neno au...
 
Back
Top Bottom