marehem x
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 513
- 792
Mtasemana sanaMithali iliandikwa na Paulo?
Mpumbavu hujulikana akifungua mdomo wake , akikaa kimya huhesabiwa kama kwenye hekima
Waislam ndio wanajua faida ya wake wanne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtasemana sanaMithali iliandikwa na Paulo?
Mpumbavu hujulikana akifungua mdomo wake , akikaa kimya huhesabiwa kama kwenye hekima
Wapi nimesema sijui maana ya uzinifu?Kichwa panzi , mpaka umri huo hujui nini maana ya uzinifu?
Ni kufanya mapenzi , nje ya ndoa
Kama unahiyo michezo , iache
We mwanamke wewe..Wapi nimesema sijui maana ya uzinifu?
Halafu kaambiwa mwanaume...sie wanawake kuzini ruksa, haijakatazwa.
Bichwa lako.
AbeeeWe mwanamke wewe..
Nipe maana ya hayo majibu yako:Wapi nimesema sijui maana ya uzinifu?
Halafu kaambiwa mwanaume...sie wanawake kuzini ruksa, haijakatazwa.
Bichwa lako.
Mi naona tubishanie bei ya NokiaWewe ndiye unaashiria hivyo shauri yako utatiwa kiberiti
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa". Nimeuliza ilitakiwa azini na nani kama sio na mwanamke?Nipe maana ya hayo majibu yako:
Wazini na nani sasa? Mwanaume
Kuzini ni tendo la mwanaume na mwanamke - likifanywa nje ya ndoa."Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa". Nimeuliza ilitakiwa azini na nani kama sio na mwanamke?
Ingetosha kusema "mtu aziniye hana akili" maana ipo wazi kwamba mwanaume atazini na mwanamke.
Maswali ya ajabu hujibiwa na watu wa ajabuKuzini ni tendo la mwanaume na mwanamke - likifanywa nje ya ndoa.
Ukishajua hivyo hautouliza maswali ya ajabu ajabu
Tatizo Akili zimejaa vitu vya ajabu ajabuMaswali ya ajabu hujibiwa na watu wa ajabu
Vipuuze acha makasiriko. Kazana na kichwa chako inatoshaTatizo Akili zimejaa vitu vya ajabu ajabu
Je utakufa katika umri sawa na huyo SuleimanAliona ni ubatili baada ya kula maisha, si ndiyo?
Sasa wacha nami nile maisha, halafu huko mbeleni nitaona ni ubatili tu.
Wasizini, kama hawajaoa waoe,Wazini na nani sasa? Mwanaume?
Vipi? Umewaza mbali nini?duh aiseee