Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Nimejaribu kuwaza watu wanaochepuka na wake au waume za watu wanajitambua kweli? Hivi wanajua chemistry iliyojengeka kati ya mtu na mwenza wake? Hata kama wenyewe kwa wenyewe watagombana waache lakini usimvue nguo mke au mme wa mtu. Labda mwenyewe ajifunge kwa maneno yake na kujihakikishia kuwa yuko single, vinginevyo hili neno linakuhusu:
Mithali 6:32-33
[32]Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
[33]Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;
Mithali 6:32-33
[32]Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
[33]Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;